morogorokwetu
Member
- Mar 25, 2013
- 19
- 3
ITS FINE KAMA UNAKUWA SERIOUS and try to be serious i will chek u
Mwe! Samahani unaweza kunielekeza vizuri zinakuwa zimepanganajeYaani mpaka naiogopa.
Ila itakuwa si clitoris,mbona ina m.a.p.u kbs?
Na ina hisia like a real penis?
Ila sijui.
Habari zenu.
Natafuta mwanaume ambae endapo atakubaliana na hali yangu kimaumbile aweze kuwa Mchumba wangu na baadae awe Mume wangu.
Mimi ni mwanamke kamili isipokuwa ni She-Male yaani nina kiungo cha kiume pia.
Jamani sitaki utani,kejeli,kashfa matusi wala dharau.
Sichagui dini,kabila,rangi,umbo wala kipato(japo wenye kujiajiri/kuajiriwa watapewa kipaumbele),
Awe na umri kuanzia 29-32,
umri wangu ni 28,Mkristo na ninaishi Magomeni,DSM.
Alie tayari tuwasiliane zaidi.
Mungu awabariki.
Mwe! Samahani unaweza kunielekeza vizuri zinakuwa zimepanganaje
kwani huyu muongo au ametumia ID multiple babu niambie nijue mjukuu wako ahahahhaaaaaaaaaHahahah Kaunga bana lol. Babu yangu aliwahi niambia ukiamua kuwa muongo basi shurti uwe na kumbukumbu.
mmhmm kumbe wengi mnamjua huyo robert aisee mm nilikuwa wapi simjuiRobert vipi? Au wewe ndio chanzo cha robert kutumia dildo? Magomeni kubwa,njoo Butiama tuongee!
Nilikuwa sijui kumbe Masogange ni shemale!Be careful kuna Wengine hawana nia Nzuri. Wao wanataka tu kuja kushuhudia U-shemale wako. Akakae kijiweni asimulie Kwamba ameshawahi kumwona Shemale.... Refer AGNES MASOGANGE alichofanyiwa. So be Careful
Wewe tu ndio haupo seriousHee hvi kumbe watu wapo serious
Hahahaaaaa imenibidi nicheke labda yupo tayar kwa yote!Upo tayari kwa kiungo kipi?vyote vinafanya kazi so watch out utaliwa, we toa toa minamba ya simu hapa
Mkuu alisha zaaa na amekuja na kisa kingineNisikilize kwa Makini DAJANE... Kwa siye ambao tumesoma Female reproductin system na Genetics.... Na wewe tayari umeshasema Inayodominate ni ya Kiume. Kwa hakika hauna Uwezo wa Kuzaa au Kutengeneza Yai yaani Ovum na unauwezo wa kutengeneza Sperms mana umesema unaKORODANI Kabisa.. Ni bora ya kike ingekuwa na Nguvu na huna korodani tungesema ni Clitoris enlargement ambapo solution ipo....Kwahiyo hata kama unatafuta Mwanaume hautakuwa na furaha yoyote ile.
Ni bora ukabaki hivyo hivyo mana kwa Afrika ni Vigumu sana tena sana kuwa na Mme ambaye atavumilia hayo......