Akichangia hoja leo bungeni, Ally Mohemed Keissy mbunge wa Nkasi Kaskazini kwa ticket ya CCM ameshauri harambee zote au michango yote, ikiwepo michango ya makanisa, misikiti, harusi au chochote ili mradi watu wanachangia pesa basi itozwe kodi.
Pia aliitaka serikali ipeleke matangazo yake YOTE TBC ili kukijengea uwezo kituo hicho, amesema hata serikali ya uingereza hupeleka matangazo BBC
kujua zaidi kuhusu mh keissy, soma cv yake hapa Parliament of Tanzania
Pia aliitaka serikali ipeleke matangazo yake YOTE TBC ili kukijengea uwezo kituo hicho, amesema hata serikali ya uingereza hupeleka matangazo BBC
kujua zaidi kuhusu mh keissy, soma cv yake hapa Parliament of Tanzania