makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,033
- 80,716
Nimekumbuka tu lile tangazo, "hebu jitokeze, simama, jioneshe. Mbele za watuu!!!"Ajitokeze mtoto wa mtu nimpendeeeee...mpka nimpende tena
Nimekumbuka tu lile tangazo, "hebu jitokeze, simama, jioneshe. Mbele za watuu!!!"Ajitokeze mtoto wa mtu nimpendeeeee...mpka nimpende tena
Umenikumbusha mbali sanaView attachment 1819839
Tangu mapenzi yanizingue nishakuwa muimba kwaya tu kanisani bora niende ata mbinguni kuliko vitu za ujinga hizi.
GudNimekumbuka tu lile tangazo, "hebu jitokeze, simama, jioneshe. Mbele za watuu!!!"
Alhamdullilahy kwema kabisa nilimiss uchokozi wakoGuasaaa maamboo....
Kitambo sana hujaonekana jukwaani, kwema?
Big thanks in advanceAahahahahhaaa ngoja nikakuanzishie uzi wa kukuchokoza 😅.
More than ready here we goGet ready.
Sio poa... Pengine unapanga mambo mbaya na mchepuko wa huku jf unajaribu kuficha kwenye lugha 😊Aahahahahahhahahaaa
Basi naacha shemeji, ila Mahaba yakinikaba najikuta tuu lugha inakuwa ya kimalkia...
Mahaba mahabaaaa 😍