Imurumunyungu
Senior Member
- Nov 27, 2011
- 108
- 17
Ndugu wanaJF ni kwamba hali ya amani ndani ya kijiji cha Kakola kilicho jirani kabisa na mgodi wa dhahabu wa BARRICK BULYANHULU GOLD MINE imetoweka gafla baada ya polisi kuwatawanya wanafunzi wa shule ya Sekondari Bulyanhulu ambao walikuwa wanaandamana kudai walimu waletwe shuleni hapo ili waweze kufundishwa.
Shule mpaka sasa haina walimu wa kutosha.
In short hali ni mbaya mpaka sasa mabomu ya machozi na risasi za moto zinazidi kurindima kwenye anga la kijiji cha Kakola.
Shule mpaka sasa haina walimu wa kutosha.
In short hali ni mbaya mpaka sasa mabomu ya machozi na risasi za moto zinazidi kurindima kwenye anga la kijiji cha Kakola.