Amatus Liyumba: Balaa!

hizo PM basi jamani na mi nazi-mind maana inaonekana kuna mengi zaidi huko, au kama vipi tumwage hapa hapa.
 
aiseee naomba niungane nawe mpiganaji ....as yaelekea huko kwenye ku pm each other kuna mambo kweli kweli sasa kama hayawezi kumwaga uwanjani basi naombeni na mie mni pm wandugu.....mweeee mwatunyima uhondozzzz
 
Liumba kwa data za uhakika,
Mke wake amefariki mwaka jana kwa miwaya baada ya kuugua muda mrefu sana akiwa kitandani tu mama wa watu.
Binti yake ambaye alikuwa anafanyakazi BOT naye alifariki mwaka jana hakuachana sana na mama yake pia na miwaya.

kikubwa zaidi inasemekana Liumba alikuwa anakula kuku na mayai yake.Mungu amsaidie sana manake ana laana nyingi sana hapa duniani.

duhh hii sasa ndio imenitisha kinyama...kama hadi daughter wake wa kike kamla na kumpa miwaya..atakua kaacha kweli madaughter wa wengine???

haya sasa na nyie mabitozi wapenda totoz za hali ya juu mtanue nazo mtaani haya sasa mjue mwatanua na miwaya ya nguvu thanx to the BOT fisadi wa ngono maana ufisadi uko wa aina nyingi kama muonavyo hata michuzi kawa fisadi naye kwa namna yake
 
jamani waungwana Data kama hizi kama ni za kweli ni muhimu tuwetunazipata,ni faida kwa wote,wewe na mimi,haijalishi kwamba uko wapi,kama kuna watu zaidi wanafanya haka kamchezo kakuambukiza maksudi basi itabidi tuwataje ,jamani tusifiche,nifaida yetu wote,tunaweza kusema tuko makini,ila kosa dogo tu likaharibu uaminifu
 
Ngoja niku PM. Mzee Liyumba amewamaliza wengi sana wa mastaa hapa nchini. Marehemu AC alikuwa mmojawapo. Kila magazeti ya udaku yakiandika kuhusu AC na mzee mzee alikuwa anakata hela kwa AC. Si huyo tu hata mtangazaji mmoja maarufu kwa sasa wanakaa kinyumba. Kuweka mademu kinyumba ameshaweka wengi sana, hasa waliokuwa wasanii wa kuigiza ndio usiseme.

Vijana wengi dar wapendao mastaa watakuwa wana huu udhaifu wa kinga mwilini.
Madada wanasema bora maisha ya raha mafupi kuliko marefu yenye shida.

Yaani wanakubali UKIMWI kuliko UPEMI (Ukosefu wa PEsa MIfukoni)

Duuuu?? inatisha jamani! cjui kama tutasalimika kwa mwendo huu! Make hapa ni kazi kweli kweli kuusemea moyo wa mwenzio, sasa tulio oa/kuolewa ni balaa aisee!

Ila jamani huo ufisadi wa PM ufe, we talk openly here!
 
Kama JF imekuwa na mijadala kwa mtindo wa PM, then naomba na nipate hizo PM.
 
hii hoja inautata nini? mbona jamaa wakipata
pm wanatoweka? nashindwa kusangaa kabsaaa
 
Ukisha pea PM unakuwa umeridhika na maelezo na unaacha kuchangia kwa ajili ya USALAMA WA TAIFA kwi kwi kwiii
 
