Nimeangalia mazishi ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA kisha kada na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma. Sanduku la mwili wa Mh. Kabourou lilikuwa limebebwa na asksri wa JWTZ. Alikuwa askari? Alikuwa afisa wa jeshi hill?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.