Ama kweli njaa haina baunsa, Tundu Lissu ''kakaa'' kwa Spika Ndugai. Utundu wake utaisha?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Ama kweli njaa haina baunsa, Tundu Lissu ''kakaa'' kwa Spika Ndugai

Habari ndio hiyo, waswahili husema ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai'' au ''njaa haina baunsa'' ndivyo tunaweza kusema.

Huenda ukimya wa Tundu Lissu kwa wiki chache za hivi karibuni unatokana na huruma ya spika kukubali kufikiria maombi yake ya kurejeshewa mshahara na kupata baadhi ya stahiki. Hii imetokana na Tundu Lissu mwenyewe kukubalia sasa hatakuwa akisema hovyo hovyo atanyamaza kama utaratibu ulivyo wakati wa kula hutakiwi kuzungumza.

Kimsingi kwa mkondo wa kimahakama mambo yangekuwa mabaya ndipo ikabidi akiri makosa na kumuomba Komredi Ndugai, si yeye peke yake bali familia na ndugu na jamaa kwani iligundulika hana kielelezo cha kupeleka mahakamani kama alivyokuwa Nassari. Sasa kaamua kupambana na hali yake, kwani pamoja na makamanda kupiga zumari la michango hakuna kitu zaidi ya umwamba kwenye ''keyboard''.

Naam mambo yamewiva tutegemee kumuona Lissu mpya asiye na makuu
 
Ndugu zangu,

Ama kweli njaa haina baunsa, Tundu Lissu ''kakaa'' kwa Spika Ndugai

Habari ndio hiyo, waswahili husema ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai'' au ''njaa haina baunsa'' ndivyo tunaweza kusema.

Huenda ukimya wa Tundu Lissu kwa wiki chache za hivi karibuni unatokana na huruma ya spika kukubali kufikiria maombi yake ya kurejeshewa mshahara na kupata baadhi ya stahiki. Hii imetokana na Tundu Lissu mwenyewe kukubalia sasa hatakuwa akisema hovyo hovyo atanyamaza kama utaratibu ulivyo wakati wa kula hutakiwi kuzungumza.

Naam mambo yamewiva tutegemee kumuona Lissu mpya asiye na makuu
na DPP Kukubali kukaa kwa wale wa vodacom na dhahabu mwanza umesahau kutaja hilo. na la kuwatengenezea wamachinga kodi za kichwa/ vitambulishoje umelisahau pia
 
Aisee kweli nilisahau Lisu kuwa kimya sakata la CAG na Ndugai, kumbe wamempa trayo piriodi ya kumsikilizia akisumbua wanaminya mrija wote wa maisha.
Hii ni kweli jamaa ananjaa sana na ni muoga wa njaa.
 
Ndugu zangu,

Ama kweli njaa haina baunsa, Tundu Lissu ''kakaa'' kwa Spika Ndugai

Habari ndio hiyo, waswahili husema ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai'' au ''njaa haina baunsa'' ndivyo tunaweza kusema.

Huenda ukimya wa Tundu Lissu kwa wiki chache za hivi karibuni unatokana na huruma ya spika kukubali kufikiria maombi yake ya kurejeshewa mshahara na kupata baadhi ya stahiki. Hii imetokana na Tundu Lissu mwenyewe kukubalia sasa hatakuwa akisema hovyo hovyo atanyamaza kama utaratibu ulivyo wakati wa kula hutakiwi kuzungumza.

Naam mambo yamewiva tutegemee kumuona Lissu mpya asiye na makuu

Jaman kuna watu humu duniani walikuwa wanaona mbal sana.

Mfano, Mwl. Nyerere yeye aliamua kujenga kiwanda cha Katani Tanga kwasababu Mkonge unastawi vizuri huko, akajenga Mwatex - Kiwanda cha Nguo huko Mwanza ambapo pamba inastawi vyema; na cha Kahawa kipo Moshi. Ila nashindwa kumwelewa sijui kwanini aliamua kujenga hospitali ya Milembe huko Dodoma????

Yaani nashindwa kabisa kujua maamuzi yake haya alimaanisha nini?
 
Jaman kuna watu humu duniani walikuwa wanaona mbal sana.

