Alphonse Kihwele, Benki ya Posta na Kashfa

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Mara ya mwisho nilipodokeza juu ya kinachoendelea ndani ya Benki ya Posta kulisababisha baadhi ya watu kupoteza kazi zao. Hekima iliniita kuangalia jambo hili kwa namna tofauti tena. Nilitumaini mambo haya yangewaamsha watawala wetu kufuatilia na hatimaye kufanya mabadiliko yanayohitajika. Lakini wapi.

CEO wa Benki hiyo Bw. Alphonse Kihwele analalamikiwa kung'ang'ania madaraka yake hayo kwa kutumia vitisho na hata kudai mambo ambayo si ya kweli. Ripoti ya kwanza juu ya ufisadi chini yake ilidokezwa hapa miaka kama miwili iliyopita hivi.

Tunairudia tena ripoti ile hapa na kujiuliza hivi bado kuna mtu yeyote anayeweza kumuondoa huyo jamaa hapa au ndiyo hivyo tena?
 

Attachments

  • KashfaBenki ya Posta sasa.doc
    97.5 KB · Views: 592
m;kijiji tunampiga kwa maombi huyo
hawa mafisadi inabidi tumwabie mungu apigane nao wapo wengi wakina kihwele
 
m;kijiji tunampiga kwa maombi huyo
hawa mafisadi inabidi tumwabie mungu apigane nao wapo wengi wakina kihwele

Inekuwa maombi Robert Mugabe angekuwa marehemu siku nyingi. Tatizo ni kwamba watu hamtaki kumfahamu Mungu hivyo mnamtupia kila kitu. Mungu ana principle zake na huwa haitokei akaivunja bila ya sababu kubwa na hata akifanya hivyo lazima ujue alitanguliza warning. Kama akimpiga kihwele basi si ajabu hata wewe ukimfyonza bosi wako itabidi akupige zote si dhambi bwana.

Huyu kihwele ni saizi yetu tu tunatakiwa tumwambie atoke kwenye shirika letu hayo mengine ya ufalme wa mbinguni ataamua mwenyewe nategemea neema.
 
Mara ya mwisho nilipodokeza juu ya kinachoendelea ndani ya Benki ya Posta kulisababisha baadhi ya watu kupoteza kazi zao. Hekima iliniita kuangalia jambo hili kwa namna tofauti tena. Nilitumaini mambo haya yangewaamsha watawala wetu kufuatilia na hatimaye kufanya mabadiliko yanayohitajika. Lakini wapi.

CEO wa Benki hiyo Bw. Alphonse Kihwele analalamikiwa kung'ang'ania madaraka yake hayo kwa kutumia vitisho na hata kudai mambo ambayo si ya kweli. Ripoti ya kwanza juu ya ufisadi chini yake ilidokezwa hapa miaka kama miwili iliyopita hivi.

Tunairudia tena ripoti ile hapa na kujiuliza hivi bado kuna mtu yeyote anayeweza kumuondoa huyo jamaa hapa au ndiyo hivyo tena?

Yaleyale tunayosema kila siku, mambo ya kubebana kwenye uongozi ni kitu kibaya sana! Hebu fikiria kwamba wafanyakazi wote wanalalamika tena kwenye mikutano ya kikazi lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa. Unategemea kutakuwa na ufanisi kweli hapo?

Wafanyakazi wanapeleka malalamiko yao wizarani mtandao unakata mawasiliano, hivi Tanzania imemkosea nini mungu? Kila kitu cha umma kina matatizo, tutafika kweli?

Binafsi inanikatisha tamaa, sasa sijui kama wakuu wanalifahamu hili.
 
Tanzania tumevunja cardinal principal na sasa tunakiona cha mtema kuni kilichomtoa kanga manyoya.
 
