1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
Zero hiyoHiyo ni 4
Zero hiyoHiyo ni 4
OHiyo ni 4
Yule ni Gigy MoneyDivision 2 ya 34 ndo majibu ya Nampa PAPA ndo akili yake ilipo ishia
Sio 4 mkuuHiyo ni 4
mwenyewe nimeshangaa sana, 2014 form4?Kumbe kamaliza 2014 form 4.
Halafu sasa hivi yupo kama mbibi.
Tunalipunguza makali.Four ya nchi gani baba ni yai hilo
Labda katika shule yao waliopata division two walikuwa 34 au zaidi (serial number), hivyo amehesabu two ya mtu wa kwanza mpaka wa 34 na ndio iliyokuwa na jina lake.
Yule kiazi aliniacha hoi kweliHata Barcelona ikicheza na Lipuli haiwezi kucheza hivyo.
Hiyo ni Division zero Jombaaa ambayo huwezi somea hata ualimu kwa ngazi ya cheti!Hiyo ni 4