Ally Kiba afunguka: Siwezi kamwe kufanya Collabo na DIAMOND

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
page13.jpg
Unategemea kusikia collabo ya Diamond Platnumz, Ali Kiba na Ommy Dimpoz? Kama una ndoto hiyo, basi iondoe kabisa kwasababu kwa mujibu wa Ali Kiba, kuwepo kwa collabo hiyo ni sawa na kudeki bahari, haiwezekani.
Diamond na Ali Kiba ni paka na panya na kamwe mafahari hawa wawili hawawezi kukaa kwenye zizi moja.​
 
ally kiba hawez kua na wivu na diamond..
ally kibahana makuu wala hapend sifa za kijinga..

OMMY DIMPOZ hana shukrani,kwenye interview akiambiwa ataje watu anao washukuru kwa kufika hapo alipo anawataja akina DIAMOND, MAN WATER Alafu anawaacha ALLY KIBA na KGT ambao kiuhalisia ndo wamemtoa..
 
Alikiba hakitumi fulstop, ni ujinga kwa legend kama yeye aliyeawika na tangu nikiwa form 5 anakuja kuzidiwa na kitoto kilijoanza juz, this iresonsbility, akubali kuzidiwa na ajifunze toka kwa domo, ndo maisha, aache wivu wa kike
 
ally kiba hawez kua na wivu na diamond..
ally kibahana makuu wala hapend sifa za kijinga..

OMMY DIMPOZ hana shukrani,kwenye interview akiambiwa ataje watu anao washukuru kwa kufika hapo alipo anawataja akina DIAMOND, MAN WATER Alafu anawaacha ALLY KIBA na KGT ambao kiuhalisia ndo wamemtoa..

Ommy dimpoz n Mpuuzi tu hana akilli...na hii ndo shida ya masikin akipata usahau kila kitu nyuma..Ali anajua mziki sana..
 
Alikiba anakipaji ya kipekee sema media hasa mawingu yanamuua kimuziki same to Belle 9.

Acha story za vijiweni mkiwa mnakunywa viroba, sema clouds inambania kiba mbona hata radio zingine hasikiki? Kuna vipindi vya msikilizaji kurequest nyimbo umesikia watu wakiomba nyimbo za kiba sana lately au clouds wanawaambia watu wasiombe nyimbo za kiba

Kiba kaisha ndo ukweli, endeleeni kumpamba anajua kuimba zaidi ya diamond aendelee kulala hivyo hivyo wenzake wanaongeza majumba mjini
 
Alikiba hakitumi fulstop, ni ujinga kwa legend kama yeye aliyeawika na tangu nikiwa form 5 anakuja kuzidiwa na kitoto kilijoanza juz, this iresonsbility, akubali kuzidiwa na ajifunze toka kwa domo, ndo maisha, aache wivu wa kike


Neno Legend kwako linamaana gani?...sorry
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom