Ally M. Keissy (MP) - Michango ya harusi itozwe kodi

kessy ni kama juha vile,mambo mengi huwa anaongea kwa kutaka sifa kama mtoto mdogo vile
 
Huyu ni mwakilishi wa jimbo gani? Hata hao waliomshangilia bungeni hawakufikiri kabisa wamefanya kama formality. Huenda ni kanuni za bunge kumshangilia kila msemaji. Kampuni kutoka nje zinamaliza rasilimali za watanzania tena kwa kusamehewa kodi. Anafahamu jinsi vikao vya harusi vinavyoendeshwa, yeye anafikiri michango kwa ajili ya harusi moja ni endelevu kwa kiasi gani ili kutunza kumbukumbu zitakazo isaidia serikali kukusanya kodi?. Huyu mbunge...
Mungu atuhurumie.
 
Huyu ni mwakilishi wa jimbo gani? Hata hao waliomshangilia bungeni hawakufikiri kabisa wamefanya kama formality. Huenda ni kanuni za bunge kumshangilia kila msemaji. Kampuni kutoka nje zinamaliza rasilimali za watanzania tena kwa kusamehewa kodi. Anafahamu jinsi vikao vya harusi vinavyoendeshwa, yeye anafikiri michango kwa ajili ya harusi moja ni endelevu kwa kiasi gani ili kutunza kumbukumbu zitakazo isaidia serikali kukusanya kodi?. Huyu mbunge...
Mungu atuhurumie.

halafu si harusi tu, fikiri michango migine ya hiari, fikiri namna watu walivokua wanatoa support wakati ule wa mafuriko, ona watu jinsi hujitokeza wakati wakipindi cha njia panda, ona ni NGO ngapi hupokea misaada kwa ajili ya kusaidia jamii, eti leo unataka kuwapiga kodi?
 
Kweli ELIMU ni UFUNGuO wa MAARIFA! Huyu Mhe. Kessy ningemuona wa maana kama angependekeza kwamba kwa kuwa RAIS ni CITIZEN NUMBER ONE basi awe mfano wa kulipa kodi kwenye mapato yake anayopata kama ilivyo kwa US Pres Barack Obama. Lakini Rais wa JMT ni mfano wa mbaya wa mkwepaji kodi nambari one. Kwakuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi basi wawe mfano kwa kulipa kodi kwenye mapato yao wanayopata including yale ya mwisho ya ubunge.

Kwa kuwa Wajasiriamali wazawa hawapewi TAX HOLIDAY wakati wanapoanzisha biashara zao, basi pia wawekezaji wageni wafutiwe TAX HOLIDAY na waanze kulipa kodi hata kabla ya kuanza kupata faida katika biashara zao kama ilivyo kwa wazawa.

Lakini pia angeishauri serikali iyabane makampuni makubwa ya madini, simu etc yajiandikishe kwenye soka hisa la DSE ili kukwepa kulipa kodi kutokana na kujiandikisha kwenye stock markets za Ulaya na Marekani.

Lakini masikini Mhe. Kessy kwa elimu yake ya UPE anaona serikali itaongeza mapato kama michango ya harusi, rambirambi, sadaka na zaka kama zitakatwa kodi?!

Sijui kama wananchi wake wa Nkasi walimsikia kwamba sasa itabidi walipie kodi kila wanapochangia pombe na vyakula kwenye misiba, harusi na kanisani/misikitini!

Hawa ndiyo wabunge ambao Mwanasheria mkuu wa serikali alisema kwamba they are most intelligent Tanzanians! Mimi nikiangalia CVs za hao wabunge I swear hata 1/4 yao hawafikii IQ niliyonayo. Niko tayari kufanya COGNITIVE TEST na MBUNGE YEYOTE. Cognitive test is the crude indicator ya kuonesha IQ ya mtu.
 
Akichangia hoja leo bungeni, Ally Mohemed Keissy mbunge wa Nkasi Kaskazini kwa ticket ya CCM ameshauri harambee zote au michango yote, ikiwepo michango ya makanisa, misikiti, harusi au chochote ili mradi watu wanachangia pesa basi itozwe kodi.

