denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Natumai safari hii amejipanga vizuri baada ya kupapaswa mara ya mwisho alipogombea na Karia.
Ningewashauri hawa wanamichezo wawe na mtu mmoja watakaemuunga mkono ili kumuongezea nguvu na ushawishi, badala ya wote kugombea nafasi moja hii itampa nafasi mgombea mwenye "nguvu" zaidi kushinda kirahisi.
Au kama wanagombea ili kuzifurahisha nafsi zao basi niwatakie kila la kheri kwenye mipango yao, wazikonge vilivyo roho zao.
Ningewashauri hawa wanamichezo wawe na mtu mmoja watakaemuunga mkono ili kumuongezea nguvu na ushawishi, badala ya wote kugombea nafasi moja hii itampa nafasi mgombea mwenye "nguvu" zaidi kushinda kirahisi.
Au kama wanagombea ili kuzifurahisha nafsi zao basi niwatakie kila la kheri kwenye mipango yao, wazikonge vilivyo roho zao.