Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,697
Google Kuna debate kuhusu utata wa AIDSTaaluma ya afya ni complex sana especially kwenye field ya vaccine.
Hizi topic zako za sasa hapa jamvoni mhemko tu na hofu uliyojengewa na imani yako ya kidini.
Kukuhakikishia hilo ukapelekwa katika jopo la madaktari ueleze hicho ulicho copy huko mtandaoni utatapika coz wewe ni layman kwenye field ya afya.
Huyo Lorenxo atuletee hizo tafiti zake hapa za kwamba ukimwi ni uongo tuzichambue hapa.
Inawezekana akawa mwanasayansi wa kitanzania..
Sent using Jamii Forums mobile app