Tatizo la alikiba ni kuvimba...yaani yeye ndo anajiona ashafika...wakikaa gheto na wale vijana wake wa king music wakiimba huku kuna masela pembeni wanawashangilia basi wanajiona ndo washamaliza kila kitu...hawajui mziki wa siku hizi umebadilika...mziki wa siku hizi tafuta producer mkali akutengeneze biti kali inayochezeka we pita nayo tu imba hata vitu ambavyo havieleweki ilimradi yasiwe matusi..video tafuta ma dancer wakali wengi wanaojua kucheza then wacheze na iyo biti kali...picha za video ziwe quality afu achia iyo kitu mtaani...kwa base fun ya kiba mbona ngoma kesho tu ishabamba mtaani...sasa yeye mziki wake hadi leo anafanya ile ya kina dushelele,u are my everything,makhmuga anaibadilisha kidogo...tatizo lake anadhani mziki ni kujua kuimba tu...wake up brother hukatazwi kuimba izo nyimbo zako imba but uwe unatoa na hizi za kisasa zinazobamba sikuhizi mashabiki wako wazicheze huku mtaani...tatizo lako umezungukwa na watu washambashamba wasiojua mziki wa kisasa unataka ujanjaujanja mwingi...sikuhizi ukiwa na maneno matatu tu unatoa wimbo na unabamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.