Amani yetu ni muhimu sana kuliko mgombea yeyote

Wamkopeka

Senior Member
Apr 2, 2012
136
308
Ndugu wanajukwaa na watanzania kwa ujumla, naamini kwa pamoja tunakubaliana kwamba amani ya nchi yetu ni muhimu kuliko mgombea yeyote na nafasi yoyote.

Sasa kutokana na umuhimu wa amani hasa katika kipindi hiki tukielekea kufanya uchaguzi mkuu ili kuwapata viongozi wetu wa kisiasa katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, ni vema watanzania kwa umoja wetu bila kujali mapenzi yetu kwa vyama vya siasa au kwa wagombea, tusimame kama taifa kuhakikisha tunailinda amani yetu kwa gharama ya busara na kusimamia haki.

Najua na kama nilivyosema hapo juu, wengi wetu tuna itikadi za vyama, tuna mapenzi na wagombea fulani na tunatamani washinde kwa uchaguzi huu.

Kuwa na itikadi ya chama au kumpenda mgombea fulani na kutaka ashinde si dhambi na wala haijawi kuwa dhambi.
Lakini ushindi mzuri ni ule wa kushinda kwa haki bila kulazimisha na pengine kupelekea machafuko.

Mgombea wa chama A akimshinda mgombea wa chama B kwa haki, basi sisi watanzania kwa umoja wetu tuutambue huo ushindi na tumpongeze aliyeshinda.

Halikadhalika mgombea wa chama B akishinda basi mgombea wa chama A akubali kuwa kashindwa na isitokee akaona kwamba ni yeye tu ndio anastahili kuongoza taifa hili na akapelekea machafuko kwa kulazimisha ushindi uwe wake.

Mimi naamini wagombea, na tume ya uchaguzi wakijaliwa busara ya kuheshimu matakwa ya wapiga kura basi uchaguzi huu tutavuka salama na pengine hata nchi zingine zitatamani kuja kujifunza kutoka kwetu.

Tukubaliane kwamba wagombea wetu wote bila kujali vyama vyao, lakini wote ni watanzania na wote wanastahili kuongoza nchi yetu.
Asitokee mtu wa kusema eti fulani hastahili kwa vile tu anatokea chama fulani.

Atakayeshinda iwe ni Tanzania imeshinda.
Mungu atujalie tuvuke salama.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Ndugu wanajukwaa na watanzania kwa ujumla, naamini kwa pamoja tunakubaliana kwamba amani ya nchi yetu ni muhimu kuliko mgombea yeyote na nafasi yoyote.

Sasa kutokana na umuhimu wa amani hasa katika kipindi hiki tukielekea kufanya uchaguzi mkuu ili kuwapata viongozi wetu wa kisiasa katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, ni vema watanzania kwa umoja wetu bila kujali mapenzi yetu kwa vyama vya siasa au kwa wagombea, tusimame kama taifa kuhakikisha tunailinda amani yetu kwa gharama ya busara na kusimamia haki.

Najua na kama nilivyosema hapo juu, wengi wetu tuna itikadi za vyama, tuna mapenzi na wagombea fulani na tunatamani washinde kwa uchaguzi huu.

Kuwa na itikadi ya chama au kumpenda mgombea fulani na kutaka ashinde si dhambi na wala haijawi kuwa dhambi.
Lakini ushindi mzuri ni ule wa kushinda kwa haki bila kulazimisha na pengine kupelekea machafuko.

Mgombea wa chama A akimshinda mgombea wa chama B kwa haki, basi sisi watanzania kwa umoja wetu tuutambue huo ushindi na tumpongeze aliyeshinda.

Halikadhalika mgombea wa chama B akishinda basi mgombea wa chama A akubali kuwa kashindwa na isitokee akaona kwamba ni yeye tu ndio anastahili kuongoza taifa hili na akapelekea machafuko kwa kulazimisha ushindi uwe wake.

Mimi naamini wagombea, na tume ya uchaguzi wakijaliwa busara ya kuheshimu matakwa ya wapiga kura basi uchaguzi huu tutavuka salama na pengine hata nchi zingine zitatamani kuja kujifunza kutoka kwetu.

Tukubaliane kwamba wagombea wetu wote bila kujali vyama vyao, lakini wote ni watanzania na wote wanastahili kuongoza nchi yetu.
Asitokee mtu wa kusema eti fulani hastahili kwa vile tu anatokea chama fulani.

Atakayeshinda iwe ni Tanzania imeshinda.
Mungu atujalie tuvuke salama.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja kwa Sasa tz kwanza,mchakato wa uchaguzi wa haki na huru Basi, hatutaki matatizo ,mshindi halali atangazwe Basi short cut ya chama chocho lazima tuikatae kwa umoja wetu ili kulinda amani ya nchi yetu ,hakuna mwenye hatimiliki na nchii hii
 
Hakika Mkuu.
Ila kuna Dalili nyingi sana Lissu akapata kura nyingi lakini kukawa na ugumu sana katikakumtangaza.

