Loly
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 509
- 209
Jamani nisaidieni hili, kuna dada mmoja mrembo sana naye alikua hayuko tayari kuupoteza urembo wake pamoja na afya baada ya kusikia maji ni dawa ya mambo mengi, kama kutengeneza ngozi iwe nyororo bila chunusi kutoa mafuta na uzito kupungua kuwa fiti kutibu magonjwa nk. sasa mdada huyu kwasiku alikuwa anajitahidi kunywa maji meengi kiasi cha lita7 kila siku, after 2weeks akawa haoni yaani kawa blind kabisa kupelekwa hospital wataalam wakamwambia ameflash madini yòote mwilini kwahiyo matatizo yataendelea kuibuka siku hadi siku hatimaye baada ya mwezi 1 akafa.
Madaktari naombeni mnijuze kuna ukweli kwenye hilo? Baada kutumia maji mengi yanageuka kuwa sumu?
Madaktari naombeni mnijuze kuna ukweli kwenye hilo? Baada kutumia maji mengi yanageuka kuwa sumu?