Aloe Vera

Monica

Member
Dec 8, 2006
9
0
Ni Mmea Unaosaidia Matatizo Mengi,ila Ni Aloe Vera Ya Aina Gani Ambayo Inasaidia,matatizo Ya Kichwa Cha Muda Mrefu, kisukari, Cholesterol na Matatizo Mengi Ya Aina Mbali Mbali.
 
Ni Mmea Unaosaidia Matatizo Mengi,ila Ni Aloe Vera Ya Aina Gani Ambayo Inasaidia,matatizo Ya Kichwa Cha Muda Mrefu,kisukari,choresto,na Matatizo Mengi Ya Aina Mbali Mbali,

..una uliza swali?au umeanzisha mada?

..anyways,aloe vera inasaidia zaidi afya ya tumbo na ngozi,kwa kuinywa na kuipaka!

..hicho kichwa cha muda mrefu kimefanyaje?kuwa specific!

..cholesterol,tumia mafuta ya pamba na alizeti!usihusudishe fast foods na ufanye mazoezi kwa kiasi,hata yale ya kitandani usiwe mvivu!

..kisukari,sijui!mwingine atachangia!
 
..una uliza swali?au umeanzisha mada?

..anyways,aloe vera inasaidia zaidi afya ya tumbo na ngozi,kwa kuinywa na kuipaka!

..hicho kichwa cha muda mrefu kimefanyaje?kuwa specific!

..cholesterol,tumia mafuta ya pamba na alizeti!usihusudishe fast foods na ufanye mazoezi kwa kiasi,hata yale ya kitandani usiwe mvivu!

..kisukari,sijui!mwingine atachangia!
....Ni mada ya aloe vera je aloe vera kuna aina nyingi wewe unaongelea ipi?Mimi nazungumzia Aloe vera Berbandisis Wewe unajua Ipi?.

>kichwa ninacho maanisha ni kile Kinauma sana mpaka anafikia kuzimia,mtu ambaye anasumbuliwa na kichwa mara kwa mara
 
....Ni mada ya aloe vera je aloe vera kuna aina nyingi wewe unaongelea ipi?Mimi nazungumzia Aloe vera Berbandisis Wewe unajua Ipi?.

..lazima nikiri kuwa naijua aloe vera kama hivyo tu!sina ufahamu wa variant zake!

..nitatafiti,nikipata jibu zuri nitalitoa!

..btw,huo ugonjwa wa kichwa kitaalam unaitwaje?
 
....Ni mada ya aloe vera je aloe vera kuna aina nyingi wewe unaongelea ipi?Mimi nazungumzia Aloe vera Berbandisis Wewe unajua Ipi?.

>kichwa ninacho maanisha ni kile Kinauma sana mpaka anafikia kuzimia,mtu ambaye anasumbuliwa na kichwa mara kwa mara

Monica,
Miye siye mtaalam wa vichwa. Lakini kutokana na habari za hapa na pale, hizo dalili ulizozitaja (kwa uchache) hapo juu za huyo mtu (mgonjwa) zinaonekana ni za hatari (kwa maoni yangu).

Sihitaji kufunga paka kengere hapa, ila ni maoni yangu kuwa, fanyeni hima huyo mtu afanyiwe scan ya kichwa mara moja (MRI au CT/CAT scan). Dalili kama hizo nilishazikia,zinafanana sana na za mtu mwenye damu iliyoganda pahala fulani kwenye ubongo. Anakuwa na maumivu ya kichwa mara kwa mara, kichwa kisichopona (migraine)- na hiki mara nyingi kinawapata wanawake.

Sitaweka mengi hapa, ila kuna link nitaweka naomba uzitembelee. Kama utashindwa kuzifungua naomba useme ili ni-paste habari zake hapa.

