Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mlolongo mrefu kua mpk niwe na acc ya tapatalkUkiruhusiwa usisahau kirudisha fashila
jonaxOk,ukifanikiwa uje Pm tufahamiane vzuri bibie..
View attachment 399049
Hapana hata kama unatumia webNaona mlolongo mrefu kua mpk niwe na acc ya tapatalk
Una mill 7?Huyo atakuwa na undugu na mtukufu
Haya, ngoja nikuoneshe mimi ni naniBro mimi ni comrade katika nchi hii.
Hivyo niheshimu...
Nitakusweka jela..
Nyambaaaaaf
Mm natumia app iyo kuingia jfHapana hata kama unatumia web
Weee, embu nitokeee hapa... usije ukanipeperushia ndege wangu.ushafikisha myaka 18? Maana watoto hawapewi ruhusa
Pua yangu ikiwa kubwa inakuhusu nini?Karibu sana. Ila una sura chafu Jonas kama unavyojibainisha kwenye picha. Mpua wako unatisha Jonas. Karibu hata hivyo.
Naona hilo jukwaa halinitak pm imegomaSikia nenda Pm alafu mtumie @Maxcense mello kuwa nataka akuunganishe kwenye jukwaa la wakubwa naye atafanya hivyo
Utamuuliza huko pm wanaingiaje kwenye hilo jukwaa kwa kutumia jf appMm natumia app iyo kuingia jf