Mi nashauri tusiwalaumu watoto wadogo wa kike wengi wanaotokea kutoka familia za kipato cha chini. Hata wale ambao ni middle class wanakuwa wanayumbishwa kirahisi na hongo. And who are we to judge them when morally all Tanzanians are corrupt in one way or another? Kama wewe si mtoa rushwa ni mpokeaji. Do not blame the girls! Where are the parents? Msichana aliyelelewa katika maadili mazuri na anayetoka kwenye familia iliyo stable na yenye mapendo hawezi kuyumbishwa. But most come from broken families and with poor upbringing and that cuts across rich or poor families!
Mi namlaumu sana huyu mtu mzima Liyumba na arrogance yake na his disregard for others lives!
Wana JF,
Hii issue ilinipita kushoto. Ila mwezi March mwaka huu nikiwa Tabora nilimsikia Rage akisema kuwa Dar kuna bwana anagawa MAGARI MEKUNDU na ndipo nikaona ehh, kumbe hii habari ni kweli? Nimekuja kuikuta humu ndani na kutaka kusoma zaidi ninakuta kuna PM tu. Haya kama nilichelewa namimi kuna MTU anaweza kunitumia hizo habari? Najua zimepitwa na wakati.
Naungana na SUSUVIRI kuwa huyu jamaa anatakiwa alaniwe. Kuna Mcameroon mmoja alikamatwa kwa kueneza Ukimwi nchi za watu. Huyu jamaa hakupimwa yeye moja kwa moja ila walipima wasichana na kukutwa na UKIMWI na baada ya kujua hilo walienda na kumbeba Mzobemzobe. Ila tatizo la Tanzania ukisema ufanye hivyo basi utaacha VOBOSILE wa KIKE TU. Kuna dada mmoja aliniambia kuwa pale WIZARA YA MIUNDOMBINU, Makongoro ni kama SHARK. Kila kisamaki kikikatiza hakiachii. Tena haangalii hata sura wala umri. Nilishasikia kuwa hata Benny alikuwa Mkali sana enzi zake. Sijui kwa sasa yukoje. Nafikiri huko kwao na Tanga basi akina dada wako na hali nzuri maana LIDHAMINI limeingia. Na linazo NYINGI TU.
 
PM zina ubaguzi sasa maana yake nini???anyway..labda kuna classes hapa JF...ila liyumba nae amewamaliza sana dada zetu...alikuwa anawapanga kule Paradiso...hadi aibu...huyoo..dada mimacho wa EATV...na dada aliekuwa anaigiza lafidhi ya kikenyaa...miaka 5 nyumaa...waliliwa sana na jamaa huyu...
 
Bi Mkubwa hii Avatar yako na signature yako vinanifurahisha,Ngoja nipitie makabrasha yangu ili nikupitishie hiyo email...

Mwe Mwawado, wengi tumeomba na mie ndiye niliyeanza. Naona umemuona Bi-Mkubwa tu. Ehhh, itabidi na mimi nibadilishe sahihi na picha.....
Na sisi masikio yanawasha kwa hamu ya kusoma
 
PM zina ubaguzi sasa maana yake nini???anyway..labda kuna classes hapa JF...ila liyumba nae amewamaliza sana dada zetu...alikuwa anawapanga kule Paradiso...hadi aibu...huyoo..dada mimacho wa EATV...na dada aliekuwa anaigiza lafidhi ya kikenyaa...miaka 5 nyumaa...waliliwa sana na jamaa huyu...
usitaje sana.....presha preshaaa!
 
Mwe Mwawado, wengi tumeomba na mie ndiye niliyeanza. Naona umemuona Bi-Mkubwa tu. Ehhh, itabidi na mimi nibadilishe sahihi na picha.....
Na sisi masikio yanawasha kwa hamu ya kusoma
Hata mimi pia.....
 
Kuna dada mmoja aliniambia kuwa pale WIZARA YA MIUNDOMBINU, Makongoro ni kama SHARK. Kila kisamaki kikikatiza hakiachii. Tena haangalii hata sura wala umri.

Makongoro akitoka Bungeni kijiwe chake ni pale Swiss Pub Tabata Bima, anavinjari na vitoto akina Koku, na wake za watu akina Mama Phai. (Huo ndiyo utawala bora
 
Pdiddy... check your PMs..

Jamani hivi hata JF kumbe mnaficha habari, mnapeana wachache kwa ku-PM.
On the other side, you complain and sometimes insult governemnt officials and the likes who hide information.
Mnapokuwa manaona habari ni ya wachache mnaojiona wenye kufaa kupata details basi MODERATOR usiwe unaiache hapa UTOE KABISA
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom