ally kiba na r kelly

engmtolera

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
5,150
1,437
wana jf ktk hili la burudani nampongeza dogo ALLY KIBA kwa kufanya vizuri ktk nyimbo mpya aliyoshirikiana na R KELLY ndani ya chikago,kitu kipo powa,huwezi amini kama ni yule ALLY KIBA WA USINISEME,ndani ya hiyo nyimbo yupo shemeji yetu AMANI,kweli AFRIKA MASHARIKI TUPO JUUU.
KAZA BUTI ALLY KIBA,kwani unaweza na umedhihilisha ktk hii nyimbo
mapinduziiiii daimaaaaaa
 
wana jf ktk hili la burudani nampongeza dogo ALLY KIBA kwa kufanya vizuri ktk nyimbo mpya aliyoshirikiana na R KELLY ndani ya chikago,kitu kipo powa,huwezi amini kama ni yule ALLY KIBA WA USINISEME,ndani ya hiyo nyimbo yupo shemeji yetu AMANI,kweli AFRIKA MASHARIKI TUPO JUUU.
KAZA BUTI ALLY KIBA,kwani unaweza na umedhihilisha ktk hii nyimbo
mapinduziiiii daimaaaaaa

Unazungumzia nyimbo hii??!



 
Last edited by a moderator:
Kiukweli kufanya Collabo tu na Mkali R kelly ni revolution ya kutosha sana kwa mwanamuziki wa bongo ambaye he never expected hata tu kufanya muziki na Nameless au wyre Big up Ally Kiba.. gud start najua dogo kasafisha nyota na sasa atapata invitation kibao kwa collabo zaidi!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom