bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
wanajamvi, hii software inanibore kwanza nililazimishwa tu nikajikuta iko kwenye galaxy yangu worse enough ina install na ku update vitu nsivyovitaka its like a controlled freak acts on its own!!!
ina back up files zangu za miziki, video kwenye gallery its chaos na kila nikiitoa inarud!!! imenilazimisha nijiunge na chat yao alafu inaniwekea vitu hata nsivyovitaka ktk profile.... i never wanted the profile or even the app in the first place!!! kuna mtu yoyote anajua namna ya kuidhibiti maana inanimalizia MB bure na its such heavy app inakula ram yangu!!!
ina back up files zangu za miziki, video kwenye gallery its chaos na kila nikiitoa inarud!!! imenilazimisha nijiunge na chat yao alafu inaniwekea vitu hata nsivyovitaka ktk profile.... i never wanted the profile or even the app in the first place!!! kuna mtu yoyote anajua namna ya kuidhibiti maana inanimalizia MB bure na its such heavy app inakula ram yangu!!!