Am back from sobibor

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Nilikuwa kifungo huru ambacho nilidanganywa kwa kupewa madiko diko yaliyofanya niwe nje ya Dunia hii ya kidigital for almost 3 weeks,

Dunia ile ya kianalojia ni Dunia tamu sana iliyokuwa inanipa kila kitu aswaaa ule msosi wetu pendwa wa papuchi,

Zero nilikuwa naelea kwenye ulimwengu mwingine ,sio ulimwengu huu wa tweeter,Jf wala Facebook ni Mimi Na papuchi,papuchi Na mimi,

Aahaa nitakumisi sana analojia wangu leo nimeuona mwanga Na kujionea mengi yaliyojili kwenye hii Dunia ya digital,

R.I.P Zilla mnyama

R.I.P Boss ruge

We jimama uliyofanya kuloeka nguo zangu ili nisitoke nje ukaona haitoshi ukaloeka mpaka simu yangu ili nisiende digital Mungu anakuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa kifungo huru ambacho nilidanganywa kwa kupewa madiko diko yaliyofanya niwe nje ya Dunia hii ya kidigital for almost 3 weeks,

Dunia ile ya kianalojia ni Dunia tamu sana iliyokuwa inanipa kila kitu aswaaa ule msosi wetu pendwa wa papuchi,

Zero nilikuwa naelea kwenye ulimwengu mwingine ,sio ulimwengu huu wa tweeter,Jf wala Facebook ni Mimi Na papuchi,papuchi Na mimi,

Aahaa nitakumisi sana analojia wangu leo nimeuona mwanga Na kujionea mengi yaliyojili kwenye hii Dunia ya digital,

R.I.P Zilla mnyama

R.I.P Boss ruge

We jimama uliyofanya kuloeka nguo zangu ili nisitoke nje ukaona haitoshi ukaloeka mpaka simu yangu ili nisiende digital Mungu anakuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Single mama huyo au mwingne

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom