Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
Kuna Taarifa nimezisoma katika Gazeti la Habari Leo Ukurasa wa Tatu na Gazeti la Majira Ukurasa wa Nne zikisema kuwa TAKUKURU sasa ndiyo wamegundua na wanaanza Kulivalia Njuga Suala zima la Rushwa za Ngono Mashuleni na hasa hasa Vyuo Vikuu. Kwa Lugha nyepesi tu yaani hapa TAKUKURU wanataka Kutuambia kuwa hili Jambo halijawahi kuwafikia Masikioni mwao hapo kabla?
Labda na mimi pia niwaombe tu hawa TAKUKURU kabla ya Kulivalia hili Njuga nao watuhakikishie je, na Kwao Ofisini Rushwa hii ya Ngono haipo?
Hivi inaingia Akilini kweli kama Mimi Mzukulu nimeanza Kusikia Shutuma hizi za Rushwa ya Ngono miaka hiyo ya 90 huko na wao wanajua Leo hii?
Labda na mimi pia niwaombe tu hawa TAKUKURU kabla ya Kulivalia hili Njuga nao watuhakikishie je, na Kwao Ofisini Rushwa hii ya Ngono haipo?
Hivi inaingia Akilini kweli kama Mimi Mzukulu nimeanza Kusikia Shutuma hizi za Rushwa ya Ngono miaka hiyo ya 90 huko na wao wanajua Leo hii?