Amber lulu asema alipata division two ya 34

mtz one

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
4,272
1,210
Akihojiwa katika kipindi cha kikaangoni cha EATV msanii nyota Amberlulu amedai ktk mtihani wa kidato cha nne alipata division two ya 34!

Hiki ndo kizazi cha TZ ya viwanda!! Kinyaa!!

20190912_055955.jpeg
 
Akihojiwa katika kipindi cha kikaangoni cha EATV msanii nyota Amberlulu amedai ktk mtihani wa kidato cha nne alipata division two ya 34!

Hiki ndo kizazi cha TZ ya viwanda!! Kinyaa!!

View attachment 1204993

Labda katika shule yao waliopata division two walikuwa 34 au zaidi (serial number), hivyo amehesabu two ya mtu wa kwanza mpaka wa 34 na ndio iliyokuwa na jina lake.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom