Tetesi: Amber Lulu yamkuta, atiwa mbaroni Arusha kwa tuhuma za madawa ya kulevya

Aiseee watafaidi hao maafisa huko gerezani.....kama nakiona vile kitoga cha bure wanavyopokezana kukigegeda maafande. Manake wangekutana uswazi angejitia ni wa first class.......afterall, There's no short way can take u so far....
 
Tena kwa usawa huu wa baba yetu kama ni kweli ajiandae tu kisaikolojia.
Wadada wa bongo maisha ya kisuperstar yanawaponza sana
 
Anaona wenzake wanaosha kila siku...akiwauliza wanapata wapi chapaa, wanakuwa na kigugumizi...binti wa watu akaamua kujiongeza.

Ombi langu ni kwa Magereza zetu ziwe na shughuli za uzalishaji mali...watu kama hawa wakalime, wapalilie, wavune...miaka kumi wakitoka huko wanajua pesa halali hupatikana vipi.
Na watakuwa designer wazuri tu washone na nguo
 
Na wakijua kuzipata hizo pesa kwa jasho hawatabakisha hizo chips huko mahotelini.Watakula watakapokuwa na njaa tuuu
 
Hao ni Wa kupoteza tu... Rais wetu akisema kuna watu wakulazwa chini mnaanza kuleta maneno neno...

Hao ni Wa kupoteza huko amazon forest
 
Anaona wenzake wanaosha kila siku...akiwauliza wanapata wapi chapaa, wanakuwa na kigugumizi...binti wa watu akaamua kujiongeza.

Ombi langu ni kwa Magereza zetu ziwe na shughuli za uzalishaji mali...watu kama hawa wakalime, wapalilie, wavune...miaka kumi wakitoka huko wanajua pesa halali hupatikana vipi.
Magereza wana vyote hivyo.
 
Back
Top Bottom