Bwana Kihwele yupo toka EAC ya akina Kenyata,Obote na Nyerere wenzake wote wamestaafu,hakuna cha kudeliver hata kufanya presentation hawezi kazi yeye ni kutembea na mikaratasi sijui hata kama anajua kutumia computer na huyo ndio CEO anayetakiwa kuivusha bank ili iwe commercial bank,vijana wasomi wanaikimbia hiyo bank sababu ya ukwasi,walikuwepo alina Kibodya,Imani Kajura na wengineo mahiri wote wamekimbia wamemuachia bank yake ,ndio bank yake kwani anafanya apendavyo
 
Bwana Kihwele yupo toka EAC ya akina Kenyata,Obote na Nyerere wenzake wote wamestaafu,hakuna cha kudeliver hata kufanya presentation hawezi kazi yeye ni kutembea na mikaratasi sijui hata kama anajua kutumia computer na huyo ndio CEO anayetakiwa kuivusha bank ili iwe commercial bank,vijana wasomi wanaikimbia hiyo bank sababu ya ukwasi,walikuwepo alina Kibodya,Imani Kajura na wengineo mahiri wote wamekimbia wamemuachia bank yake ,ndio bank yake kwani anafanya apendavyo


aah mbona unamuua kihwele anajua bana kutumia computer...Nilikuw aofisini kwake thi sone time for cup of coffee....na akawa ananipa darasa kuhusu uanzilishi wa kutumia debit card na nikamuona yupo fresh tuu kwenye mambo ya computer....Khaaa hao wasomi unaosema ww siyo kama wanakimbia kwa sababu ya ukwasi wa kihwele bali wanafuata masilahi badala ya career..mbona kuna wasomi wengi tuu bado wapo akina Killian Chale kijana genius kuliko hata uliowataja hao akina kajula yupo ok....
 
Mara ya mwisho nilipodokeza juu ya kinachoendelea ndani ya Benki ya Posta kulisababisha baadhi ya watu kupoteza kazi zao. Hekima iliniita kuangalia jambo hili kwa namna tofauti tena. Nilitumaini mambo haya yangewaamsha watawala wetu kufuatilia na hatimaye kufanya mabadiliko yanayohitajika. Lakini wapi.

CEO wa Benki hiyo Bw. Alphonse Kihwele analalamikiwa kung'ang'ania madaraka yake hayo kwa kutumia vitisho na hata kudai mambo ambayo si ya kweli. Ripoti ya kwanza juu ya ufisadi chini yake ilidokezwa hapa miaka kama miwili iliyopita hivi.

Tunairudia tena ripoti ile hapa na kujiuliza hivi bado kuna mtu yeyote anayeweza kumuondoa huyo jamaa hapa au ndiyo hivyo tena?
M'kijiji,
Thank you!!!
Issue kubwa hapa naona kuwa nini kwa nini Alphone hawezi kuachia cheo. Yaani kustaafu, na wengine wachukue hicho cheo. Halafu baada ya kushindwa kumwondoa kwa sheria (sijui ni ipi); tuna-mbatiza ni fisadi. Let us prove, ufisadi wake with solid evidence. It may be true the guy is corrupt (maybe just for now); the days I knew him he was really a serious guy. Labourious hard working with high skills in Banking sector. He is among the Best CEO; I can compare him to Mr. Kimei, Ballali etc.

Wito kwa vijana wenye uwezo: I don't think it is good to harbour hate, in case you are intelligent and you can do the job, go on and bring evidence, but talking behind scenes, it is a waste of time. These guys will stay there and nobody will move them, generations will pass.

Otherwise mleta habari hii atwambie je nia yake ni Alphonce retirement au ufisadi? Does he handle well his job?? Do we still need him? Note that he is still at his 60s. Do we have a suitable substitute??
 
Tatizo lake "uwezo mdogo sana" wa kuleta mabadiliko

Ni wale wale business as usual hana chochote anaweza ku-offer

Na mshauri aachie ngazi...ni failure ni sawa na CEO wa TRL, CEO wa ATC wote hao bwana/bibi ni tatizo kwa nchi kwasababu ya uwezo wao mdogo unaotokana na taalum finyu, umimi na ufisadi.
 
