The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,234
Halafu sijui kwanini sisi wanaume huws hatuoagi wanawake kama hawa?
Tunaishia kula nao bata tu na kuwatema.
Tunaishia kula nao bata tu na kuwatema.
Wao ndo wanajiweka hivyo nadhanHalafu sijui kwanini sisi wanaume huws hatuoagi wanawake kama hawa?
Tunaishia kula nao bata tu na kuwatema.
Ukiwa na amani ya moyo wako, afya na furaha ni utajiri toshaNi kweli ni bora kufikia utajiri kwa utaratibu kuliko haraka, asante kwa kunipa moyo.
madem wa Instagram wamejaaa Fake Tupu kuuza mwili Kusagana na kuuza Tigo tu
kweli kabsaaaUkiwa na amani ya moyo wako, afya na furaha ni utajiri tosha
Na watakuwa designer wazuri tu washone na nguoAnaona wenzake wanaosha kila siku...akiwauliza wanapata wapi chapaa, wanakuwa na kigugumizi...binti wa watu akaamua kujiongeza.
Ombi langu ni kwa Magereza zetu ziwe na shughuli za uzalishaji mali...watu kama hawa wakalime, wapalilie, wavune...miaka kumi wakitoka huko wanajua pesa halali hupatikana vipi.
Fake naamanisha maisha yako sio hayo matendo u got me wrong MpaganHayo mambo uliyoyataja yote sio fake.
Magereza wana vyote hivyo.Anaona wenzake wanaosha kila siku...akiwauliza wanapata wapi chapaa, wanakuwa na kigugumizi...binti wa watu akaamua kujiongeza.
Ombi langu ni kwa Magereza zetu ziwe na shughuli za uzalishaji mali...watu kama hawa wakalime, wapalilie, wavune...miaka kumi wakitoka huko wanajua pesa halali hupatikana vipi.
be blessedNa tuendelee tu kuwa maskini kama njia za utajiri ndio hizi.