Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Diamond na Ali Kiba ni paka na panya na kamwe mafahari hawa wawili hawawezi kukaa kwenye zizi moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sory alikiba ndo Nani?
Sory alikiba ndo Nani?
ni msanii wa Taarabu wa Zanzibar modern Taarabu lenye maskan yake Zanzibar
ally kiba hawez kua na wivu na diamond..
ally kibahana makuu wala hapend sifa za kijinga..
OMMY DIMPOZ hana shukrani,kwenye interview akiambiwa ataje watu anao washukuru kwa kufika hapo alipo anawataja akina DIAMOND, MAN WATER Alafu anawaacha ALLY KIBA na KGT ambao kiuhalisia ndo wamemtoa..
this iresonsbility
Alikiba anakipaji ya kipekee sema media hasa mawingu yanamuua kimuziki same to Belle 9.
Hata wao hawana mpango nae wa kutoa collaboo
Sory alikiba ndo Nani?
Alikiba hakitumi fulstop, ni ujinga kwa legend kama yeye aliyeawika na tangu nikiwa form 5 anakuja kuzidiwa na kitoto kilijoanza juz, this iresonsbility, akubali kuzidiwa na ajifunze toka kwa domo, ndo maisha, aache wivu wa kike