Ama hakika kweli sasa maisha magumu.. Sikuwahi waza ombwa BINGWA NA DEM WA CLASS HII

Kuna mmoja nipo nae hapa anapiga Safari ndogo ananiuliza hizi Safari ndogo siku hizi ni imported kutoka South Africa namuuliza kwanini ananiambia zimekuwa tamu sana na hazina hang over asubuhi nikamuuliza na zile Savannah ulizokuwa unakunywa vipi akanijibu siku hizi hazina ladha eto Wachina wanazichakachua.
Hahahahhahaäa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom