Ally Hamza: Taarifa Ya MCT na MISA TAN Kuhusu Kukamatwa Kwa Kabendera Siyo Ya Kiueledi

Ekethocho

Member
Jul 19, 2018
99
189
*MCT NA MISA TAN NDIO WAMECHOKA HIVI? HAWA WAFUTWE TU, HAWANA KAZI*

Matamko mawili ya taasisi za habari MISA TAN na MCT yametoa mshangao kwa wengi kuhusu mwanahabari Eric Kabendera. Yote yameingilia mchakato wa kisheria unaoendelea.

Katika tamko la MISA TAN ambalo cha ajabu linatumia lugha ya kiingereza (sijui wamemwandikia nani maana wapo waandishi wengi hapa nchini ambao hawajui Kiingereza).Sijui wanapeleka ujumbe kwa nani? Au wamepewa tamko🤦🏻‍♂

Lakini kituko cha taarifa yao pia ni kutumia neno "abduction" yaani kutekwa.
Nashindwa kuwaelewa!!Yaani pamoja na taarifa zote za Idara za polisi na Uhamiaji kusema wao ndio wamemkamata Kabendera na wanamuhoji bado una taasisi ya Habari inga'ng'ania kuwa "katekwa." Hii ni aibu kwa nchi na taaluma.
MCT ndio kabisa hata tarehe hawana ktk tamko lao lakini pia wanavitaka vyombo vya dola vimwachie Kabendera!!
Bahati mbaya wengine hatuna mamlaka tu, ningeluwa mimi ningefuta kabisa wajinga hawa yani NGO inawaagiza polisi wamwachie mtuhumiwa wa uhalifu?Waachiwe watuhumiwa wangapi?
Badala ya kutaka sheria zitekelezwe na au kumpa utetezi wa kisheria mtuhumiwa wao wanataka sheria zivunjwe kwa kumwachia mtuhumiwa wa ubalifu, kisa mwanahabari?
Hizi taasisi za habari zimechoka sana kwa kweli. Ndio chanzo cha uandishi wenyewe nchini kushuka mno. Nashauri zifutwe.
Ally Hamza, mwanablogu, Dar.
 
Acha kulalama lalama...ungeweka na hayo matamko tuyaone,
Mkuu wewe uko dunia ipi? ina maana hujaona kokote kuwa Polisi na Uhamiaji wamemuongelea Kabendera? Kwa mujibu wa Taarifa ya Uhamiaji, Kabendera ana hati 7 za kusafiria, katika hali ya kawaida unadhani huyo ni mtu kawaida?
 
Mkuu wewe uko dunia ipi? ina maana hujaona kokote kuwa Polisi na Uhamiaji wamemuongelea Kabendera? Kwa mujibu wa Taarifa ya Uhamiaji, Kabendera ana hati 7 za kusafiria, katika hali ya kawaida unadhani huyo ni mtu kawaida?

Ayo matamko ya polisi na uhamiaji nimeyaona...mbona ataivo inshu ilishaisha tangu 2013,na tume iliundwa,na ikathibitika jamaa hana shida,zaidizaidi uhamiaji ndio waliomkosea,pamoja na wazazi wake

Matamko niliokua nayasema ni hayo unayoyalalamikia,ya MCT na MISA TAN
 
*MCT NA MISA TAN NDIO WAMECHOKA HIVI? HAWA WAFUTWE TU, HAWANA KAZI*

Matamko mawili ya taasisi za habari MISA TAN na MCT yametoa mshangao kwa wengi kuhusu mwanahabari Eric Kabendera. Yote yameingilia mchakato wa kisheria unaoendelea.