Tatizo lake "uwezo mdogo sana" wa kuleta mabadiliko

Ni wale wale business as usual hana chochote anaweza ku-offer

Na mshauri aachie ngazi...ni failure ni sawa na CEO wa TRL, CEO wa ATC wote hao bwana/bibi ni tatizo kwa nchi kwasababu ya uwezo wao mdogo unaotokana na taalum finyu, umimi na ufisadi.
Give me a break, stop this please: Alphonce ana uwezo mdogo? Labda umtuhumu ufisadi; hapo umegonga mwamba.
 
M'kijiji,
Thank you!!!
Issue kubwa hapa naona kuwa nini kwa nini Alphone hawezi kuachia cheo. Yaani kustaafu, na wengine wachukue hicho cheo. Halafu baada ya kushindwa kumwondoa kwa sheria (sijui ni ipi); tuna-mbatiza ni fisadi. Let us prove, ufisadi wake with solid evidence. It may be true the guy is corrupt (maybe just for now); the days I knew him he was really a serious guy. Labourious hard working with high skills in Banking sector. He is among the Best CEO; I can compare him to Mr. Kimei, Ballali etc.

Wito kwa vijana wenye uwezo: I don't think it is good to harbour hate, in case you are intelligent and you can do the job, go on and bring evidence, but talking behind scenes, it is a waste of time. These guys will stay there and nobody will move them, generations will pass.

Otherwise mleta habari hii atwambie je nia yake ni Alphonce retirement au ufisadi? Does he handle well his job?? Do we still need him? Note that he is still at his 60s. Do we have a suitable substitute??

Mkuu IO....salaam za mwaka mpya,

..........Nachukia tabia ya watu kumuita kila mtu fisadi..........mpaka imefikia mahala inabidi hapa JF napendekeza tutoe maana ya neno FISADI.........ofcourse JF Definition..............unajua hili neno fisadi mpaka litakosa uzito unaostahili pale ambapo sisi JF tutataka kueleweka kwa nguvu zote............

Tuje kwa Kihwele,
......katika uongozi tangu ezi za Mwl JKN tulikuwa na tunaendelea ku-recycle viongozi hata wale wasio na mafanikio zile sehemu walizoziongoza.......tukaishia kuwahamisha.........wakati ule wa akina Mwl JKN na mwenzie Simba wa Vita......kweli hatukuwa na wataalamu wa kutosha.........kuweza kubadili viongozi wa taasisi zetu mbali mbali.......unlike hivi sasa....vijana wengi sana tena wenye uwezo wapo wa kuendesha chombo kama Benki ya Posta...........tufikie mahala tuwashukuru hawa wazee kwa service waliyo -render kwa Taifa letu.....na huku kukiwa na succession programs.........hizi "CHAPA MGUU"...trust me hazitatufikisha mahala popote.......

Jaluo (Obama) anasema....(which is a fact).....huwezi kutegemea matokeo tofauti kwa kufanya vitu kwa style ile ile........kwa uchumi wa dunia unavyoenda sasa hivi....vyombo hivi vya fedha navyo inabidi vibadilike positively....kwa manufaa ya Taifa........

..........nawafahamu vizuri Ndg Kihwele, Dr. Kimei na Dr. Ballali.........Yes they are brilliant kwenye kazi zao "as Professionals".........however...scandals zao ni untolerable....dili zinazopita under their watch.....you can't believe....ndio maana hata mpige kelele vipi.......hawa watu wataondoka kwa ridhaa ya the top most!!.....kama ilivyokuwa kwa Dr. Ballali (huyu namuita the real bangusilo).........

Huyu Kihwele kama kafikisha umri (of which they cheat alot) wa kustaafu awaachie wengine waongoze chombo.........au kama wanampenda sana wampe desk pale Hazina.........tatizo hata Waziri wa Fedha tuliye naye........duuhh...........
 
Give me a break, stop this please: Alphonce ana uwezo mdogo? Labda umtuhumu ufisadi; hapo umegonga mwamba.
Angekuwa na uwezo shirika lingekuwa taabani bana! hana lolote kichwa maji underperfomance no creativity

Kwenye list yao yuko CEO wa ATCL, TRL, na bandari hawa wote ni majinga wanabebwa bure na system maana uwezo wao ni zero.
 
