Tusitoke kwenye pointi na kuukuza mjadala bure........ishu hapa ni nani yupo juu kuliko mwenzake kwa mashabiki (followers).....na ubishi kuwa Kiba ndiye yupo juu ni wa kinadharia. Kila anatefanya mtihani malengo ni kupata +A, sasa kama kupata -C na D, kwenu ndio kuongoza......hii ni ajabu. Pia sidhani kama hapa tunashindanisha vocals, ziada aliyonayo Diamond ni bidii na kujituma...hilo halihitaji digrii kuliona....hata kama kwa vocals wapo wanaomzidi.....na hapa tunaongelea wakati uliopo (leo)..so ishu ya ataanguka sijui inaingiaje...hayo tusubiri akishaanguka. Pia sidhani kama kuna ushindani wa umiliki wa mali kwa kumlinganisha na AY.......ushindani hapa ni FOLLOWERS. Nilipokuwa nasoma secondary....kwenye darasa letu mimi nilikuwa mmoja wa wanafunzi wanaosifiwa (na mademu) kuwa ni handsome.....na hakukuwa na ubishi kwenye hilo.....lakini nilikuwa nipo COOL sana na mwenye aibu.....ila inapokuja kwenye ishu ya kupata demu mkali...kulikuwa na jamaa anaitwa Moses...almaarufu kama MOZEE...jamaa hakuwa handsome kihivyo..ila alikuwa ni mtu mcheshi, mastory (mengi ya uongo), mbabe (bully),yaani jamaa alikuwa na "domo".....wakati mwingine bifu na maticha......huwezi kuamini jamaa mademu wakali wote walikuwa wa kwake...na sio kwamba alitoka kwenye familia ya kihiiivyo...nilikuwa nimemuacha mbali tu. Siku moja ilitokea kwenye mastori ya hapa na pale alituambia (baada ya kumfagilia juu ya mademu).......My men....girls wanahitaji zaidi ya kuwa handsome...usisubiri wakufuate kwa sababu eti wewe ni handsome. Mpaka tunamaliza shule niliishia tu kuitwa handsome na hao mademu.....huku naishia kukenua meno na kuangalia chini kwa aibu.... Huu ni mfano hai ingawa si wa kuungwa mkono kimaadili......lakini nadhani mmepata point....DONT JUST SEAT BACK AND RELAX.....GET UP AND DO SOMETHING.........Mmmh cna mengi but mmb mazuri hayasemwi kbs acha watu washuhudie wenyewe then washauti.... toka ujue music msanii gn mwenye mafanikio akajitangaza? Mfano mzuri AY anaemilili apartment yakwake Johannesburg southafrica ambayo hufikia kina dbanj hata cku1 hajawai sema....khs diamond naona anapendwa na wtt na teenagers bac ambao mara nyng huwa ways KBS,kiba upo juu kiukwl tumpe mda dimond atachoka tu