Hellos,
Mwenzenu nimejikuta nimemtamani mdada anaonekana kanizidi umri na uwezo kidogo, huyu dada tunafanya naye kazi kampuni moja.
Kuna namna tunaangaliana ni wazi kabisa tunatakana. huyu dada hata nikikutana naye njia ya maliwato lazima anisalimia kwa nguvu, kwa kweli salam zake hazina idadi, nami zangu hazina idadi vile vile.
Mimi sina gari, yeye analo kanizidi kama miaka 2 experience.
Mimi binafsi nawiwa kumtawanya ila napata uzito kidogo hizo appointments zitakuweje, nahisi kama sitatoboa vile. Ukizingatia mwanamke mwenyewe ni wa moja ya yale makabila yanayopenda sifa sana.
Wenye uzoefu, ushauri wenu muhimu namna ya kwenda hapa
Mwenzenu nimejikuta nimemtamani mdada anaonekana kanizidi umri na uwezo kidogo, huyu dada tunafanya naye kazi kampuni moja.
Kuna namna tunaangaliana ni wazi kabisa tunatakana. huyu dada hata nikikutana naye njia ya maliwato lazima anisalimia kwa nguvu, kwa kweli salam zake hazina idadi, nami zangu hazina idadi vile vile.
Mimi sina gari, yeye analo kanizidi kama miaka 2 experience.
Mimi binafsi nawiwa kumtawanya ila napata uzito kidogo hizo appointments zitakuweje, nahisi kama sitatoboa vile. Ukizingatia mwanamke mwenyewe ni wa moja ya yale makabila yanayopenda sifa sana.
Wenye uzoefu, ushauri wenu muhimu namna ya kwenda hapa