NEC wanataka kutuvurugia uchaguzi kwa kupitisha wagombea wa CCM bila kupingwa, kupendelea CCM, viongozi wa CCM pombe anazungumza lugha ya asili
Mgombea wa CCM anatisha wapigakura nk

Tume imefeli pakubwa sana wajiandae tu kumtangaza mshindi yoyote atakayeshinda..

NI YEYE.
 
Hata ikitokea J.P.Magufuli ameshinda kwa Asilimia 90 ,(90%).

Basi tusiingie barabarani na kuleta Vurugu.

Hakika amani itaendelea kudumishwa katika nchi hii.
 
Nashauri tukiona uchaguzi unavurugwa na wezi wa kura tuingie barabarani
 
"Ukiwa mwaminifu katika jambo dogo hakika katika jambo kubwa utakuwa mwaminifu na kinyume chake ni kweli tupu".

Ukumbusho: mamlaka husika kuhusu uchaguzi wajipime uaminifu wao; hakika tutaifaidi amani.
 
Naunga mkono hoja kwa Sasa tz kwanza,mchakato wa uchaguzi wa haki na huru Basi, hatutaki matatizo ,mshindi halali atangazwe Basi short cut ya chama chocho lazima tuikatae kwa umoja wetu ili kulinda amani ya nchi yetu ,hakuna mwenye hatimiliki na nchii hii
Mchakato wa uchaguzi ameshapoteza sifa ya kuwa huru na wa haki labda tuufute tuanze upya

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu wanajukwaa na watanzania kwa ujumla, naamini kwa pamoja tunakubaliana kwamba amani ya nchi yetu ni muhimu kuliko mgombea yeyote na nafasi yoyote.

Sasa kutokana na umuhimu wa amani hasa katika kipindi hiki tukielekea kufanya uchaguzi mkuu ili kuwapata viongozi wetu wa kisiasa katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, ni vema watanzania kwa umoja wetu bila kujali mapenzi yetu kwa vyama vya siasa au kwa wagombea, tusimame kama taifa kuhakikisha tunailinda amani yetu kwa gharama ya busara na kusimamia haki.

Najua na kama nilivyosema hapo juu, wengi wetu tuna itikadi za vyama, tuna mapenzi na wagombea fulani na tunatamani washinde kwa uchaguzi huu.

Kuwa na itikadi ya chama au kumpenda mgombea fulani na kutaka ashinde si dhambi na wala haijawi kuwa dhambi.
Lakini ushindi mzuri ni ule wa kushinda kwa haki bila kulazimisha na pengine kupelekea machafuko.

Mgombea wa chama A akimshinda mgombea wa chama B kwa haki, basi sisi watanzania kwa umoja wetu tuutambue huo ushindi na tumpongeze aliyeshinda.

Halikadhalika mgombea wa chama B akishinda basi mgombea wa chama A akubali kuwa kashindwa na isitokee akaona kwamba ni yeye tu ndio anastahili kuongoza taifa hili na akapelekea machafuko kwa kulazimisha ushindi uwe wake.

Mimi naamini wagombea, na tume ya uchaguzi wakijaliwa busara ya kuheshimu matakwa ya wapiga kura basi uchaguzi huu tutavuka salama na pengine hata nchi zingine zitatamani kuja kujifunza kutoka kwetu.

Tukubaliane kwamba wagombea wetu wote bila kujali vyama vyao, lakini wote ni watanzania na wote wanastahili kuongoza nchi yetu.
Asitokee mtu wa kusema eti fulani hastahili kwa vile tu anatokea chama fulani.

Atakayeshinda iwe ni Tanzania imeshinda.
Mungu atujalie tuvuke salama.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Hakuna uchaguzi huru na haki kwani hakuna Tume huru ya uchaguzi kuna NECCCM Tumeccm kwa sasa ni vigumu kuwa na uchaguzi huru
 
Nashauri tukiona uchaguzi unavurugwa na wezi wa kura tuingie barabarani
Tayari Tumeccm NECCCM wanatembea na matokeo mifukoni kitambo wamechukua matokeo ya 2015 wamechanganya na kura zingine kidogo ndizo watazitangaza kampeni zinapoteza mda na pesa bure wakati CCM wanayo matokeo haramu mifukoni
 
Ndugu wanajukwaa na watanzania kwa ujumla, naamini kwa pamoja tunakubaliana kwamba amani ya nchi yetu ni muhimu kuliko mgombea yeyote na nafasi yoyote.

