omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Alafu tatizo kama saa hivi ambapo mfumuko wa bei umepanda hawa wote walioingia mikataba ambayo (tuseme ukweli) wanajua wazi inatuumiza wao wanatumia misaada hii hii kujifanyia 'uwekezaji', kwa hiyo hata mafuta yafikie 5000 au kilo ya sukari ifike 7000 wao wanapata peza kutoka kwenye 'uwekezaji' wao walioufanya hivyo mzigo kuendelea kumelemea mtu wa kawaida.
Ndio maana ukihoji wako tayari hata kukuondoa maana wanadhani njia pekee ya kuwaongolea matatizo ni hiyo pekee. Ila kna njia mbadala ambayo tukikubali kujibana kwa pamoja baada ya muda unafuu utakuja sio kwa watu wote milioni 60 lakini walau 60% yao
Ndio maana ukihoji wako tayari hata kukuondoa maana wanadhani njia pekee ya kuwaongolea matatizo ni hiyo pekee. Ila kna njia mbadala ambayo tukikubali kujibana kwa pamoja baada ya muda unafuu utakuja sio kwa watu wote milioni 60 lakini walau 60% yao