Amani Karume aliijua nguvu ya karma, akatubu, akatafuta suluhu na Maalim Seif na Serikali ya Mseto Z'bar ikaundwa. Komandoo Salmini kulikoni?

Muasisi wa Serikali ya Mseto Znz ni Jakaya Mrisho Kikwete

Serikali ya Karume ilikuwa inapinga wazo hilo na hata kwa kejeli Waziri wake maarufu Ali Juma Shamhuna akawa anakebehi anasema anajua Mseto wa Chakula sio wa Serikali

Jakaya akaitisha kikao cha NEC kikafanyika Butiama 2009 akaingiza na kuipitisha kibabe hoja ya Serikali ya Mseto Znz kina Karume wakatoka vichwa chini na kwa kuwakomesha mahafidhina akampitisha Mpemba kwa mara ya kwanza
JK alikuwa mwanasiasa haswa pamoja na mapungufu yake. Alichokosea ni kutokuona hatari ya huyu aliyemwachia.

BTW Pohamba ningependa kusikia commen yako kuhusu utawala uliopita wa Shein? Alikuwa at peace na Wazanzibar wote kweli au naye wanamchukulia kama Komandoo Salmin?
 
Kuna video nimeiona Twitter... hiki kiburi hiki! Hiki kiburi hiki; acha tu!!

Kwa state aliyokuwa nayo kwenye ile video, kisha pale umweke na mlemavu anaye-move kwa kutambaa (kiwete) kisha uwaambie atakayemaliza wa kwanza kwenye "mbio" za 100 m, basi atazawadiwa Sh.100 Billion!!!

Pesa/zawadi itaenda kwa kiwete!!!
Mkuu naomba hiyo link ya video nitumie pm plz
 
Dr Shein ni Muungwana sana sana wa level ya Ally Hassan Mwinyi
JK alikuwa mwanasiasa haswa pamoja na mapungufu yake. Alichokosea ni kutokuona hatari ya huyu aliyemwachia.

BTW Pohamba ningependa kusikia commen yako kuhusu utawala uliopita wa Shein? Alikuwa at peace na Wazanzibar wote kweli au naye wanamchukulia kama Komandoo Salmin?
 
Acha uongo, eti mwaka wa pili hana fahamu, hujui kuwa kwny ufunguzi wa Kampeni za Hussein Mwinyi alihudhuria
Zee limeisha aisee na kufa hafi sasa. Ni kama mama fulani mwaka wa pili hana fahamu amelala na yupo tuuu! Labda mwana anaweza kujifunza akiona hiyo hali
 
Zee limeisha aisee na kufa hafi sasa. Ni kama mama fulani mwaka wa pili hana fahamu amelala na yupo tuuu! Labda mwana anaweza kujifunza akiona hiyo hali
Waheshimu mama wa wenzako mkuu, ugonjwa humpata mtu aliye mwema na Alie mwovu......katubu.
 
Acha uongo, eti mwaka wa pili hana fahamu, hujui kuwa kwny ufunguzi wa Kampeni za Hussein Mwinyi alihudhuria
Nimesema mama wa fulani ndiye amelala. Huyo mzee yupo na anaweza kuchukua lisaa lizima akikokotwa kutembea kutoka chumbani kwenda sebuleni. Hahahahaa
 
Niliwahi sikia uovu alioufanya Komando alikuwa anakuchukua na mtoto wako kisha mwanaume anakuingilia nyuma mbele ya mwanao,Ukomandoo wake kwisha sasaivi,
 
Mtu mzima kukokotwa akitembea ni breaking news kwako?

Hata Mzee Jumbe pamoja na wema wote aliowafanyia wa Znz kupigania Nchi yao na kusalitiwa bado Allah alimpa mtihan wa Maradhi
Acha kufuru kujifanya unajua sababu ya mtu kupata maradhi, kuna Wema wangapi wamepata maradhi na kuna wahalifu wangapi wamedunda mtaani hadi 90 yrs?
Nimesema mama wa fulani ndiye amelala. Huyo mzee yupo na anaweza kuchukua lisaa lizima akikokotwa kutembea kutoka chumbani kwenda sebuleni. Hahahahaa
 
Mtu mzima kukokotwa akitembea ni breaking news kwako?

Hata Mzee Jumbe pamoja na wema wote aliowafanyia wa Znz kupigania Nchi yao na kusalitiwa bado Allah alimpa mtihan wa Maradhi
Acha kufuru kujifanya unajua sababu ya mtu kupata maradhi, kuna Wema wangapi wamepata maradhi na kuna wahalifu wangapi wamedunda mtaani hadi 90 yrs?
Achana na mimi. Kwangu muovu dhidi ya binadamu akisulubiwa na Mungu ni furaha. Ukitaka pasuka ila ni hivi nina furaha.
 
JK alikuwa mwanasiasa haswa pamoja na mapungufu yake. Alichokosea ni kutokuona hatari ya huyu aliyemwachia.

BTW Pohamba ningependa kusikia commen yako kuhusu utawala uliopita wa Shein? Alikuwa at peace na Wazanzibar wote kweli au naye wanamchukulia kama Komandoo Salmin?
Kikwete ni Rais dhaifu sana! (J. Mnyika)
 
Achana na mimi. Kwangu muovu dhidi ya binadamu akisulubiwa na Mungu ni furaha. Ukitaka pasuka ila ni hivi nina furaha.
Furaha ya kulazimisha?

Kwahiyo badala ya kwenda road kama lisu alivyowaambia uko hapa kushangilia ugonjwa wa huyo mzee? Ndio itasidia lisu kuwa rais?
 
Back
Top Bottom