Kasema ukweli mtupu kabisa
Nawasubiria WaZenji. Wata react....Bungeni Dodoma na kwenye BWZ. Watamfungia Kessy kuingia Zenj....Mama samia saidia zanzibar ipate mamlaka kamili, ona ndugu zako tunavyonyanyasika kama watoto wa nje!!
Ngoja ije kwenye issue ya kupigia kura upuuzi ndio utajua kwamba wazanzibari ukiwaacha CUF pekee walivyo kambale.Mama samia saidia zanzibar ipate mamlaka kamili, ona ndugu zako tunavyonyanyasika kama watoto wa nje!!
CCM ni kiporo kilivhochacha. CCM zenji ndio takataka kabisa. Usione wanajifanya kulalamika, hakuna kitu hapo.Wazanzibar wamlaumu jecha maana ndiye aliyepora uhuru wao
Mama samia saidia zanzibar ipate mamlaka kamili, ona ndugu zako tunavyonyanyasika kama watoto wa nje!!