alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Mtabisha,sawa.
Ukweli uliyo mchungu ni kuihusu CCM. Chama hiki ni Kikongwe na chenye mizizi iliyopitiliza!Hakuna mahali CCM hakina tawi lake iwe katika Idara,Taasisi na hata kwenye Majeshi-na huo ndiyo Ukweli.
Kwa muktadha huo, hakika mwisho wa DUDE HILO ndipo mwisho wa USTAWI WA TZ!
Hawa aki Tundu lissu na kina Mbowe hawana na KAMWE HAWEWEZI kujisimamia hata CCM ikiondoka Madarakani kuiendesha Nchi.
Wote ni wachumia na wataka Madaraka tu na kwayo wakiyapata ndiyo mwisho wa STAREHE YA NAFSI ZAO.Kifupi,WANATAMANI KUPIGIWA SALUTI NA KUFUNGULIWA MILANGO YA GARI NA KULIPIZA VISASI.Ndicho watachoweza!Lakini kwa maana nzima ya mipango na kuendesha Nchi bado hawajipanga na hawana uwezo huo.
Ukweli uliyo mchungu ni kuihusu CCM. Chama hiki ni Kikongwe na chenye mizizi iliyopitiliza!Hakuna mahali CCM hakina tawi lake iwe katika Idara,Taasisi na hata kwenye Majeshi-na huo ndiyo Ukweli.
Kwa muktadha huo, hakika mwisho wa DUDE HILO ndipo mwisho wa USTAWI WA TZ!
Hawa aki Tundu lissu na kina Mbowe hawana na KAMWE HAWEWEZI kujisimamia hata CCM ikiondoka Madarakani kuiendesha Nchi.
Wote ni wachumia na wataka Madaraka tu na kwayo wakiyapata ndiyo mwisho wa STAREHE YA NAFSI ZAO.Kifupi,WANATAMANI KUPIGIWA SALUTI NA KUFUNGULIWA MILANGO YA GARI NA KULIPIZA VISASI.Ndicho watachoweza!Lakini kwa maana nzima ya mipango na kuendesha Nchi bado hawajipanga na hawana uwezo huo.