ze farmer
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 921
- 1,800
Sasa naona sisi ndio tuna faida sasa hivi.
Maana kila aliyegombea kupitia CCM kapita bila kupingwa. Nyie wenzetu mlienda kujiandikisha ili iwaje? Mwaka ujao tena kuna uchaguzi mtaenda kujiandikisha tena si ndio? Maoni yangu binafsi tuwe na chama kimoja mbona kinafanya kazi nzuri sana hata bila upinzani.
Nimemaliza.
Maana kila aliyegombea kupitia CCM kapita bila kupingwa. Nyie wenzetu mlienda kujiandikisha ili iwaje? Mwaka ujao tena kuna uchaguzi mtaenda kujiandikisha tena si ndio? Maoni yangu binafsi tuwe na chama kimoja mbona kinafanya kazi nzuri sana hata bila upinzani.
Nimemaliza.