Kingine, naomba utoe maelezo zaidi kuhusu huyo mgonjwa, ya kuwa; ameanza kuumwa na kichwa hicho kwa muda gani, ni wakati gani wa siku anakuwa anasumbuliwa zaidi, je ameshafanyiwa matibabu gani kabla, je ameshafanyiwa uchunguzi wa aina gani mpaka hivi sasa, na mengineyo.... ila naomba zingatia kuto-disclose ID ya huyo mtu katika kutoa maelezo hayo.

Muhimu: Nitarudia tu tena, kutokana na hiyo dalili moja ya kuzimia uliyotaja hapo juu, moja kwa moja ushauri wangu ni kuwa huyo mtu afanyiwe uchunguzi mara moja (kama alishafanyiwa basi aende pahala pengine kwa uchuguzi zaidi). Kama yupo hapa Tanzania, ni muhimu kupelekwa kwenye hospitali kama Agakhan hivi (nimeipendekeza kutokana na habari ya mmojawapo aliyefanyiwa uchunguzi kisha upasuaji pale unaohusiana na mambo ya kuumwa kichwa). Na kama yuko nje ya nchi, basi ni muhimu kufatilia sehemu husika za magonjwa ya vichwa huko aliko.

Links:
http://yourtotalhealth.ivillage.com/headache-migraine?sky=ggl|ths|topamax|migraine

http://yourtotalhealth.ivillage.com/cluster-headache.html

http://www.goodtoknow.co.uk/health/...ine_symptoms&gclid=CNDt05PwipACFQdjMAodkhfykQ

http://www.wrongdiagnosis.com/m/migraine/glossary.htm

http://www.askbootshealth.com/a_to_z/migraine_in_adults/symptoms

http://www.askbootshealth.com/a_to_z/migraine_in_adults/diagnosis
http://www.askbootshealth.com/a_to_z/migraine_in_adults/treatments

http://headaches.about.com/od/migrainediseas1/a/aura_ache.htm

Namwombea matibabu mema na augue pole.

SteveD.
 
Nitashindwa kukupa maelezo marefu kuhusu tiba aliyo pitia ila nataka tu kukuwambia mpaka alipofikia kwangu akanieleza jinsi kichwa kinavyomuuma na hali ambazo zilishamtokea nilichukua kitabu changu cha magonjwa na tiba yake na kumpa tiba iliyokamili ya aloe vera na vidonge vyake sasa ni mzima na anaendelea na vema kazi yake.
 
Hi Jafar,Aloe vera kuna aloe vera za aina nyingi sana na hata majumbani mwetu tumepanda lakini hii ninayoongelea ni aina ya Aloe Barbadensis miller.fungua www.foreverliving.com utapata maelezo ya product nyingi za aloe vera.
 
Hich kichwa mnachokiongelea hapa ndo "KIPANDA USO?" au ni kichwa cha aina gani
 
Aloe vera ni nzuri sana. Familia yangu inatumia product ya GNLD International, Juice iliyotengezwa kutokana na mmea huo. Kama kuna mtu anahitaji anaweza kupata hapa nchini.
 
Monica nakuunga mkono hata mimi natumia na niko huko ila TUWAELIMISHE PIA KUA BIASHARA HIYO INAFAIDA GANI?NA HOW THEY CAN GET MONEY OUT OF IT waelimishe pia kuhusu marketing plan yake.....hasa wale wanaotaka extra income/ unlimited income........www.foreverliving.com
 
Monica nakuunga mkono hata mimi natumia na niko huko ila TUWAELIMISHE PIA KUA BIASHARA HIYO INAFAIDA GANI?NA HOW THEY CAN GET MONEY OUT OF IT waelimishe pia kuhusu marketing plan yake.....hasa wale wanaotaka extra income/ unlimited income........www.foreverliving.com


