Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akihojiwa katika kipindi cha kikaangoni cha EATV msanii nyota Amberlulu amedai ktk mtihani wa kidato cha nne alipata division two ya 34!
Hiki ndo kizazi cha TZ ya viwanda!! Kinyaa!!
View attachment 1204993
Ni tamu sana mkuu.Kula chiu ya mwanamke aliyezungusha siwezi
Ndio STARS wa Tanzania!Kilaza hakuna mfano. Si aseme tu hajafika hata kidato chochote ?
Hapo sasa! Ila hata wa ughaibuni ni vilaza hivi hivi! Hapo ndipo tujuwe hela umaarufu siyo lazima book ipande....Hivi na huyu ni msanii nyota eti?
Four ya nchi gani baba ni yai hiloHiyo ni 4
Ndio mkuuKumbe kamaliza 2014 form 4.
Halafu sasa hivi yupo kama mbibi.
Hahaha kama 4-4-2 ya Steve Nyerere, wanne mbele, wanne kati alafu wawili nyuma
Nilicheka sana ile clip ya steveHata Barcelona ikicheza na Lipuli haiwezi kucheza hivyo.
tena news kama hii hikutakiwa kurushwa hajui anajidhalilisha!!Ndio STARS wa Tanzania!
Mdogo wetu wa ngap huyu?Kumbe kamaliza 2014 form 4.
Halafu sasa hivi yupo kama mbibi.