Ama kweli Kaskazini imebarikiwa na Mungu, vyote hivi tunavyo

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
25,859
33,469
Habarini Wakuu,

Ukiacha Bahari tu, Nimeamini Kaskazini kuna kiiila kizuri, Mungu aliipa baraka zote hizi:-


1) KWANZA, HALI NZURI SANA YA HEWA.

Kaskazini ipo ukanda wa kitropic na mara nyingi joto linacheza kwenye 26-28 °C.

Yaani ukiondoa tu huko tambarare (savana sides) pakame ila huko pia kuna utajiri wa chuma (Engaruka) na madini (Tanzanite)


◆ ARDHI YENYE UDONGO WA RUTUBA.

- Ni maajabu ukiwa kaskazini unaweza kulima karibu kila kitu, kuanzia na

-Kahawa -Kilimanjaro, Burka Estates Arusha etc.

-Mahindi, Maharage, Ngano, Mpunga, Migomba,Mboga za aina zote, Mihogo, hadi Miti ya Mbao.

- Uoto wa Asili - kuna uoto wa asili kwa sehemu kubwa ya Kilimanjaro, hata Upareni mpaka Ngorongoro huko.

- Milima mikubwa ya Volcano ( Mt. Kilimanjaro na Mt. Meru )

NOTE:

-Tanzania nzima hakuna mlima mkubwa kuliko Meru

-Africa nzima hakuna mlima mkubwa kama Kilimanjaro

NB: Milima yote hii ina barafu na inateremsha maji mengi sana tunayokunywa, Na pia ni vivutio kwa Watalii.


◆ MBUGA ZA WANYAMA (NATIONAL PARKS)

- Arusha National Park
-Kilimanjaro National Park
-Tarangire National Park
-Ngorongoro Conservation Area

Bado some Zoo kama Meserani Snake park.

Hizo ni mbuga maarufu sana zinazotoa ajira kwa wanakaskazini wengi na watu wa kanda zingine.

◆ MAZIWA YENYE SAMAKI (REGIONAL LAKES)

-Ziwa Babati
-Ziwa Eyasi
-Ziwa Duluti
-Nyumba ya Mungu
-Ziwa Natron

NB: Hayo maziwa yote yana samaki na bado kuna samaki wanaotoka Kilimanjaro

Hatahivyo, Nyumba ya Mungu inazalisha pia Umeme.


◆ UWEPO WA MADINI (TANZANITE)

Mungu ameibariki kaskazini kwa kuipatia Madini ya kipekee yasiyokuwepo popote duniani zaidi ya Mererani pekee.


◆ UWEPO WA MITO ITIRIRISHAYO MAJI:

Katika ujenzi wa barabara kuu ya Afrika Mashariki utagundua kuwa kuna daraja kiiila baada ya mita chache. Ile ni kutokana na mito yenye maji kutokea milimani na vilimani mwa Arusha.

-Mto Themi
-Mto Naura
-Mto Ngarenaro n.k


◆ UWEPO WA ARDHI YENYE VYUMA

- Engaruka & Ugweno kuna rasilimali chuma tangu enzi na enzi.


◆ UWEPO WA SHULE NYINGI NZURI NA NYUMBA ZA IBADA

-Hapa nikitaja sintazimaliza kwakuwa ukiacha Ilboru High School iliyotoa Prominent leaders wengi pia kuna akina Precious Blood na shule nyiiingi za privates na hata

-English Mediums na International Schools.

-Pia kuna Makanisa na Misikiti mikubwa yenye hadhi za kimataifa.


◆ HOTELI KUBWA ZA KITALII

-Arusha ina hotels kubwa kabisa zenye hadhi ya nyota sita (6 *) na zenye parking ya kutosha.


◆ HOSPITALI KUBWA NA NZURI

- KCMC
-Aga Khan
-ALMC Selian etc.


◆ WASANII WAKUBWA

Muziki wa HipHop umelala Arusha.

Kuna wasanii Nguli wa Teams zinazoeleweka kama

-Watengwa- Kijenge juu
-Nako 2 Nako - Kaloleni
-Weusi - Sinoni, Daraja mbili


◆ UTAMADUNI WENYE NGUVU SANA

Wenzetu Wamasai wa Kaskazini wana Utamaduni unaotambulika sio tu Tanzania ila Africa nzima, hasa wa Mavazi, Shanga na aina yao ya dancing

Pia vyakula vya asili:

-Loshoro (Waarusha na Wameru)
-Kiburu + Machalari (Wachagga)


◆ MAENEO YA MICHEZO (PLAY GROUNDS)

- Sheikh Amri Abeid Stadium ndio football pitch kubwa Arusha. ILA pia kuna sehemu nyingi za kuplay Basketball,Netball, Volleyvall etc.

