Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Unajua hizi budget zetu zimekuwa za kucopy na kupaste!
Toka nizaliwe naona kodi ni zile zile tuu utakuta wamepandisha kwenye beverages?
I would think apart from the government placing an emphasis on kilimo they should think of viwanda vya kuconsume hayo mazao ya kilimo.
Ila kwa upande mwingine jamani kwenye madini tunaliwa sana kuna haja ya kuibadili hii mikataba.Nina wasi wasi kuwa Dhahabu ya Chunya inapita kwenye channel halali za serikali.
Kikubwa kingine ni kwa nini tusiconcentrate na upanuzi na uboreshajiwa bandari yetu hii ili kutaje advantage ya mizigi isiyopungua tani mil kumi for Malawi,Zambia,DRC,Rwanda na Burundi,am told kwa sasa tumeachive kusafilisha tani mil moja this is nonesense that is to say majirani zetu wametake advantage of that.Imefikia kipindi China wanasema ni rahisi kUPELEKA mizigo yao DRC kwa kupitia kenya.
Hayo ni maoni yangu on altenative source za revenue kwa taifa letu jamani tunavoid kukopi na kupaste
Toka nizaliwe naona kodi ni zile zile tuu utakuta wamepandisha kwenye beverages?
I would think apart from the government placing an emphasis on kilimo they should think of viwanda vya kuconsume hayo mazao ya kilimo.
Ila kwa upande mwingine jamani kwenye madini tunaliwa sana kuna haja ya kuibadili hii mikataba.Nina wasi wasi kuwa Dhahabu ya Chunya inapita kwenye channel halali za serikali.
Kikubwa kingine ni kwa nini tusiconcentrate na upanuzi na uboreshajiwa bandari yetu hii ili kutaje advantage ya mizigi isiyopungua tani mil kumi for Malawi,Zambia,DRC,Rwanda na Burundi,am told kwa sasa tumeachive kusafilisha tani mil moja this is nonesense that is to say majirani zetu wametake advantage of that.Imefikia kipindi China wanasema ni rahisi kUPELEKA mizigo yao DRC kwa kupitia kenya.
Hayo ni maoni yangu on altenative source za revenue kwa taifa letu jamani tunavoid kukopi na kupaste