Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,681
- 3,346
riba ipo mkuu, mimi nilijaribu kufanya hivyo mwaka jana, nilikuwa na mradi wa barabara (gravel road), huwezi amini wakati narejesha hela nilikutana na riba ingawa wao wanasema sio riba
riba ipo mkuu, mimi nilijaribu kufanya hivyo mwaka jana, nilikuwa na mradi wa barabara (gravel road), huwezi amini wakati narejesha hela nilikutana na riba ingawa wao wanasema sio riba
Kwa hyo walipata cha juu na waoMimi niliomba 750M lakin katika kutumia nilitumia 602M, baada ya kulipwa nilienda pale ili wakate hela yote, wakati wanapiga hesabu waliangalia muda ambao nimekaa na hela yao wakazidisha wanavyojua. Jumla nilirejesha 666M
Angalia hiyo tofauti ya matumizi na malipoKwa hyo walipata cha juu na wao
Kwa hyo walipata cha juu na wao
ALmost 10%.Kwa hyo walipata cha juu na wao
Kwahio wakati unachukua hawakukwambia kuna riba ila wakati unarudisha ndio ukaambiwa lipa na riba? Hamna mkataba?riba ipo mkuu, mimi nilijaribu kufanya hivyo mwaka jana, nilikuwa na mradi wa barabara (gravel road), huwezi amini wakati narejesha hela nilikutana na riba ingawa wao wanasema sio riba
602-666 the remain ilikwenda wapi ??Mimi niliomba 750M lakin katika kutumia nilitumia 602M, baada ya kulipwa nilienda pale ili wakate hela yote, wakati wanapiga hesabu waliangalia muda ambao nimekaa na hela yao wakazidisha wanavyojua. Jumla nilirejesha 666M
Kwa hesabu zao ndo riba inaonekana humo au sioMimi niliomba 750M lakin katika kutumia nilitumia 602M, baada ya kulipwa nilienda pale ili wakate hela yote, wakati wanapiga hesabu waliangalia muda ambao nimekaa na hela yao wakazidisha wanavyojua. Jumla nilirejesha 666M
Ndo faida yao602-666 the remain ilikwenda wapi ??
Ni namma ya kuipa jina lingine. Mfano, unatafuta gari. Wao wanamlipa dealer. Then wewe unawalipa wao kwa installment.Hivi nani aliwahi kukopeshwa pesa na hawa ISLAMIC BANK?
kama hawakopeshi pesa wanakopesha nini?
Je hicho wanachokopesha wanauza wao au wanaenda kukununulia wao dukani kwa pesa zao then wanakupa?
Naomba kwa wenye uelewa wanielekeze hapa ili nione kama kweli hawana riba ama wanaificha ficha na kuipunguza makali.
Riba maana yake nini ??Ndo faida yao
Hivi nani aliwahi kukopeshwa pesa na hawa ISLAMIC BANK?
kama hawakopeshi pesa wanakopesha nini?
Je hicho wanachokopesha wanauza wao au wanaenda kukununulia wao dukani kwa pesa zao then wanakupa?
Naomba kwa wenye uelewa wanielekeze hapa ili nione kama kweli hawana riba ama wanaificha ficha na kuipunguza makali.
Sasa kama mkopo nilitaka kufanya shopping ya mama itakuwaje?Wanachokifanya hawa jamaa kama unahitaji mabati basi wao unawapeleka kwenye duka la hayo mabati wanakulipia kisha wewe utamalizana nao, hawa jamaa ni kama wanariba vile sema wanaleta ujanja ujanja tu
Ni namma ya kuipa jina lingine. Mfano, unatafuta gari. Wao wanamlipa dealer. Then wewe unawalipa wao kwa installment.
Ungekwenda kununua moja kwa moja ingekuwa cheaper! Wengi wamestukia hilo. Mara nyingi hawakupi cash ili ukanunue mwenyewe.
Hiyo uliyoainisha ya kwanza ni biashara kama biashara zingineSwali la msingi hapa ni...RIBA ni nin hasa?!
Mie sina jibu sahihi ila nitajiwekea mifano!
Ninapoenda dukan kununua kiberiti...muuzaji alikinunua tsh 10...mie kaniuzia tsh 15....katika muktadha huu...hii sh 5 aliyopata mwenye duka ni nn?! Ni riba au ni faida?! Sijui.
Lakin vip ninapokopa lak 1 kwa bwana x. Bwana x ananiambia siku nikirudisha utalipa na elf 10 ya ziada. Je hii elf 10 katika muktadha huu ni nini? !riba au faida? Sijui!
Nisaidie kujua riba ni nn na faida ni nn kisha niwahukumu hawa waislam.
Wao hawasemi ni riba.Hakuna mkopo usio na riba
Mimi wananikata riba