FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,392
- 4,468
Hapo Kiba amesound ki wivu zaidi.......na kama mtoto wa kiume asingepaswa kuropoka hivyo.
It sounds funny..........sasa wakicollabo ni nani atamuinua mwenzake ?
Hebu muulize Nay wa Mitego kuhusu "Muziki gani".......hayo angetamka Diamond dhidi ya Ally inge make sense....
Na sio kweli kwamba kuna MSANII asiyependa publicity.....unless iwe ni negative publicity inayomuua msanii....other wise wasioweza ku handle hiyo hali wamekwepa kuingia kwenye sanaa...nikimaanisha kuna wengi wana uwezo wa kuimba ila wametafuta shughuli nyingine kwa kutoweza kuhimili maisha ya SPOT LIGHT.......so sio kweli kwamba hapendi sifa........ukweli ni kwamba hauzi kihivyo kuwapa sababu chombo cha habari kumuwinda na kutumia rasilimali zao.
CLOUDS WANAMBANIA....mmh.......na Marlow je ? kuna mtu anaweza kupinga kuwa Marlow anajua ? sasa kwa nini iwe Kiba na sio Marlow ?
Lazima Kiba ajue kusifiwa tu kuwa anajua haitoshi.......bidii na kujituma kunahitajika....sio uwezo wa kuimba pekee ndio unaoleta mashabiki na uungwaji mkono.....kuna zaidi ya hayo......hata ufanyaji wako kazi ni sehemu ya mvuto kwa jamii yako....na hicho ndicho kina mbeba Diamond.
Ila Ally Kiba una asili ya uvivu kulinganisha na Diamond ambaye hata historia yake inaonyesha ni mpiganaji....asiyekaa na kusubiri....ila anatoka na kutafuta.
............Subiri kupiga deki bahari bro.........
It sounds funny..........sasa wakicollabo ni nani atamuinua mwenzake ?
Hebu muulize Nay wa Mitego kuhusu "Muziki gani".......hayo angetamka Diamond dhidi ya Ally inge make sense....
Na sio kweli kwamba kuna MSANII asiyependa publicity.....unless iwe ni negative publicity inayomuua msanii....other wise wasioweza ku handle hiyo hali wamekwepa kuingia kwenye sanaa...nikimaanisha kuna wengi wana uwezo wa kuimba ila wametafuta shughuli nyingine kwa kutoweza kuhimili maisha ya SPOT LIGHT.......so sio kweli kwamba hapendi sifa........ukweli ni kwamba hauzi kihivyo kuwapa sababu chombo cha habari kumuwinda na kutumia rasilimali zao.
CLOUDS WANAMBANIA....mmh.......na Marlow je ? kuna mtu anaweza kupinga kuwa Marlow anajua ? sasa kwa nini iwe Kiba na sio Marlow ?
Lazima Kiba ajue kusifiwa tu kuwa anajua haitoshi.......bidii na kujituma kunahitajika....sio uwezo wa kuimba pekee ndio unaoleta mashabiki na uungwaji mkono.....kuna zaidi ya hayo......hata ufanyaji wako kazi ni sehemu ya mvuto kwa jamii yako....na hicho ndicho kina mbeba Diamond.
Ila Ally Kiba una asili ya uvivu kulinganisha na Diamond ambaye hata historia yake inaonyesha ni mpiganaji....asiyekaa na kusubiri....ila anatoka na kutafuta.
............Subiri kupiga deki bahari bro.........