Mfano, Mwl. Nyerere yeye aliamua ujenga kiwanda cha Katani Tanga kwasababu Mkonge unastawi vizuri huko, akajenga Mwatex - Kiwanda cha Nguo huko Mwanza ambapo pamba inastawi vyema; na cha Kahawa kipo Moshi. Ila nashindwa kumwelewa sijui kwanini aliamua kujenga hospitali ya Milembe huko Dodoma????

Yaani nashindwa kabisa kujua maamuzi yake haya alimaanisha nini?
njaa haina baunsa
 
Ndugu zangu,

Ama kweli njaa haina baunsa, Tundu Lissu ''kakaa'' kwa Spika Ndugai

Habari ndio hiyo, waswahili husema ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai'' au ''njaa haina baunsa'' ndivyo tunaweza kusema.

Huenda ukimya wa Tundu Lissu kwa wiki chache za hivi karibuni unatokana na huruma ya spika kukubali kufikiria maombi yake ya kurejeshewa mshahara na kupata baadhi ya stahiki. Hii imetokana na Tundu Lissu mwenyewe kukubalia sasa hatakuwa akisema hovyo hovyo atanyamaza kama utaratibu ulivyo wakati wa kula hutakiwi kuzungumza.

Naam mambo yamewiva tutegemee kumuona Lissu mpya asiye na makuu
Labda anaogopa kuitwa " mbwa "!!!
 
Jaman kuna watu humu duniani walikuwa wanaona mbal sana.

Mfano, Mwl. Nyerere yeye aliamua kujenga kiwanda cha Katani Tanga kwasababu Mkonge unastawi vizuri huko, akajenga Mwatex - Kiwanda cha Nguo huko Mwanza ambapo pamba inastawi vyema; na cha Kahawa kipo Moshi. Ila nashindwa kumwelewa sijui kwanini aliamua kujenga hospitali ya Milembe huko Dodoma????

Yaani nashindwa kabisa kujua maamuzi yake haya alimaanisha nini?


Sent using My Xiaomi Redmi 4a
 
Unasema Tundu Lissu amekaa kwa spika. Simtetei Tundu Lissu ila nashindwa kuelewa mantiki ya post yako.

Mshahara wake ni haki yake. Sio kitu cha kuomba kwamba speaker ndio mgawa mshahara.

Achen kumpa spika sifa za kijinga. Hizi sifa ndio ziamfanya anajiona ana akil kumbe 0

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilibidi aombe busara za Spika kwani kisheria amepigwa kama Nassari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Ama kweli njaa haina baunsa, Tundu Lissu ''kakaa'' kwa Spika Ndugai

Habari ndio hiyo, waswahili husema ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai'' au ''njaa haina baunsa'' ndivyo tunaweza kusema.

Huenda ukimya wa Tundu Lissu kwa wiki chache za hivi karibuni unatokana na huruma ya spika kukubali kufikiria maombi yake ya kurejeshewa mshahara na kupata baadhi ya stahiki. Hii imetokana na Tundu Lissu mwenyewe kukubalia sasa hatakuwa akisema hovyo hovyo atanyamaza kama utaratibu ulivyo wakati wa kula hutakiwi kuzungumza.

Naam mambo yamewiva tutegemee kumuona Lissu mpya asiye na makuu
Hayo ni mawazo yako usifikirie eti Lissu aongee kila cku kama huyo mwenyekiti wenu. Lzm uongee panapoitajika na kwa muda
 
Ndugu zangu,

Ama kweli njaa haina baunsa, Tundu Lissu ''kakaa'' kwa Spika Ndugai

Habari ndio hiyo, waswahili husema ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai'' au ''njaa haina baunsa'' ndivyo tunaweza kusema.

Huenda ukimya wa Tundu Lissu kwa wiki chache za hivi karibuni unatokana na huruma ya spika kukubali kufikiria maombi yake ya kurejeshewa mshahara na kupata baadhi ya stahiki. Hii imetokana na Tundu Lissu mwenyewe kukubalia sasa hatakuwa akisema hovyo hovyo atanyamaza kama utaratibu ulivyo wakati wa kula hutakiwi kuzungumza.

Naam mambo yamewiva tutegemee kumuona Lissu mpya asiye na makuu
haya sawa.
na wewe umefaidika na nini?
bora hata wale jamaa wa ngoro ngoro wangeongea kidogo wanakula nchi. pe diem 500k ila wewe Lumumba hata nssf yako tu umedhulumiwa.
 
Back
Top Bottom