Hi Mandilo,

Kwanza nakupa hongera kwa kuingia katika business hii.umeona mbali.
Umefika mbali mno katika biashara Mandilo kwani biashara ni utashi wa Mtu si lazima ninachotaka kuelezea jinsi gani ya faida ya ALOE VERA na inasaidia nini ,na ni aloe vera ya aina gani.Huko kwenye biashara ni utashi wa mtu akitaka kujua kwa undani zaidi.Mwingine atapenda kutumia lakni hataki habari ya biashara hivyo tuwaelimishe watu faida zake kwanza atakaependa sasa hapo unaenda upande wa pili wa shilingi
asante kwa ushauri wako
 
Aloe vera ni nzuri sana. Familia yangu inatumia product ya GNLD International, Juice iliyotengezwa kutokana na mmea huo. Kama kuna mtu anahitaji anaweza kupata hapa nchini.

Hi Nicas
Aloe vera ya GNLD ni aina gani?Je umeshatumia aloe vera ya Forever Living Product? Nakushauri jaribu ya FLP ni pure aloe vera Karibu
 
Hich kichwa mnachokiongelea hapa ndo "KIPANDA USO?" au ni kichwa cha aina gani

Hi ram si kipanda uso.ila nitasoma katika kitabu changu nitakujibu ya tiba yake kutokana na aloevera
 
Ni Mmea Unaosaidia Matatizo Mengi,ila Ni Aloe Vera Ya Aina Gani Ambayo Inasaidia,matatizo Ya Kichwa Cha Muda Mrefu,kisukari,choresto,na Matatizo Mengi Ya Aina Mbali Mbali,

....Ni mada ya aloe vera je aloe vera kuna aina nyingi wewe unaongelea ipi?Mimi nazungumzia Aloe vera Berbandisis Wewe unajua Ipi?.

>kichwa ninacho maanisha ni kile Kinauma sana mpaka anafikia kuzimia,mtu ambaye anasumbuliwa na kichwa mara kwa mara

Nitashindwa kukupa maelezo marefu kuhusu tiba aliyo pitia ila nataka tu kukuwambia mpaka alipofikia kwangu akanieleza jinsi kichwa kinavyomuuma na hali ambazo zilishamtokea nilichukua kitabu changu cha magonjwa na tiba yake na kumpa tiba iliyokamili ya aloe vera na vidonge vyake sasa ni mzima na anaendelea na vema kazi yake.

Hi Jafar,Aloe vera kuna aloe vera za aina nyingi sana na hata majumbani mwetu tumepanda lakini hii ninayoongelea ni aina ya Aloe Barbadensis miller.fungua www.foreverliving.com utapata maelezo ya product nyingi za aloe vera.

Aloe vera ni nzuri sana. Familia yangu inatumia product ya GNLD International, Juice iliyotengezwa kutokana na mmea huo. Kama kuna mtu anahitaji anaweza kupata hapa nchini.

Monica nakuunga mkono hata mimi natumia na niko huko ila TUWAELIMISHE PIA KUA BIASHARA HIYO INAFAIDA GANI?NA HOW THEY CAN GET MONEY OUT OF IT waelimishe pia kuhusu marketing plan yake.....hasa wale wanaotaka extra income/ unlimited income........www.foreverliving.com

Hi Mandilo,

Kwanza nakupa hongera kwa kuingia katika business hii.umeona mbali.
Umefika mbali mno katika biashara Mandilo kwani biashara ni utashi wa Mtu si lazima ninachotaka kuelezea jinsi gani ya faida ya ALOE VERA na inasaidia nini ,na ni aloe vera ya aina gani.Huko kwenye biashara ni utashi wa mtu akitaka kujua kwa undani zaidi.Mwingine atapenda kutumia lakni hataki habari ya biashara hivyo tuwaelimishe watu faida zake kwanza atakaependa sasa hapo unaenda upande wa pili wa shilingi
asante kwa ushauri wako

Hi Nicas
Aloe vera ya GNLD ni aina gani?Je umeshatumia aloe vera ya Forever Living Product? Nakushauri jaribu ya FLP ni pure aloe vera Karibu

Hivi, kuna wauzaji wa aruvela hapa? maana sijaelewa kama mtu anaumwa kweli au mtu anauza hiyo aruvela katika thread hii na ku-recruit kiaina. Na hiyo aruvela huwa inafanya kazi kweli au ni kamba tu za mtu fulani?
 
