Nyagalu blood
Member
- Feb 3, 2019
- 5
- 13
Ni miez kadhaa toka nimezinguana na demu wangu,bila Shari kama ilivyozoeleka kwa vijana wa sasa,hiv juzi nimekutana na huyu dem ,meng tulijadili ikiwemo maisha yanavyoenda toka tumeachana,ikiwemo kujuwa sababu....lakn alikuja kugusia vp kama nimepata Mtu mwingne,lakn kama unavyojuwa ni ngumu kumjibu nimepata mwingine maana huwa tunahofia kuumiza moyo wa mwanamke ....hapo nilimjibu bado sijapata na sijafikilia toka tumeachana ...kiukwel dem alinisih sana jinsi mahusiano yanavyohitaji kuaminiana....na baada ya kumuelewa hivi ninavyosema kanitunuka penzi mbalikiwe wadada wenye moyo kama huu...
Sitakuja muacha demu kwa kumtukana ,kumdhalilisha wala kumfanya anione Mtu mwenye roho mbaya ...nitawaacha kimya kimya..ili tukikutana iwe kama ilivyonitokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitakuja muacha demu kwa kumtukana ,kumdhalilisha wala kumfanya anione Mtu mwenye roho mbaya ...nitawaacha kimya kimya..ili tukikutana iwe kama ilivyonitokea.
Sent using Jamii Forums mobile app