Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,729
Unaweza kuongeza uliyokutana nayo au ya kwako.
"Zangu source hazijulikani"
Mfalme wa Italia wa 18, Umberto alikwenda mgahawani huko Monza na Mkuu wa majeshi Emilio Ponzia Vaglia. Mmiliki wa mgahawa alichukua oda ya Mfalme Umberto. Baada ya muda kidogo Mfalme aligundua kwamba yeye na mmiliki wa mgahawa wanafanana kwa kila kitu na walionekana karibu sawa. Wanaweza kuwa ndugu.
Walipokuwa wakizungumzia jinsi walivyofanana, waligundua kuwa:-
---- wote wawili walizaliwa tarehe 14 Machi 1844.
----Wote wawili wamezaliwa katika mji huo huo.
----Wote wawili walioa na wamefunga ndoa na wanawake wanaoitwa Margherita.
----Mmiliki wa mgahawa alifungua mgahawa wake siku hiyo hiyo Umberto alipokuwa Mfalme.
Cha kushangaza Miaka michache baadaye, mwaka wa 1900 Mfalme Umberto aliambiwa kuwa mmiliki wa mgahawa alifariki. Mfalme Umberto alisema kwa watu wake wa karibu jinsi alivyokuwa amesikitishwa saana na kusikia habari hii ya mtu aliyefanana naye kufariki. Baadae mfalme alipigwa risasi mara nne na kufariki dunia na muuaji inasemekana aliitwa Gaetano Bresci. Mfalme Umberto alizikwa Pantheon.
"Zangu source hazijulikani"
Mfalme wa Italia wa 18, Umberto alikwenda mgahawani huko Monza na Mkuu wa majeshi Emilio Ponzia Vaglia. Mmiliki wa mgahawa alichukua oda ya Mfalme Umberto. Baada ya muda kidogo Mfalme aligundua kwamba yeye na mmiliki wa mgahawa wanafanana kwa kila kitu na walionekana karibu sawa. Wanaweza kuwa ndugu.
Walipokuwa wakizungumzia jinsi walivyofanana, waligundua kuwa:-
---- wote wawili walizaliwa tarehe 14 Machi 1844.
----Wote wawili wamezaliwa katika mji huo huo.
----Wote wawili walioa na wamefunga ndoa na wanawake wanaoitwa Margherita.
----Mmiliki wa mgahawa alifungua mgahawa wake siku hiyo hiyo Umberto alipokuwa Mfalme.
Cha kushangaza Miaka michache baadaye, mwaka wa 1900 Mfalme Umberto aliambiwa kuwa mmiliki wa mgahawa alifariki. Mfalme Umberto alisema kwa watu wake wa karibu jinsi alivyokuwa amesikitishwa saana na kusikia habari hii ya mtu aliyefanana naye kufariki. Baadae mfalme alipigwa risasi mara nne na kufariki dunia na muuaji inasemekana aliitwa Gaetano Bresci. Mfalme Umberto alizikwa Pantheon.