bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,668
Njaa mbaya, bora ukose akili kuliko kukosa utashi ndugu, sikiliza nini dhamira yako inakwambia kuacha dhamira na kusikiliza tamaa kutakuhukumu maisha yako yote.Mkuu Alex Fredrick, thanks for this, nikipata muda nitaitafsiri na kuwaambia Watanzania umuhimu wa kura yao ya ndio kwa Magufuli una maana gani kwa bara la Africa na dunia kwa jumla.
Magufuli ni rais wa Africa ni rais wa Dunia in a special way!.
Tarehe 28 October, Watanzania tusifanye makosa, ni kuwahi asubuhi na mapema ni Magufuli tuu, Mitano Tena.
P
Magufuli alivyosema maana ya MAYALLA ni njaa nilidhani utani sasa naona unaanza kijitafsiri.