Ambacho wengi wenu hamkielewi mwisho wa CCM ndiyo mwisho wa Tanzania!

alexelias

JF-Expert Member
Sep 1, 2017
2,032
3,198
Mtabisha,sawa.

Ukweli uliyo mchungu ni kuihusu CCM. Chama hiki ni Kikongwe na chenye mizizi iliyopitiliza!Hakuna mahali CCM hakina tawi lake iwe katika Idara,Taasisi na hata kwenye Majeshi-na huo ndiyo Ukweli.

Kwa muktadha huo, hakika mwisho wa DUDE HILO ndipo mwisho wa USTAWI WA TZ!

Hawa aki Tundu lissu na kina Mbowe hawana na KAMWE HAWEWEZI kujisimamia hata CCM ikiondoka Madarakani kuiendesha Nchi.

Wote ni wachumia na wataka Madaraka tu na kwayo wakiyapata ndiyo mwisho wa STAREHE YA NAFSI ZAO.Kifupi,WANATAMANI KUPIGIWA SALUTI NA KUFUNGULIWA MILANGO YA GARI NA KULIPIZA VISASI.Ndicho watachoweza!Lakini kwa maana nzima ya mipango na kuendesha Nchi bado hawajipanga na hawana uwezo huo.
 
Endelea kuota ndoto za mchana. Kiufupi unaonekana hakuna unachokijua katika historia ya tawala za kidunia.

Kama Rome ilitawala Ulaya nzima na sehemu kubwa ya Asia kwa mamia ya miaka na bado ilianguka tu sembuse hawa wasiojielewa?

Nothing lasts forever, especially mediocre things like CCM.
 
Mtabisha,sawa.

Ukweli uliyo mchungu ni kuihusu CCM. Chama hiki ni Kikongwe na chenye mizizi iliyopitiliza!Hakuna mahali CCM hakina tawi lake iwe katika Idara,Taasisi na hata kwenye Majeshi-na huo ndiyo Ukweli.

Kwa muktadha huo, hakika mwisho wa DUDE HILO ndipo mwisho wa USTAWI WA TZ!

Hawa aki Tundu lissu na kina Mbowe hawana na KAMWE HAWEWEZI kujisimamia hata CCM ikiondoka Madarakani kuiendesha Nchi.

Wote ni wachumia na wataka Madaraka tu na kwayo wakiyapata ndiyo mwisho wa STAREHE YA NAFSI ZAO.Kifupi,WANATAMANI KUPIGIWA SALUTI NA KUFUNGULIWA MILANGO YA GARI NA KULIPIZA VISASI.Ndicho watachoweza!Lakini kwa maana nzima ya mipango na kuendesha Nchi bado hawajipanga na hawana uwezo huo.
Ndio mwanzo wa maendeleo chanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtabisha,sawa.

Ukweli uliyo mchungu ni kuihusu CCM. Chama hiki ni Kikongwe na chenye mizizi iliyopitiliza!Hakuna mahali CCM hakina tawi lake iwe katika Idara,Taasisi na hata kwenye Majeshi-na huo ndiyo Ukweli.

Kwa muktadha huo, hakika mwisho wa DUDE HILO ndipo mwisho wa USTAWI WA TZ!

Hawa aki Tundu lissu na kina Mbowe hawana na KAMWE HAWEWEZI kujisimamia hata CCM ikiondoka Madarakani kuiendesha Nchi.

Wote ni wachumia na wataka Madaraka tu na kwayo wakiyapata ndiyo mwisho wa STAREHE YA NAFSI ZAO.Kifupi,WANATAMANI KUPIGIWA SALUTI NA KUFUNGULIWA MILANGO YA GARI NA KULIPIZA VISASI.Ndicho watachoweza!Lakini kwa maana nzima ya mipango na kuendesha Nchi bado hawajipanga na hawana uwezo huo.
Hakika wewe ni great thinker.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliondoka mkoloni na Tanzania ikabaki Leo CCM ????. Sijapata kuona MTU mwenye ufinyu wa kufikiri kama huyu.
Mtabisha,sawa.

Ukweli uliyo mchungu ni kuihusu CCM. Chama hiki ni Kikongwe na chenye mizizi iliyopitiliza!Hakuna mahali CCM hakina tawi lake iwe katika Idara,Taasisi na hata kwenye Majeshi-na huo ndiyo Ukweli.

Kwa muktadha huo, hakika mwisho wa DUDE HILO ndipo mwisho wa USTAWI WA TZ!

Hawa aki Tundu lissu na kina Mbowe hawana na KAMWE HAWEWEZI kujisimamia hata CCM ikiondoka Madarakani kuiendesha Nchi.

Wote ni wachumia na wataka Madaraka tu na kwayo wakiyapata ndiyo mwisho wa STAREHE YA NAFSI ZAO.Kifupi,WANATAMANI KUPIGIWA SALUTI NA KUFUNGULIWA MILANGO YA GARI NA KULIPIZA VISASI.Ndicho watachoweza!Lakini kwa maana nzima ya mipango na kuendesha Nchi bado hawajipanga na hawana uwezo huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuota ndoto za mchana. Kiufupi unaonekana hakuna unachokijua katika historia ya tawala za kidunia.

Kama Rome ilitawala Ulaya nzima na sehemu kubwa ya Asia kwa mamia ya miaka na bado ilianguka tu sembuse hawa wasiojielewa?

Nothing lasts forever, especially mediocre things like CCM.
Hiyo Roma iliangushwa na watu waliojipanga na si kama hawa wetu ambao kuzurula na kutapika nyongo zao ndilo dhanio Lao kwamba watayapata Madaraka.

Huwezi kutawala kwa kutegemea msaada pekee bila wewe kwanza kujipanga!

Huwezi kuwa na mipango mizuri kwa eti kupigiwa makofi machache na ulio walazimisha waje ili uwaeleze yaliyo kupata!

Wewe upo USA na mnavyomdanganya ndg yenu ni sawa na kumpotezea mda wake bure!
 
Nimeona unaongelea uoga wa kulipiza visasi. Kumbe unajua kama ccm inawakosea watu hivyo unaogopa kulipiza visasi.

Msiwatendee watu vibaya basi ili kuepuka uoga wa kulipwa kisasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuota ndoto za mchana. Kiufupi unaonekana hakuna unachokijua katika historia ya tawala za kidunia.

Kama Rome ilitawala Ulaya nzima na sehemu kubwa ya Asia kwa mamia ya miaka na bado ilianguka tu sembuse hawa wasiojielewa?

Nothing lasts forever, especially mediocre things like CCM.
Hiyo Roma iliangushwa na watu waliojipanga na si kama hawa wetu ambao kuzurula na kutapika nyongo zao ndilo dhanio Lao kwamba watayapata Madaraka.

Huwezi kutawala kwa kutegemea msaada pekee bila wewe kwanza kujipanga!

Huwezi kuwa na mipango mizuri kwa eti kupigiwa makofi machache na ulio walazimisha waje ili uwaeleze yaliyo kupata!

Wewe upo USA na mnavyomdanganya ndg yenu ni sawa na kumpotezea mda wake bure!
 
Sijui kama FARAO alijua iko siku ataangamia na kuiacha MISRI ikiwa hai.
 
Mwisho wa CCM sio mwisho wa nchi...nchi lazima iendelee

Ila hata Kama wapinzani watapata kuongoza bado hakuna anaeweza kuongoza kila kitu kwa asilimia 100 bila kulaumiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtabisha,sawa.

Ukweli uliyo mchungu ni kuihusu CCM. Chama hiki ni Kikongwe na chenye mizizi iliyopitiliza!Hakuna mahali CCM hakina tawi lake iwe katika Idara,Taasisi na hata kwenye Majeshi-na huo ndiyo Ukweli.

Kwa muktadha huo, hakika mwisho wa DUDE HILO ndipo mwisho wa USTAWI WA TZ!

Hawa aki Tundu lissu na kina Mbowe hawana na KAMWE HAWEWEZI kujisimamia hata CCM ikiondoka Madarakani kuiendesha Nchi.

Wote ni wachumia na wataka Madaraka tu na kwayo wakiyapata ndiyo mwisho wa STAREHE YA NAFSI ZAO.Kifupi,WANATAMANI KUPIGIWA SALUTI NA KUFUNGULIWA MILANGO YA GARI NA KULIPIZA VISASI.Ndicho watachoweza!Lakini kwa maana nzima ya mipango na kuendesha Nchi bado hawajipanga na hawana uwezo huo.
sawa. ni vizuri zaidi kuanza upya na kitu kipya kizuri.

ukitaka kujenga ghorofa kwenye kiwanja kilichojengwa kibanda cha mbavu za mbwa, shurti ukibomoe kibanda kwanza!
 
Mtabisha,sawa.

Ukweli uliyo mchungu ni kuihusu CCM. Chama hiki ni Kikongwe na chenye mizizi iliyopitiliza!Hakuna mahali CCM hakina tawi lake iwe katika Idara,Taasisi na hata kwenye Majeshi-na huo ndiyo Ukweli.

Kwa muktadha huo, hakika mwisho wa DUDE HILO ndipo mwisho wa USTAWI WA TZ!

Hawa aki Tundu lissu na kina Mbowe hawana na KAMWE HAWEWEZI kujisimamia hata CCM ikiondoka Madarakani kuiendesha Nchi.

Wote ni wachumia na wataka Madaraka tu na kwayo wakiyapata ndiyo mwisho wa STAREHE YA NAFSI ZAO.Kifupi,WANATAMANI KUPIGIWA SALUTI NA KUFUNGULIWA MILANGO YA GARI NA KULIPIZA VISASI.Ndicho watachoweza!Lakini kwa maana nzima ya mipango na kuendesha Nchi bado hawajipanga na hawana uwezo huo.
Yaani mkishapokea tu, mnakuja kutulisha matango pori ili nasi tufanane nanyi kimawazo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna ukweli fulani ndani yake
Ndugu,katika Nchi hii CCM ni zaidi ya mizizi kwa namna ilivyojipanga!

Sasa hawo wabishao we wengi wao humu ni vitoto vya juzi kabisa visivyoelewa a wala b ya USUGU wa CCM!
 
Back
Top Bottom