Pia aliitaka serikali ipeleke matangazo yake YOTE TBC ili kukijengea uwezo kituo hicho, amesema hata serikali ya uingereza hupeleka matangazo BBC

kujua zaidi kuhusu mh keissy, soma cv yake hapa Parliament of Tanzania

Wabunge waanze kukatwa kodi.Mamilioni wapatayo kuwa tax free si sawa kabisa.Lingine ni kuwa nchi za wenzetu ukichangia mambo ya huduma za jamii unapata tax relief hapa ukichangia jamii mbunge kama huyu anataka ukatwe kodi very interesting!

Mambo ya harusi na misiba ni personal issues mtu anatumia chake alichokatwa kodi tayari kujifurahisha tatizo ni nini? Ni sawa na watu kukutana mchangie mtoto ada aende shule halafu mbunge anakuja kutaka michango hiyo ikatwe kodi.
Hawa wabunge wamelewa marupu rupu kwa kuwa hawakatwi kodi hawajui uchungu wa kukatwa kodi kabisa.
 
niliwahi kusema, tuwe na kiwango cha chini cha elimu mtu kuwa mbunge, mfano lazima na form six or equivalent, kuiacha wazi, kwamba hata std 7 anaweza kuwa mbuge, tutegemee michango ya hivi kwa miaka mingi ijayo


Acha liniency kwenye mambo ya msingi mkuu mbunge lazima awe na bachelor!!!!!
Mjue nyie mnaojua ukweli hakafu mnataka ku balance vyama kwa maslahi ya Taifa mnaturudisha nyuma sana!!!!

Hivi Uswe kweli unaweza sema mbunge awe form six au equivalent?????!!!!

Unalisaliti Taifa kabisa mkuu
 
Last edited by a moderator:
Acha liniency kwenye mambo ya msingi mkuu mbunge lazima awe na bachelor!!!!!


ile ilikua mfano tu chief, point ilikua there should be a minimum educational qualification to become an MP, kwamba ipi sasa iwe minimum qualification, hiyo inahitaji discussion and analysis.
 
Sijui hizi ni adhabu za kuwaacha miungu wetu? Maana mbona waafrika tuna sali sana kwa huyu Mungu aliyetoka hapo middle east lakini majanga hivi.
Angekua anatusikiliza kweli angekubali takataka kama hio ituongoze?
 
Chama Cha Zamani kama misukuke mbona kasahau ZAMBIZAMBI kuwa nazo zikatwe kodi kwenye bajeti siwametenga kiasi cha kama billion moja hivi kama cijakocea(18%=180,000,000/=)kama hesabu hii haiko sawa mbunge atanisahihisha
 
ile ilikua mfano tu chief, point ilikua there should be a minimum educational qualification to become an MP, kwamba ipi sasa iwe minimum qualification, hiyo inahitaji discussion and analysis.

Kaka kaka bana a fine balance ya nini humu!!!!!

If you were to suggest???!!!!
 
Sijui hizi ni adhabu za kuwaacha miungu wetu? Maana mbona waafrika tuna sali sana kwa huyu Mungu aliyetoka hapo middle east lakini majanga hivi.
Angekua anatusikiliza kweli angekubali takataka kama hio ituongoze?

mnasali sn kwa Mungu
wakati asili hamjaacha?
 
Akichangia hoja leo bungeni, Ally Mohemed Keissy mbunge wa Nkasi Kaskazini kwa ticket ya CCM ameshauri harambee zote au michango yote, ikiwepo michango ya makanisa, misikiti, harusi au chochote ili mradi watu wanachangia pesa basi itozwe kodi.

Pia aliitaka serikali ipeleke matangazo yake YOTE TBC ili kukijengea uwezo kituo hicho, amesema hata serikali ya uingereza hupeleka matangazo BBC

kujua zaidi kuhusu mh keissy, soma cv yake hapa Parliament of Tanzania
Namwonaga ka mlevi! Wananchi wetu bank
 
Back
Top Bottom