Katika tamko la MISA TAN ambalo cha ajabu linatumia lugha ya kiingereza (sijui wamemwandikia nani maana wapo waandishi wengi hapa nchini ambao hawajui Kiingereza).Sijui wanapeleka ujumbe kwa nani? Au wamepewa tamko🤦🏻‍♂️

Lakini kituko cha taarifa yao pia ni kutumia neno "abduction" yaani kutekwa.
Nashindwa kuwaelewa!!Yaani pamoja na taarifa zote za Idara za polisi na Uhamiaji kusema wao ndio wamemkamata Kabendera na wanamuhoji bado una taasisi ya Habari inga'ng'ania kuwa "katekwa." Hii ni aibu kwa nchi na taaluma.
MCT ndio kabisa hata tarehe hawana ktk tamko lao lakini pia wanavitaka vyombo vya dola vimwachie Kabendera!!
Bahati mbaya wengine hatuna mamlaka tu, ningeluwa mimi ningefuta kabisa wajinga hawa yani NGO inawaagiza polisi wamwachie mtuhumiwa wa uhalifu?Waachiwe watuhumiwa wangapi?
Badala ya kutaka sheria zitekelezwe na au kumpa utetezi wa kisheria mtuhumiwa wao wanataka sheria zivunjwe kwa kumwachia mtuhumiwa wa ubalifu, kisa mwanahabari?
Hizi taasisi za habari zimechoka sana kwa kweli. Ndio chanzo cha uandishi wenyewe nchini kushuka mno. Nashauri zifutwe.
Ally Hamza, mwanablogu, Dar.
pumbavu
 
*MCT NA MISA TAN NDIO WAMECHOKA HIVI? HAWA WAFUTWE TU, HAWANA KAZI*

Matamko mawili ya taasisi za habari MISA TAN na MCT yametoa mshangao kwa wengi kuhusu mwanahabari Eric Kabendera. Yote yameingilia mchakato wa kisheria unaoendelea.

Katika tamko la MISA TAN ambalo cha ajabu linatumia lugha ya kiingereza (sijui wamemwandikia nani maana wapo waandishi wengi hapa nchini ambao hawajui Kiingereza).Sijui wanapeleka ujumbe kwa nani? Au wamepewa tamko🤦🏻‍♂

Lakini kituko cha taarifa yao pia ni kutumia neno "abduction" yaani kutekwa.
Nashindwa kuwaelewa!!Yaani pamoja na taarifa zote za Idara za polisi na Uhamiaji kusema wao ndio wamemkamata Kabendera na wanamuhoji bado una taasisi ya Habari inga'ng'ania kuwa "katekwa." Hii ni aibu kwa nchi na taaluma.
MCT ndio kabisa hata tarehe hawana ktk tamko lao lakini pia wanavitaka vyombo vya dola vimwachie Kabendera!!
Bahati mbaya wengine hatuna mamlaka tu, ningeluwa mimi ningefuta kabisa wajinga hawa yani NGO inawaagiza polisi wamwachie mtuhumiwa wa uhalifu?Waachiwe watuhumiwa wangapi?
Badala ya kutaka sheria zitekelezwe na au kumpa utetezi wa kisheria mtuhumiwa wao wanataka sheria zivunjwe kwa kumwachia mtuhumiwa wa ubalifu, kisa mwanahabari?
Hizi taasisi za habari zimechoka sana kwa kweli. Ndio chanzo cha uandishi wenyewe nchini kushuka mno. Nashauri zifutwe.
Ally Hamza, mwanablogu, Dar.
Pale njaa inapomaliza tumbo na kuhamia kichwani.....hahahahaaa. Ndio type za magufuli wa awamu ya tano hawa.
 
Sasa mtoa mada unatutaka tuchukue hatua gani baada ya wewe kuyasoma hayo matamko na kuyaona hayana weledi? Au na sisi tuunge mkono kulalamika?
 
Bahati mbaya wengine hatuna mamlaka tu, ningeluwa mimi ningefuta kabisa wajinga hawa yani NGO inawaagiza polisi wamwachie mtuhumiwa wa uhalifu?Waachiwe watuhumiwa wangapi?
Siku yakikukuta useme hivyo hivyo na wewe, it's a matter of time.
 
Mkuu wewe uko dunia ipi? ina maana hujaona kokote kuwa Polisi na Uhamiaji wamemuongelea Kabendera? Kwa mujibu wa Taarifa ya Uhamiaji, Kabendera ana hati 7 za kusafiria, katika hali ya kawaida unadhani huyo ni mtu kawaida?
Acha uwongo.Polisi wameondoka na hati saba za kusafiria moja ni ya kabendera na sita ni za ndugu zake.Siyo kwamba zote saba ni zake
 
Mkuu wewe uko dunia ipi? ina maana hujaona kokote kuwa Polisi na Uhamiaji wamemuongelea Kabendera? Kwa mujibu wa Taarifa ya Uhamiaji, Kabendera ana hati 7 za kusafiria, katika hali ya kawaida unadhani huyo ni mtu kawaida?
KUWA NA HATI SABA ZA KUSAFIRIA NDIO KUNASABABISHA ASKARI WAENDE BILA UTAMBULISHO, PIA WASUBIRI HADI KELELE ZIPIGWE NDIPO WASEME KUWA NI WAO WANAMSHIKILIA
 
*MCT NA MISA TAN NDIO WAMECHOKA HIVI? HAWA WAFUTWE TU, HAWANA KAZI*

Matamko mawili ya taasisi za habari MISA TAN na MCT yametoa mshangao kwa wengi kuhusu mwanahabari Eric Kabendera. Yote yameingilia mchakato wa kisheria unaoendelea.

Katika tamko la MISA TAN ambalo cha ajabu linatumia lugha ya kiingereza (sijui wamemwandikia nani maana wapo waandishi wengi hapa nchini ambao hawajui Kiingereza).Sijui wanapeleka ujumbe kwa nani? Au wamepewa tamko

Lakini kituko cha taarifa yao pia ni kutumia neno "abduction" yaani kutekwa.
Nashindwa kuwaelewa!!Yaani pamoja na taarifa zote za Idara za polisi na Uhamiaji kusema wao ndio wamemkamata Kabendera na wanamuhoji bado una taasisi ya Habari inga'ng'ania kuwa "katekwa." Hii ni aibu kwa nchi na taaluma.
MCT ndio kabisa hata tarehe hawana ktk tamko lao lakini pia wanavitaka vyombo vya dola vimwachie Kabendera!!
Bahati mbaya wengine hatuna mamlaka tu, ningeluwa mimi ningefuta kabisa wajinga hawa yani NGO inawaagiza polisi wamwachie mtuhumiwa wa uhalifu?Waachiwe watuhumiwa wangapi?
Badala ya kutaka sheria zitekelezwe na au kumpa utetezi wa kisheria mtuhumiwa wao wanataka sheria zivunjwe kwa kumwachia mtuhumiwa wa ubalifu, kisa mwanahabari?
Hizi taasisi za habari zimechoka sana kwa kweli. Ndio chanzo cha uandishi wenyewe nchini kushuka mno. Nashauri zifutwe.
Ally Hamza, mwanablogu, Dar.
First-they-came-for-the-Socialists-and-I-did-not-s.jpeg
 
hawa yani NGO inawaagiza polisi wamwachie mtuhumiwa wa uhalifu?Waachiwe watuhumiwa wangapi?
Badala ya kutaka sheria zitekelezwe na au kumpa utetezi wa kisheria mtuhumiwa wao wanataka sheria zivunjwe kwa kumwachia mtuhumiwa wa ubalifu, kisa mwanahabari?
Je Mtuhumiwa ni Muhalifu ?

Huu ndio upunguani wa kutukana mamba wakati haujavuka mto..., wewe mwenyewe unajiita una-blog i.e. unatoa habari alafu unatukana chombo cha kuwasaidia wanahabari..., nadhani walioleta neno uchwara walimaanisha wewe
 
Mkuu wewe uko dunia ipi? ina maana hujaona kokote kuwa Polisi na Uhamiaji wamemuongelea Kabendera? Kwa mujibu wa Taarifa ya Uhamiaji, Kabendera ana hati 7 za kusafiria, katika hali ya kawaida unadhani huyo ni mtu kawaida?
Hivi umefatilia vizuri hii taarifa kwa kina, au umesoma tu heading ukaja mbio kuandika. Kwa taarifa yako katika hati 7 yakwake ni moja tu zilizobaki ni za wanafamilia yake.

Sasa kwa kutokuwa makini kwako ushayuhumu na kumuukumu.

Tuwe makini. Utaratibu wa kumtia nguvuni ndio una mashaka ikiwemo kukatia mawasiliano.
 
Back
Top Bottom