Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,586
- 112,629
Jamani....Duh, Kumbe ni ke....ana sura ya kibingwa sana. 😀
Jamani....Duh, Kumbe ni ke....ana sura ya kibingwa sana. 😀
Coca uzao upi tena jamani, nini kumekosekana? Mbegu si zipo au...Ndiyo bado Jah hajanijalia uzao.
Hajapata uzao cocastic, ndio namuuliza uzao upi tena mbegu si zipo au wa kummwagia ndio hayupo???😁
Mtoto wa amberlulu ni mrembo kama mama ake...
Cocastic anazingiua nini tena?
DuuhHajapata uzao cocastic, ndio namuuliza uzao upi tena mbegu si zipo au wa kummwagia ndio hayupo???
Aseme watu tujitolee chap, nimfyatulie pacha asubuhi na mapema.....Duuh
Umeamua kujitoleaAseme watu tujitolee chap, nimfyatulie pacha asubuhi na mapema.....
Nimzalie 😁😁Umeamua kujitolea
Unataka " akuwowee'
Nimzalie
una umri gani wewe?Coca uzao upi tena jamani, nini kumekosekana? Mbegu si zipo au...
witnessj umemuona toto ya Amber Lulu
Miaka 60unau
una umri gani wewe?
Ila pamoja watoto wadogo wanakuwaga na face incognito lakini huyu amefanana na hamorapa kwani hamorapa sio mtu wandugu au naongopa? 😃😃😃😃Video vixen na msanii Amber Lulu ampost kwa Mara ya kwa mtoto wake. Hiyo ni baada ya week chache zilizopita kujifungua, mtoto huyo ameanza kupokea deals za matangazo mbali mbali,
Mtoto Huyo ambae baba ake ajulikani ameanza kula shavu za kuwa brand ambassador wa kampuni za bidhaa za watoto,
Wadau kadhaa wa mitandao ya kijamii wamenda mbali na kusema mtoto Huyo anaweza kua ni mtoto wa( ember bortion ) wengine wakidai kazaa na sponsor
Jamani tumtakie heri katika kumkuza mtoto hyo anayetabiliwa kunyakua deals nyingi bongo Dar es salaam na nje
View attachment 1775094
Tehee!! teeew!!! teteee!!ahahahah! yaani wewe majibu yako huwaga simple sana!! mpaka unaishangaza jf, yaani naishiaga kucheka tu!! Mume wako oo!! au mkeo atakuwa na amani sana kwa jinsi ulivo!! yaani mnaonekanaga tu!!Miaka 60
Yeah mi ni mzee kijana wangu, ni mzee niliyechangamkaTehee!! teeew!!! teteee!!ahahahah! yaani wewe majibu yako huwaga simple sana!! mpaka unaishangaza jf, yaani naishiaga kucheka tu!! Mume wako oo!! au mkeo atakuwa na amani sana kwa jinsi ulivo!! yaani mnaonekanaga tu!!
kuachw asahau!!! hata iktiokea sababu ya ulevi wake!! lazima arudi tu! sasa miaka sitini si kibibi kabisa!!! wengi humu ni miaka 14--40yrs baaasi! labda 50+ kidooogo sana!!
Mama mie nimekupenda sana kwa jinsi ulivo changamka jamani sasa naomba urafiki!! ambao kuna mawili kukubaliwa au kukataliwa!!! siyo ile ya kipolisi lkn!!!...Yeah mi ni mzee kijana wangu, ni mzee niliyechangamka
Karibu sana kijana wanguMama mie nimekupenda sana kwa jinsi ulivo changamka jamani sasa naomba urafiki!! ambao kuna mawili kukubaliwa au kukataliwa!!! siyo ile ya kipolisi lkn!!!...