Mfano:

-Gymkhana Clubs
-Soweto n.k
-Modern side

- Pia kwa Arusha na Kilimanjaro kuna mpaka eneo lililotengwa kwa ajili ya

Ralling & Horse Riding

Ni nini Tunakosa zaidi ya Bahari tu?

* Yaani kuzaliwa tu Mt. Meru, KCMC, Selian au Mawenzi tayari umezaliwa kwenye ardhi iliyobarikiwa.

Nzalendo hebu tupia pichaz....!


■ KWA HAYO, KWANINI NISIISIFIE KASKAZINI?

God Bless Northerners.
 
Huyo Mungu unayempa promo mbona anaonekana kuwa mbaguzi na mkanda?

Halafu mbona vitu vingi ulivyotaja ni man made?

Kila sehemu ina faida zake, ndo maana hata hao watu wa kaskazini wanasafiri mikoa mingine kutafuta pesa.
Wangekuwa na kila kitu wangeishi kwao bila kutegemea mikoa mingine.
 
Ndio mana hakuna alo kujibu mpaka leo unaongelea u kanda kama vyote hivyo mnavyo mbona mmejazana mikoani mnatafuta nini Acha ubaguz wa kishamba ww
Mkuu usitengemee utafanikiwa kimaisha sehemu uliyo zaliwa ni wachache sana ndiyo maana unawaona wametoka kwao na kwenda kwenye mikoa mingine

Hujiulizi kwanini Dangote kaja kuweza Tanzania?

Wahindi, Waarabu wametoka kwao ulaya wamekuja kuwekeza Tanzania?

Think big mkuu hahaha
 
Habarini Wakuu,

Ukiacha Bahari tu, Nimeamini Kaskazini kuna kiiila kizuri, Mungu aliipa baraka zote hizi:-


1) KWANZA, HALI NZURI SANA YA HEWA.

Kaskazini ipo ukanda wa kitropic na mara nyingi joto linacheza kwenye 26-28 °C.

Yaani ukiondoa tu huko tambarare (savana sides) pakame ila huko pia kuna utajiri wa chuma (Engaruka) na madini (Tanzanite)


◆ ARDHI YENYE UDONGO WA RUTUBA.

- Ni maajabu ukiwa kaskazini unaweza kulima karibu kila kitu, kuanzia na

-Kahawa -Kilimanjaro, Burka Estates Arusha etc.

-Mahindi, Maharage, Ngano, Mpunga, Migomba,Mboga za aina zote, Mihogo, hadi Miti ya Mbao.

- Uoto wa Asili - kuna uoto wa asili kwa sehemu kubwa ya Kilimanjaro, hata Upareni mpaka Ngorongoro huko.

- Milima mikubwa ya Volcano ( Mt. Kilimanjaro na Mt. Meru )

NOTE:

-Tanzania nzima hakuna mlima mkubwa kuliko Meru

-Africa nzima hakuna mlima mkubwa kama Kilimanjaro

NB: Milima yote hii ina barafu na inateremsha maji mengi sana tunayokunywa, Na pia ni vivutio kwa Watalii.


◆ MBUGA ZA WANYAMA (NATIONAL PARKS)

- Arusha National Park
-Kilimanjaro National Park
-Tarangire National Park
-Ngorongoro Conservation Area

Bado some Zoo kama Meserani Snake park.

Hizo ni mbuga maarufu sana zinazotoa ajira kwa wanakaskazini wengi na watu wa kanda zingine.

◆ MAZIWA YENYE SAMAKI (REGIONAL LAKES)

-Ziwa Babati
-Ziwa Eyasi
-Ziwa Duluti
-Nyumba ya Mungu
-Ziwa Natron

NB: Hayo maziwa yote yana samaki na bado kuna samaki wanaotoka Kilimanjaro

Hatahivyo, Nyumba ya Mungu inazalisha pia Umeme.


◆ UWEPO WA MADINI (TANZANITE)

Mungu ameibariki kaskazini kwa kuipatia Madini ya kipekee yasiyokuwepo popote duniani zaidi ya Mererani pekee.


◆ UWEPO WA MITO ITIRIRISHAYO MAJI:

Katika ujenzi wa barabara kuu ya Afrika Mashariki utagundua kuwa kuna daraja kiiila baada ya mita chache. Ile ni kutokana na mito yenye maji kutokea milimani na vilimani mwa Arusha.

-Mto Themi
-Mto Naura
-Mto Ngarenaro n.k


◆ UWEPO WA ARDHI YENYE VYUMA

- Engaruka & Ugweno kuna rasilimali chuma tangu enzi na enzi.


