Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,062
Cjui nimlaum boss wa shem wangu kwa kutopanga ratiba ya kazi,cjui nimlaumu shost wangu kwa kushindwa kureason au nimlaum shem wangu kwa kushindwa tekeleza timetable na kukubali boss amuendeshe,
Habari zenu wanajamvi,
Nna shost yangu mrembo kwelikweli nafanya nae ofisi moja, hua tuna kawaida ya kwenda kula pamoja luch time sasa jana asubuhi shost kaja na bashasha ananiambia nikuambie mapema leo lunch utafute kampan nyingine kabisa ,mie leo natolewa na my hubby wangu nikwambia haya mama kila la heri msalimie shem,
Ilipofika saa tano bf akamtumia sms mpenzi unakumbuka ahadi yetu, yaani naona saa hata haziendi, me nasomewa sms, tu nikamwambia ma frend mbona mmepania hivyo,basi ilipofika saa sita ikaingia sms nyingine toka kwa shem , mpenzi boss kaniletea kimeo hapa cjui hata ntachomokaje , c unajua tena funga mwaka, ma frend akamwambia so niende lunch mwenyewe shem akagoma ,no mpenzi nisubiri siwezi kula mwenyewe leo ntamuaga tu boss,
Ilipofika saa saba shost akauliza vpi sasa , akajibiwa subiri mpenzi dakika sifuri tunaenda, me nikamwambia shost me natangulia lunch, niliporudi kwenye saa nane namkuta bado anachapa kazi nkamwambia shost mbona mmeenda na kurudi fasta akaniamb ia bado nasubiri bosi kabana,
Me nikaendeleza ujenzi wa taifa huku anaendelea pokea sms za kua mvumilivu toka kwa shem,
Ilipofika saa tisa akanionyesha sms huku uso umevimba,SORRY BABY I CANT MELK IT BOSS KAKOMAA KAAAGIZA MSOSI NOW TUNAKULA OFISINI , WE SHUD HAVE DINNER INSTEAD.
Basi shost alinuna kazi haziendi na lunch kasusa , jioni akatoka saa kumi huku shem bado kakomaa na boss akamwambia ye akajiandae akitoka straight atampitia home, basi ilipofika saa tatu ucku shost ananipigia simu anasema shem kazima simu hapatikani,alipatikana saa tano ucku,leo kaja shost is not in mud ananiambia amechoka hana hata hamu ya kumsikia wala kumuona bf eti amempa likizo hadi hasira zitakapoisha,anasaema kila siku nakula mwenyewe kilichomtuma kupanga appointment na kunikalisha na njaa lunch hadi dina ni nini kwani nimemlazimisha.
Je mnahisi shost ana haki ya kununa, au shem ana kosa lolote katika hili, je ikikutokea wewe utafanya nini,
Habari zenu wanajamvi,
Nna shost yangu mrembo kwelikweli nafanya nae ofisi moja, hua tuna kawaida ya kwenda kula pamoja luch time sasa jana asubuhi shost kaja na bashasha ananiambia nikuambie mapema leo lunch utafute kampan nyingine kabisa ,mie leo natolewa na my hubby wangu nikwambia haya mama kila la heri msalimie shem,
Ilipofika saa tano bf akamtumia sms mpenzi unakumbuka ahadi yetu, yaani naona saa hata haziendi, me nasomewa sms, tu nikamwambia ma frend mbona mmepania hivyo,basi ilipofika saa sita ikaingia sms nyingine toka kwa shem , mpenzi boss kaniletea kimeo hapa cjui hata ntachomokaje , c unajua tena funga mwaka, ma frend akamwambia so niende lunch mwenyewe shem akagoma ,no mpenzi nisubiri siwezi kula mwenyewe leo ntamuaga tu boss,
Ilipofika saa saba shost akauliza vpi sasa , akajibiwa subiri mpenzi dakika sifuri tunaenda, me nikamwambia shost me natangulia lunch, niliporudi kwenye saa nane namkuta bado anachapa kazi nkamwambia shost mbona mmeenda na kurudi fasta akaniamb ia bado nasubiri bosi kabana,
Me nikaendeleza ujenzi wa taifa huku anaendelea pokea sms za kua mvumilivu toka kwa shem,
Ilipofika saa tisa akanionyesha sms huku uso umevimba,SORRY BABY I CANT MELK IT BOSS KAKOMAA KAAAGIZA MSOSI NOW TUNAKULA OFISINI , WE SHUD HAVE DINNER INSTEAD.
Basi shost alinuna kazi haziendi na lunch kasusa , jioni akatoka saa kumi huku shem bado kakomaa na boss akamwambia ye akajiandae akitoka straight atampitia home, basi ilipofika saa tatu ucku shost ananipigia simu anasema shem kazima simu hapatikani,alipatikana saa tano ucku,leo kaja shost is not in mud ananiambia amechoka hana hata hamu ya kumsikia wala kumuona bf eti amempa likizo hadi hasira zitakapoisha,anasaema kila siku nakula mwenyewe kilichomtuma kupanga appointment na kunikalisha na njaa lunch hadi dina ni nini kwani nimemlazimisha.
Je mnahisi shost ana haki ya kununa, au shem ana kosa lolote katika hili, je ikikutokea wewe utafanya nini,