Hakuna uongozi au serikali itaepuka kusemwa au kukosolewa. Wanachokosea ni njia wanayotumia kupambana na hii hali.
Wakiwaacha watu wakasema wao wakajikita kutatua kero na kufanya mambo kwa mpangilio, watapunguza matatizo mengi na makelele ya wananchi wenye hasira.
Ni kweli sikufurahishwa sana na huyu jamaa wa nyumbani alivyotyumia nafasi yake alipokuwa madarakani lakini kumuombea mabaya sio uungwana, kwa ufupi kufurahia adui yako anapokua matatizoni hakuna faida yeyote.
Nilicheka sana. Hatuna miaka mingi ya kua na wale wanaoitwa "Intarahamwe". Maana badili ya "inyezi" tunao " nyumbu ila bado intarahamwe. Walianza hivi hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.