kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Serikali imepiga marufuku mikusanyiko sababu ya COVID19, hivyo hata gathering kwa ajili ya sherehe za Harusi au Send Off haipo.
So vijana ambao bado hamjaoa hamna visingizio tena sijui vya kuogopa gharama, muoe sasa kabla Corona haijaisha.
So vijana ambao bado hamjaoa hamna visingizio tena sijui vya kuogopa gharama, muoe sasa kabla Corona haijaisha.