ama kweli simba na yanga hawana aibu!!

The Magnificent

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
2,694
1,247
sijui wanajisikiaje kutumia uwanja unaomilikiwa na klabu iliyoanzishwa miaka mitatu iliyopita wkt wao klabu zinakaribia karne nzima?
Hawa watu kweli hata aibu hawana,duuh!
 
Ni kweli mkuu, lakini rasmi naomba nikuondoe dhana potofu iliyojengeka akilini mwako, kwamba mtoto mdogo hawezi kupiga hatua za kimaendeleo kumzidi mkubwa ama mkongwe ingeneral. Kuwa na mawazo ya kiutu uzima.
 
Yanga na Simba ni watoto wa mitaani.
Utotoni ni ombaomba, wakiwa vijana wanakuwa vibaka, wakifika utu uzima wanapiga debe wakizeeka wanarudia uombaomba.
Hizi timu sizipendi kabisa ndizo zina spoil soka letu TZ
 
Ni kweli mkuu, lakini rasmi naomba nikuondoe dhana potofu iliyojengeka akilini mwako, kwamba mtoto mdogo hawezi kupiga hatua za kimaendeleo kumzidi mkubwa ama mkongwe ingeneral. Kuwa na mawazo ya kiutu uzima.
<br />
<br />
ok,me cna mawazo hayo mkuu! Hapa ishu ni kwamba,viongozi hawa hawaoni aibu kwa kupeleka timu kwenye uwanja wa timu ambyo almost mashabiki wake ni mara 10000 ya mashabiki wao?
 
<br />
<br />
ok,me cna mawazo hayo mkuu! Hapa ishu ni kwamba,viongozi hawa hawaoni aibu kwa kupeleka timu kwenye uwanja wa timu ambyo almost mashabiki wake ni mara 10000 ya mashabiki wao?
ukiweka mezani huwezi kupata mshabiki wa azam, huo ndiyo ukweli washabiki wa azam ni wale wa SIMBA na YANGA...Azam ikicheza na simba mashabiki wa yanga wanakuwa wa Azam hivyo hivyo kinyume chake..hata mmiliki wa AZAM ni Simba...lakini viongozi wa simba na Yanga wanaongia madarakani huwa masirahi yao mbele na umbumbumbu mwingi lakini naamini kwa changamoto za sasa na uongozi tulio nao pengine simba tutajikongoja...
 
ukiweka mezani huwezi kupata mshabiki wa azam, huo ndiyo ukweli washabiki wa azam ni wale wa SIMBA na YANGA...Azam ikicheza na simba mashabiki wa yanga wanakuwa wa Azam hivyo hivyo kinyume chake..hata mmiliki wa AZAM ni Simba...lakini viongozi wa simba na Yanga wanaongia madarakani huwa masirahi yao mbele na umbumbumbu mwingi lakini naamini kwa changamoto za sasa na uongozi tulio nao pengine simba tutajikongoja...
<br />
<br />
kweli mkuu crashwise,inawezekana tukapata uwanja japokuwa saivi naona hauongelewi tena sijui imefkia wp mkuu
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kweli mkuu crashwise,inawezekana tukapata uwanja japokuwa saivi naona hauongelewi tena sijui imefkia wp mkuu
<br />
<br />
hivi hakuna uwezekano wa hawa jamaa kushikiriana wakajenga kiwanja kimoja.
 
Viongozi wa Simba na yanga wanafikiria mshiko tu basi mambo ya uwanja utajua wewe.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hivi hakuna uwezekano wa hawa jamaa kushikiriana wakajenga kiwanja kimoja.
<br />
<br />
nani ashirikiane mkuu,simba na yanga au!? Hapo ni sawa na kusikia CCM na CHADEMA wameungana
 
Ahh kwanza hao wamiliki wa Azam si ndo hao wanaouza bidhaa mbofu, hawalipi kodi, na mabingwa wa kuuza madawa..? Ungekuwa uwanja wa Villa Squard, au Mji Mpwapwa, AFC Arusha sawa, hawa ni wezi wa hela zetu so hakuna haja ya kuwafagilia kiasi hicho...

BTW sio Simba wala Yanga waliotaka kuchezea hapo hizo ni siasa za TFF, wamezoea kuiba wakati wa mechi hizo so wanaona wanakosa pesa za ulabu kwa timu hizi kuwa mikoani ! Hata hao wizara si Yanga tu ndo maana uamuzi huu ulitolewa baada ya Ngao ya hisani kupeperukia msimbazi...! Kwa taarifa yako hapo tayari dili ishachorwa na hao mafisadi, subiri soon utasikia uwanja huo umepanuliwa baada ya mtembeza bakuli kuwaombea hela nyingine kwa akina Sinclair 9wanaomiliki madini yetu....)
 
Mkuu hawa jamaa swala la uwanja wakitaka wanaweza kushirikiana na mambo yakaenda vizuri kabisa.
<br />
<br />
Umenema vyema,inakuwa kama italy tu ac na inter inatumia uwanja wa nyumbani mmoja na unabadilika jina pindi mnoja anapokuwa mwenyeji,na ni rahic tu cos kimapato simba na yanga wanawashabiki wengi sana wanaweza anzisha bonanza la changi uwanja wakalifanya kila mkoa wakafanikiwa tatizo usimba na uyanga mavi ndio unaowasumbua,viongozi mbumbumbu,wanachama mbumbumbu wanafikilia hujuma tu na nani kasababisha timu kufungwa wamfungie
 
Ni kweli mkuu, lakini rasmi naomba nikuondoe dhana potofu iliyojengeka akilini mwako, kwamba mtoto mdogo hawezi kupiga hatua za kimaendeleo kumzidi mkubwa ama mkongwe ingeneral. Kuwa na mawazo ya kiutu uzima.

aibu wanaona ila wanaleta ukauzu wa kimatonya zaidi (omba omba maarufu)..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom