Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Nilikuwa kifungo huru ambacho nilidanganywa kwa kupewa madiko diko yaliyofanya niwe nje ya Dunia hii ya kidigital for almost 3 weeks,
Dunia ile ya kianalojia ni Dunia tamu sana iliyokuwa inanipa kila kitu aswaaa ule msosi wetu pendwa wa papuchi,
Zero nilikuwa naelea kwenye ulimwengu mwingine ,sio ulimwengu huu wa tweeter,Jf wala Facebook ni Mimi Na papuchi,papuchi Na mimi,
Aahaa nitakumisi sana analojia wangu leo nimeuona mwanga Na kujionea mengi yaliyojili kwenye hii Dunia ya digital,
R.I.P Zilla mnyama
R.I.P Boss ruge
We jimama uliyofanya kuloeka nguo zangu ili nisitoke nje ukaona haitoshi ukaloeka mpaka simu yangu ili nisiende digital Mungu anakuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ile ya kianalojia ni Dunia tamu sana iliyokuwa inanipa kila kitu aswaaa ule msosi wetu pendwa wa papuchi,
Zero nilikuwa naelea kwenye ulimwengu mwingine ,sio ulimwengu huu wa tweeter,Jf wala Facebook ni Mimi Na papuchi,papuchi Na mimi,
Aahaa nitakumisi sana analojia wangu leo nimeuona mwanga Na kujionea mengi yaliyojili kwenye hii Dunia ya digital,
R.I.P Zilla mnyama
R.I.P Boss ruge
We jimama uliyofanya kuloeka nguo zangu ili nisitoke nje ukaona haitoshi ukaloeka mpaka simu yangu ili nisiende digital Mungu anakuona.
Sent using Jamii Forums mobile app