Sasa kutokana na umuhimu wa amani hasa katika kipindi hiki tukielekea kufanya uchaguzi mkuu ili kuwapata viongozi wetu wa kisiasa katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, ni vema watanzania kwa umoja wetu bila kujali mapenzi yetu kwa vyama vya siasa au kwa wagombea, tusimame kama taifa kuhakikisha tunailinda amani yetu kwa gharama ya busara na kusimamia haki.

Najua na kama nilivyosema hapo juu, wengi wetu tuna itikadi za vyama, tuna mapenzi na wagombea fulani na tunatamani washinde kwa uchaguzi huu.

Kuwa na itikadi ya chama au kumpenda mgombea fulani na kutaka ashinde si dhambi na wala haijawi kuwa dhambi.
Lakini ushindi mzuri ni ule wa kushinda kwa haki bila kulazimisha na pengine kupelekea machafuko.

Mgombea wa chama A akimshinda mgombea wa chama B kwa haki, basi sisi watanzania kwa umoja wetu tuutambue huo ushindi na tumpongeze aliyeshinda.

Halikadhalika mgombea wa chama B akishinda basi mgombea wa chama A akubali kuwa kashindwa na isitokee akaona kwamba ni yeye tu ndio anastahili kuongoza taifa hili na akapelekea machafuko kwa kulazimisha ushindi uwe wake.

Mimi naamini wagombea, na tume ya uchaguzi wakijaliwa busara ya kuheshimu matakwa ya wapiga kura basi uchaguzi huu tutavuka salama na pengine hata nchi zingine zitatamani kuja kujifunza kutoka kwetu.

Tukubaliane kwamba wagombea wetu wote bila kujali vyama vyao, lakini wote ni watanzania na wote wanastahili kuongoza nchi yetu.
Asitokee mtu wa kusema eti fulani hastahili kwa vile tu anatokea chama fulani.

Atakayeshinda iwe ni Tanzania imeshinda.
Mungu atujalie tuvuke salama.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
CCM hawakubali
 
Ndugu wanajukwaa na watanzania kwa ujumla, naamini kwa pamoja tunakubaliana kwamba amani ya nchi yetu ni muhimu kuliko mgombea yeyote na nafasi yoyote.

Sasa kutokana na umuhimu wa amani hasa katika kipindi hiki tukielekea kufanya uchaguzi mkuu ili kuwapata viongozi wetu wa kisiasa katika ngazi ya udiwani, ubunge na urais, ni vema watanzania kwa umoja wetu bila kujali mapenzi yetu kwa vyama vya siasa au kwa wagombea, tusimame kama taifa kuhakikisha tunailinda amani yetu kwa gharama ya busara na kusimamia haki.

Najua na kama nilivyosema hapo juu, wengi wetu tuna itikadi za vyama, tuna mapenzi na wagombea fulani na tunatamani washinde kwa uchaguzi huu.

Kuwa na itikadi ya chama au kumpenda mgombea fulani na kutaka ashinde si dhambi na wala haijawi kuwa dhambi.
Lakini ushindi mzuri ni ule wa kushinda kwa haki bila kulazimisha na pengine kupelekea machafuko.

Mgombea wa chama A akimshinda mgombea wa chama B kwa haki, basi sisi watanzania kwa umoja wetu tuutambue huo ushindi na tumpongeze aliyeshinda.

Halikadhalika mgombea wa chama B akishinda basi mgombea wa chama A akubali kuwa kashindwa na isitokee akaona kwamba ni yeye tu ndio anastahili kuongoza taifa hili na akapelekea machafuko kwa kulazimisha ushindi uwe wake.

Mimi naamini wagombea, na tume ya uchaguzi wakijaliwa busara ya kuheshimu matakwa ya wapiga kura basi uchaguzi huu tutavuka salama na pengine hata nchi zingine zitatamani kuja kujifunza kutoka kwetu.

Tukubaliane kwamba wagombea wetu wote bila kujali vyama vyao, lakini wote ni watanzania na wote wanastahili kuongoza nchi yetu.
Asitokee mtu wa kusema eti fulani hastahili kwa vile tu anatokea chama fulani.

Atakayeshinda iwe ni Tanzania imeshinda.
Mungu atujalie tuvuke salama.

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Sawa naona umerukia mbele. Cha kwanza ni kutenda HAKI. Ukitenda haki katika maeneo mengi,na katika hili la uchaguzi. Mtoe mtu katika kinyang'anyiro kwa haki hakutakuwa na malalamiko na kila mtu atakuwa na amani. Baada ya haki itakuja AMANI hapo kwenye msingi wa uzi wako mkuu. Viongozi pamoja na watu wengi pamoja na wewe neno haki mnaliruka mnakimbilia kwenye amani. Tutende haki,tutapata amani na baadaye watu wanakuwa na furaha katika maisha yao. Mkuu nilikuwa nanyoosha na kuongeza kidogo
 
Back
Top Bottom