◆ UWEPO WA SHULE NYINGI NZURI NA NYUMBA ZA IBADA

-Hapa nikitaja sintazimaliza kwakuwa ukiacha Ilboru High School iliyotoa Prominent leaders wengi pia kuna akina Precious Blood na shule nyiiingi za privates na hata

-English Mediums na International Schools.

-Pia kuna Makanisa na Misikiti mikubwa yenye hadhi za kimataifa.


◆ HOTELI KUBWA ZA KITALII

-Arusha ina hotels kubwa kabisa zenye hadhi ya nyota sita (6 *) na zenye parking ya kutosha.


◆ HOSPITALI KUBWA NA NZURI

- KCMC
-Aga Khan
-ALMC Selian etc.


◆ WASANII WAKUBWA

Muziki wa HipHop umelala Arusha.

Kuna wasanii Nguli wa Teams zinazoeleweka kama

-Watengwa- Kijenge juu
-Nako 2 Nako - Kaloleni
-Weusi - Sinoni, Daraja mbili


◆ UTAMADUNI WENYE NGUVU SANA

Wenzetu Wamasai wa Kaskazini wana Utamaduni unaotambulika sio tu Tanzania ila Africa nzima, hasa wa Mavazi, Shanga na aina yao ya dancing

Pia vyakula vya asili:

-Loshoro (Waarusha na Wameru)
-Kiburu + Machalari (Wachagga)


◆ MAENEO YA MICHEZO (PLAY GROUNDS)

- Sheikh Amri Abeid Stadium ndio football pitch kubwa Arusha. ILA pia kuna sehemu nyingi za kuplay Basketball,Netball, Volleyvall etc.

Mfano:

-Gymkhana Clubs
-Soweto n.k
-Modern side

- Pia kwa Arusha na Kilimanjaro kuna mpaka eneo lililotengwa kwa ajili ya

Ralling & Horse Riding

Ni nini Tunakosa zaidi ya Bahari tu?

* Yaani kuzaliwa tu Mt. Meru, KCMC, Selian au Mawenzi tayari umezaliwa kwenye ardhi iliyobarikiwa.

Nzalendo hebu tupia pichaz....!


■ KWA HAYO, KWANINI NISIISIFIE KASKAZINI?

God Bless Northerners.
Umeshasema mungu kawanyima bahari, kawanyima gesi, kawanyima mafuta hata makaa ya mawe mmekosa, uranium hakuna mnaishia kuoza meno halafu eti "tuna maji orijino "
 
Umeshasema mungu kawanyima bahari, kawanyima gesi, kawanyima mafuta hata makaa ya mawe mmekosa, uranium hakuna mnaishia kuoza meno halafu eti "tuna maji orijino "
Hahaha...punguza povu na wivu wa kike

Huko kwenye gesi na Uranium tunakuja soon kuchukua positions kubwa halafu tunawaajiri ninyi.

Subiri tu time will tell.
 
Umeshasema mungu kawanyima bahari, kawanyima gesi, kawanyima mafuta hata makaa ya mawe mmekosa, uranium hakuna mnaishia kuoza meno halafu eti "tuna maji orijino "
Hahaha...punguza povu na wivu wa kike

Huko kwenye gesi na Uranium tunakuja soon kuchukua positions kubwa halafu tunawaajiri ninyi.

Subiri tu time will tell.
 
Habarini Wakuu,

Ukiacha Bahari tu, Nimeamini Kaskazini kuna kiiila kizuri, Mungu aliipa baraka zote hizi:-


1) KWANZA, HALI NZURI SANA YA HEWA.

Kaskazini ipo ukanda wa kitropic na mara nyingi joto linacheza kwenye 26-28 °C.

Yaani ukiondoa tu huko tambarare (savana sides) pakame ila huko pia kuna utajiri wa chuma (Engaruka) na madini (Tanzanite)


◆ ARDHI YENYE UDONGO WA RUTUBA.

- Ni maajabu ukiwa kaskazini unaweza kulima karibu kila kitu, kuanzia na

-Kahawa -Kilimanjaro, Burka Estates Arusha etc.

-Mahindi, Maharage, Ngano, Mpunga, Migomba,Mboga za aina zote, Mihogo, hadi Miti ya Mbao.

- Uoto wa Asili - kuna uoto wa asili kwa sehemu kubwa ya Kilimanjaro, hata Upareni mpaka Ngorongoro huko.

- Milima mikubwa ya Volcano ( Mt. Kilimanjaro na Mt. Meru )

NOTE:

-Tanzania nzima hakuna mlima mkubwa kuliko Meru

-Africa nzima hakuna mlima mkubwa kama Kilimanjaro

NB: Milima yote hii ina barafu na inateremsha maji mengi sana tunayokunywa, Na pia ni vivutio kwa Watalii.


