Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 5,671
- 2,348
UINGEREZA ndiyo iliyokuja kumsaidia baba wa taifa hayati JKN baada ya mapinduzi yale.....
UINGEREZA ileile iliyokuwa BOSS wa JAMSHID.....UINGEREZA ileile iliyomsimamia Jemshid "aeneze Uislam Zanzibar" ndiyo iliyokuja tena kumsaidia BABA WA TAIFA HAYATI JKN.....
Ni uingereza haohao WAANGLIKANA na si WAKATOLIKI.....
Tupende kudadavua mambo kwa upana na mawanda yake......
Binadamu hana ADUI na RAFIKI wa kudumu........huo ndio ukweli wenyewe na ndio maana JAMSHID na familia yake yuko hifadhini Uingereza......na kule kwao Oman Muscat.....ni haohao WAINGEREZA waliompa nguvu baba yake hayati sultan Qaboos,hayati Qaboos mwenyewe na huyu wa sasa......
Lete ushahidi muingereza alimsimamia Jemshid aeneze uislamuu Zanzibar
Unajifanya kukimbia ki Aina swali,
Wale wasomi waliomtoa makosa Padri Peter Smith
Ni Nani Na makosa yapi ?
Usisahau jukumu ulilopewa Na mungu la kulinda muungano