jombi95
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 1,404
- 2,156
Kwa kuongezea anzisha na paper( series) labda kila jumamosi.
Utavuna madogo sana .
Nakumbuka enzi zetu tulikuwa tunapiga Paper za pure Tandika kwa muhunzi na Mwenge mapambano.
Kuna madogo am sure washamaliza topic naw wanakuja likizo kupiga paper za kutosha .
Utavuna madogo sana .
Nakumbuka enzi zetu tulikuwa tunapiga Paper za pure Tandika kwa muhunzi na Mwenge mapambano.
Kuna madogo am sure washamaliza topic naw wanakuja likizo kupiga paper za kutosha .