Angekuwa na uwezo shirika lingekuwa taabani bana! hana lolote kichwa maji underperfomance no creativity

Kwenye list yao yuko CEO wa ATCL, TRL, na bandari hawa wote ni majinga wanabebwa bure na system maana uwezo wao ni zero.
Bank Ya Posta??
 
Bank Ya Posta??
Yes bank ya posta?

I knew this bank tangu ni mwanachama wake toka nikiwa shule ya sekondari service yake ni poor sana kupita benki zote hapa TZ. mpaka leo

Wana mambo ya kizamani mpaka leo

Wafanyakazi wamechoka, wavivu na mikoani ndio utalia..

CEO ni zero tu hana tofauti na hao niliwataja wanaokula mashirika yetu kwakuwa walikuwa hapo kwa upendeleo maalum wa system shame!
 
Yes bank ya posta?

I knew this bank tangu ni mwanachama wake toka nikiwa shule ya sekondari service yake ni poor sana kupita benki zote hapa TZ. mpaka leo

Wana mambo ya kizamani mpaka leo

Wafanyakazi wamechoka, wavivu na mikoani ndio utalia..

CEO ni zero tu hana tofauti na hao niliwataja wanaokula mashirika yetu kwakuwa walikuwa hapo kwa upendeleo maalum wa system shame!

I see!!
 
Mkuu IO....salaam za mwaka mpya,

..........Nachukia tabia ya watu kumuita kila mtu fisadi..........mpaka imefikia mahala inabidi hapa JF napendekeza tutoe maana ya neno FISADI.........ofcourse JF Definition..............unajua hili neno fisadi mpaka litakosa uzito unaostahili pale ambapo sisi JF tutataka kueleweka kwa nguvu zote............

Tuje kwa Kihwele,
......katika uongozi tangu ezi za Mwl JKN tulikuwa na tunaendelea ku-recycle viongozi hata wale wasio na mafanikio zile sehemu walizoziongoza.......tukaishia kuwahamisha.........wakati ule wa akina Mwl JKN na mwenzie Simba wa Vita......kweli hatukuwa na wataalamu wa kutosha.........kuweza kubadili viongozi wa taasisi zetu mbali mbali.......unlike hivi sasa....vijana wengi sana tena wenye uwezo wapo wa kuendesha chombo kama Benki ya Posta...........tufikie mahala tuwashukuru hawa wazee kwa service waliyo -render kwa Taifa letu.....na huku kukiwa na succession programs.........hizi "CHAPA MGUU"...trust me hazitatufikisha mahala popote.......

Jaluo (Obama) anasema....(which is a fact).....huwezi kutegemea matokeo tofauti kwa kufanya vitu kwa style ile ile........kwa uchumi wa dunia unavyoenda sasa hivi....vyombo hivi vya fedha navyo inabidi vibadilike positively....kwa manufaa ya Taifa........

..........nawafahamu vizuri Ndg Kihwele, Dr. Kimei na Dr. Ballali.........Yes they are brilliant kwenye kazi zao "as Professionals".........however...scandals zao ni untolerable....dili zinazopita under their watch.....you can't believe....ndio maana hata mpige kelele vipi.......hawa watu wataondoka kwa ridhaa ya the top most!!.....kama ilivyokuwa kwa Dr. Ballali (huyu namuita the real bangusilo).........

Huyu Kihwele kama kafikisha umri (of which they cheat alot) wa kustaafu awaachie wengine waongoze chombo.........au kama wanampenda sana wampe desk pale Hazina.........tatizo hata Waziri wa Fedha tuliye naye........duuhh...........
Perfect. I agree with you! Very strong argument. Where I differ is; why we have to interfere on the appointments if the person appointed is capable. In case that appointee is a saboteur, or else through nepotism then we have to interefere. But how can we prove that it is through nepotism? Maybe as Tumain pointed out the guy never delivered, therefore needs to rest.
 
Back
Top Bottom