◆ MBUGA ZA WANYAMA (NATIONAL PARKS)

- Arusha National Park
-Kilimanjaro National Park
-Tarangire National Park
-Ngorongoro Conservation Area

Bado some Zoo kama Meserani Snake park.

Hizo ni mbuga maarufu sana zinazotoa ajira kwa wanakaskazini wengi na watu wa kanda zingine.

◆ MAZIWA YENYE SAMAKI (REGIONAL LAKES)

-Ziwa Babati
-Ziwa Eyasi
-Ziwa Duluti
-Nyumba ya Mungu
-Ziwa Natron

NB: Hayo maziwa yote yana samaki na bado kuna samaki wanaotoka Kilimanjaro

Hatahivyo, Nyumba ya Mungu inazalisha pia Umeme.


◆ UWEPO WA MADINI (TANZANITE)

Mungu ameibariki kaskazini kwa kuipatia Madini ya kipekee yasiyokuwepo popote duniani zaidi ya Mererani pekee.


◆ UWEPO WA MITO ITIRIRISHAYO MAJI:

Katika ujenzi wa barabara kuu ya Afrika Mashariki utagundua kuwa kuna daraja kiiila baada ya mita chache. Ile ni kutokana na mito yenye maji kutokea milimani na vilimani mwa Arusha.

-Mto Themi
-Mto Naura
-Mto Ngarenaro n.k


◆ UWEPO WA ARDHI YENYE VYUMA

- Engaruka & Ugweno kuna rasilimali chuma tangu enzi na enzi.


◆ UWEPO WA SHULE NYINGI NZURI NA NYUMBA ZA IBADA

-Hapa nikitaja sintazimaliza kwakuwa ukiacha Ilboru High School iliyotoa Prominent leaders wengi pia kuna akina Precious Blood na shule nyiiingi za privates na hata

-English Mediums na International Schools.

-Pia kuna Makanisa na Misikiti mikubwa yenye hadhi za kimataifa.


◆ HOTELI KUBWA ZA KITALII

-Arusha ina hotels kubwa kabisa zenye hadhi ya nyota sita (6 *) na zenye parking ya kutosha.


◆ HOSPITALI KUBWA NA NZURI

- KCMC
-Aga Khan
-ALMC Selian etc.


◆ WASANII WAKUBWA

Muziki wa HipHop umelala Arusha.

Kuna wasanii Nguli wa Teams zinazoeleweka kama

-Watengwa- Kijenge juu
-Nako 2 Nako - Kaloleni
-Weusi - Sinoni, Daraja mbili


◆ UTAMADUNI WENYE NGUVU SANA

Wenzetu Wamasai wa Kaskazini wana Utamaduni unaotambulika sio tu Tanzania ila Africa nzima, hasa wa Mavazi, Shanga na aina yao ya dancing

Pia vyakula vya asili:

-Loshoro (Waarusha na Wameru)
-Kiburu + Machalari (Wachagga)


◆ MAENEO YA MICHEZO (PLAY GROUNDS)

- Sheikh Amri Abeid Stadium ndio football pitch kubwa Arusha. ILA pia kuna sehemu nyingi za kuplay Basketball,Netball, Volleyvall etc.

Mfano:

-Gymkhana Clubs
-Soweto n.k
-Modern side

- Pia kwa Arusha na Kilimanjaro kuna mpaka eneo lililotengwa kwa ajili ya

Ralling & Horse Riding

Ni nini Tunakosa zaidi ya Bahari tu?

* Yaani kuzaliwa tu Mt. Meru, KCMC, Selian au Mawenzi tayari umezaliwa kwenye ardhi iliyobarikiwa.

Nzalendo hebu tupia pichaz....!


■ KWA HAYO, KWANINI NISIISIFIE KASKAZINI?

God Bless Northerners.
Mkuu hujataja na "cha Arusha"
 
Mkuu usitengemee utafanikiwa kimaisha sehemu uliyo zaliwa ni wachache sana ndiyo maana unawaona wametoka kwao na kwenda kwenye mikoa mingine

Hujiulizi kwanini Dangote kaja kuweza Tanzania?

Wahindi, Waarabu wametoka kwao ulaya wamekuja kuwekeza Tanzania?

Think big mkuu hahaha
Ndio mjue hata sehem zingine kunaneema ndio mana mnakimbilia nyie roho zenu ki asili ni mbaya na mnaubaguzi ndio mana mtu mwingine kutoka mkoa kuja kufungua hata duka arusha moshi ni ngum mnaubaguzi na hamnununui vitu mpaka kwa mchaga mwenzenu au mpare na juu ya yoote mtaishia kumuibiaa
 
37 Reactions
Reply
Back
Top Bottom