Manofu JF-Expert Member Nov 3, 2018 1,317 2,019 May 21, 2019 #2 Kwa tanzania bora hyo gari awaachie polisi maana kitachomkuta mungu pekee ndo anajuwa.
kofuli JF-Expert Member Feb 9, 2019 505 568 May 21, 2019 #3 Hiyo gari ya polisi mbona ndio kama imechomekea
Chukwu emeka JF-Expert Member Jan 12, 2018 23,404 36,543 May 21, 2019 #4 Duuh aisee, kosa anaweza kuwa nalo dereva wa police hapo
The Professor JF-Expert Member Apr 30, 2013 2,218 4,533 May 21, 2019 #6 Hapo ni Mungu na mbio otherwise utaenda ndani halafu ndugu zako wabaki wanakutafutia meno uliyopoteza eneo la tukio wakati wa kula vitasa
Hapo ni Mungu na mbio otherwise utaenda ndani halafu ndugu zako wabaki wanakutafutia meno uliyopoteza eneo la tukio wakati wa kula vitasa
kichomiz JF-Expert Member Feb 28, 2011 19,011 11,942 May 21, 2019 #7 Darmian said: Damn..atapigwa na kuchakaa Click to expand... Ndani ya dakika 10 atakuwa used ya kwa mtogole
Darmian said: Damn..atapigwa na kuchakaa Click to expand... Ndani ya dakika 10 atakuwa used ya kwa mtogole
M mangatara JF-Expert Member Jul 6, 2012 14,517 14,134 May 21, 2019 #8 Nadhani dere alikuwa anasepa msako wa license. Huyo njagu akamchomekea kwa mbele
Doctizo Mtengwa JF-Expert Member Feb 16, 2019 809 1,459 May 21, 2019 #9 kofuli said: Hiyo gari ya polisi mbona ndio kama imechomekea Click to expand... kweli mkuu kwa dereva lazima ulewe mwenye makosa ni iyo PT ...
kofuli said: Hiyo gari ya polisi mbona ndio kama imechomekea Click to expand... kweli mkuu kwa dereva lazima ulewe mwenye makosa ni iyo PT ...
Doctizo Mtengwa JF-Expert Member Feb 16, 2019 809 1,459 May 21, 2019 #10 kofuli said: Hiyo gari ya polisi mbona ndio kama imechomekea Click to expand... kweli mkuu kwa dereva lazima ulewe mwenye makosa ni iyo PT ...
kofuli said: Hiyo gari ya polisi mbona ndio kama imechomekea Click to expand... kweli mkuu kwa dereva lazima ulewe mwenye makosa ni iyo PT ...
ccm mtoto wao JF-Expert Member Dec 19, 2018 562 480 May 22, 2019 #11 Ushasema kafia kwa muuza supu, sasa kilichokufa kinaponaje? MziziMkavu said: View attachment 1103874 Click to expand...
Ushasema kafia kwa muuza supu, sasa kilichokufa kinaponaje? MziziMkavu said: View attachment 1103874 Click to expand...