Hivi, kuna wauzaji wa aruvela hapa? maana sijaelewa kama mtu anaumwa kweli au mtu anauza hiyo aruvela katika thread hii na ku-recruit kiaina. Na hiyo aruvela huwa inafanya kazi kweli au ni kamba tu za mtu fulani?

Defunk, wameanza kukuzingua nini au nawe unauza 'aruvela' ila sasa umepata wapinzani?! lol

SteveD.
 
Defunk, wameanza kukuzingua nini au nawe unauza 'aruvela' ila sasa umepata wapinzani?! lol

SteveD.
Wamenizingua. Maana nimeangalia hiyo flow nikaona wanajijibu. Halafu huyo Monica thread zake zote ni Aruvela tuuuu.

Hawa wa Aruvela niliwahi kukutana nao, nikawauliza maswali weeee. Wakaniambia niko very presentable, wakataka wani-recruit, nikawaambia nipeni madawa yenu bure nijaribu....wakakataa, wakasema lazima ununue, ah nikaona tunayeyushana, sasa nyie kama mnataka mniconvince madawa yenu yanafanya kazi si mnipe bure ili nikifanikiwa niwatangazie biashara kwa nguvu zote. Nikawa-promise nitajitafutia liugonjwa nijiponyeshe na Aruvela, ili niwe living proof. Wakataka nilipe sijui £200...mmh, sasa child support nitalipa vipi?

Tukazenguana, nikawaambia waishie na li-pyramid scam lao.
 
Wamenizingua. Maana nimeangalia hiyo flow nikaona wanajijibu. Halafu huyo Monica thread zake zote ni Aruvela tuuuu.

Hawa wa Aruvela niliwahi kukutana nao, nikawauliza maswali weeee. Wakaniambia niko very presentable, wakataka wani-recruit, nikawaambia nipeni madawa yenu bure nijaribu....wakakataa, wakasema lazima ununue, ah nikaona tunayeyushana, sasa nyie kama mnataka mniconvince madawa yenu yanafanya kazi si mnipe bure ili nikifanikiwa niwatangazie biashara kwa nguvu zote. Nikawa-promise nitajitafutia liugonjwa nijiponyeshe na Aruvela, ili niwe living proof. Wakataka nilipe sijui £200...mmh, sasa child support nitalipa vipi?

Tukazenguana, nikawaambia waishie na li-pyramid scam lao.

Duuh, yaani kama hivi:
aton1234l.jpg
...

Kumbe nawe unaogopa sana CSA !!! lol


SteveD.
 
Duuh, yaani kama hivi:
aton1234l.jpg
...

Kumbe nawe unaogopa sana CSA !!! lol


SteveD.
lol,
Hiyo cartoon utafikiria unapewa pongezi kubebwa juu, kumbe wewe ndo unawabeba.
SteveD, sijawahi kufanya hii kitu, ila hawa jamaa wanawauzia watu wasiojua kujieleza. Matokeo yake hawawezi kuuza......
Anyways, asante na pole kwa bidii na links zako za maelezo ya mgonjwa, ila naona kulikuwa hamna mgonjwa hapa.
 
hivi alovera inatiba impotence?alafu kwa mtu mwenye uzoufu na haya madawa yanayoyangazwa magazetini ni dawa gani bora kwa nguvu za kiume?kuna mdau mmoja alishawahi kuniuliza na alikuwa na matatizo kama hayo ila akawa anatfuta dawa ya kutib tatizo klake.mie nikawa sina jibu..ila kama utakuwa unasoma gazeti la Mwanachi unaweza kukuta kuna waganga kibao wanauza dawa hizo.ni dawa ipi mtu alishwahi kuitumia ikatibu tatizo hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom