Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Watu wengine wanashindwa kutumia hekima, huyo alitakiwa akatae kujibu hilo swali kwa sababu ya "Conflict of Interests", Sasa amekwenda kujiadhiri.

Linapokuja suala la Katiba ya nchi, mtu unaweka pembeni maslahi yako binafsi, Maana kila mtu akiweka mbele maslahi ya familia yake kwanza kabla ya Taifa kutakuwa na nchi? —Au Bananga anafikiri yeye ndo mwenye familia peke yake Tanzania hii?
 
Atamlinda Kwa damu wakati gani? When she is right or wrong?

Ukimlinda Kwa Damu, when she is wrong, hujui unachofia.

The Decent and truthful people, always die for noble cause.

Get rid of being self interested, mediocre and myopic Mr Bananga.
Utapata tabu na Bananga ...wanasiasa wa upinzani wanatembea na price tag shingoni Mzee Walianza wakongwe itakua hawa...soon wataunga juhudi
 
Kwa hiyo mkewe hata akitenda uovu atamlinda tu? Kwa Nini asimsaidie kumwondoa kwenye songombingo la kupata ubunge usiostahili? Je viapo vyao huko msikitini viliruhusu kula hata visivyostahili?

Kwake anajua kabisa huo sio uovu ndio maana amesimama na mkewe
Hivi kulikua na uovu mkubwa zaidi ya ule wa chadema kumsafisha waliyemwita fisadi papa ili wakule pesa zake!?
 
Human right is only right to life, which is a right to all living things and is absolutely free, the air we breathe! Everything else is politics.
 
"Mimi ni mwanachama wa CHADEMA, Suala la wabunge 19 wa viti maalumu ambao Chama chetu kinasema hakiwatambui, mke wangu (Hawa Bananga) pia ni miongoni mwao na katika vitu ambavyo nimekuwa nikijiepusha kuvizungumza ni suala hili kwasababu bado maamuzi yako ndani ya chama.

Kuliweka hili kwa ufupi mimi nitasimama aliposimama mke wangu kwasababu sikufunga naye ndoa CHADEMA, sikufunga naye ndoa mitandaoni nilifunga naye ndoa msikitini, kiapo changu kwake ni kumlinda kwa gharama ya damu yangu.

Lolote lenye udhaifu kwake ni wajibu wangu kulipa uimara, ndio kitu cha thamani ninachomiliki, nitamlinda mama wa watoto wangu

"-Mwanasiasa Ally Bananga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Chanzo: Star TV
Hizi ndo habari unazozipenda Bwana Musiba.
Vp baada ya lile tahira kufa bado unapokea mshiko kuwatukana wazee wa chama na wapinzani? Vp vigazeti vyako vina hali gani baada ya kifo cha bwana wako?
 
"Mimi ni mwanachama wa CHADEMA, Suala la wabunge 19 wa viti maalumu ambao Chama chetu kinasema hakiwatambui, mke wangu (Hawa Bananga) pia ni miongoni mwao na katika vitu ambavyo nimekuwa nikijiepusha kuvizungumza ni suala hili kwasababu bado maamuzi yako ndani ya chama.

Kuliweka hili kwa ufupi mimi nitasimama aliposimama mke wangu kwasababu sikufunga naye ndoa CHADEMA, sikufunga naye ndoa mitandaoni nilifunga naye ndoa msikitini, kiapo changu kwake ni kumlinda kwa gharama ya damu yangu.

Lolote lenye udhaifu kwake ni wajibu wangu kulipa uimara, ndio kitu cha thamani ninachomiliki, nitamlinda mama wa watoto wangu

"-Mwanasiasa Ally Bananga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Chanzo: Star TV
Hana lolote huyo anaangalia mpunga tu
 
Nimemsikia Ally Bananga kwenye mahojiano, nadhani amepanic nakuanza vita bila kujua anapambana na nani. Amepambana na Lissu, Lema, Mnyika kwa maana wamekosea sehemu fulani kutokana na tweet zao juu ya kukutana na Rais, Diamond pamoja na wabunge 19.

Anapohojiwa msimamo wake kuhusu wabunge 19 anaeleza kwamba familia Kwanza Katiba baadaye. Najiuliza anaamini hiki ndicho wananchi wanachokihitaji? Leo viongozi wote wa upinzani wakiwaza familia zao watapata muda wakuwaza Katiba mpya?

Anasema wakutane na shibuda Kwanza kabla ya kwenda kuonana na Rais Kama takwa lakukukuna linavyotaka, je leo tunaamini shibuda anakubaliana na agenda za Chadema wanazotaka kuziwasilisha kwa Rais? Je waende kukutana na Rais kama fasheni au waende kwa msingi wa mahitaji ya hoja zao.

Anadai atamuunga mkono Diamond, lakini wengine wanaopingana na Diamond anadai wamekosa agenda. Kwanini anaamini kwake kumsapoti diamond ni agenda lakini wengine mmojammoja awapaswi kumpinga diamond? Ni wapi chama kimetoa msimamo wake juu ya bet ya Diamond?

Lakini pia overconfidence inamwondoa kwenye mjadala nakufikia kuona Kama alistahili kuwa mgombea wa Chadema Arusha na si Lema. Je Kama alikuwa na kinyongo juu ya lema kwanini asimwambie?
Amueni kijinga muone mziki wake, wale wanawake wabunge 19 wamebeba wengine 1000 nyuma Yao,

Chadema tendeni haki Kwa mjibu wa katiba yenu
 
Nimemsikia Ally Bananga kwenye mahojiano, nadhani amepanic nakuanza vita bila kujua anapambana na nani. Amepambana na Lissu, Lema, Mnyika kwa maana wamekosea sehemu fulani kutokana na tweet zao juu ya kukutana na Rais, Diamond pamoja na wabunge 19.

Anapohojiwa msimamo wake kuhusu wabunge 19 anaeleza kwamba familia Kwanza Katiba baadaye. Najiuliza anaamini hiki ndicho wananchi wanachokihitaji? Leo viongozi wote wa upinzani wakiwaza familia zao watapata muda wakuwaza Katiba mpya?

Anasema wakutane na shibuda Kwanza kabla ya kwenda kuonana na Rais Kama takwa lakukukuna linavyotaka, je leo tunaamini shibuda anakubaliana na agenda za Chadema wanazotaka kuziwasilisha kwa Rais? Je waende kukutana na Rais kama fasheni au waende kwa msingi wa mahitaji ya hoja zao.

Anadai atamuunga mkono Diamond, lakini wengine wanaopingana na Diamond anadai wamekosa agenda. Kwanini anaamini kwake kumsapoti diamond ni agenda lakini wengine mmojammoja awapaswi kumpinga diamond? Ni wapi chama kimetoa msimamo wake juu ya bet ya Diamond?

Lakini pia overconfidence inamwondoa kwenye mjadala nakufikia kuona Kama alistahili kuwa mgombea wa Chadema Arusha na si Lema. Je Kama alikuwa na kinyongo juu ya lema kwanini asimwambie?
Unashangaa wana siasa wa Tanzania? Usikute wala hajuwi anaongea au kutetea nini...akamatwe tu apelekwe Kigamboni Zoo.
 
Yupo kwenye list wateuliwa watarajiwa..DCs,DEDs... Mama ameona uvccm hamna kitu..rejea ya Sabaya,Makonda...linganisha na Gekul,Waitara,Silinde
 
"Mimi ni mwanachama wa CHADEMA, Suala la wabunge 19 wa viti maalumu ambao Chama chetu kinasema hakiwatambui, mke wangu (Hawa Bananga) pia ni miongoni mwao na katika vitu ambavyo nimekuwa nikijiepusha kuvizungumza ni suala hili kwasababu bado maamuzi yako ndani ya chama.

Kuliweka hili kwa ufupi mimi nitasimama aliposimama mke wangu kwasababu sikufunga naye ndoa CHADEMA, sikufunga naye ndoa mitandaoni nilifunga naye ndoa msikitini, kiapo changu kwake ni kumlinda kwa gharama ya damu yangu.

Lolote lenye udhaifu kwake ni wajibu wangu kulipa uimara, ndio kitu cha thamani ninachomiliki, nitamlinda mama wa watoto wangu

"-Mwanasiasa Ally Bananga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Chanzo: Star TV
sawa, kumfuata mkeo ama kubakia CDM huo ni uamuzi wako ndugu - CDM haiwezi kukuingilia mambo yako ya ndani... - after-all uanachama wako ni kwa hiari yako na maisha ya kisiasa ni ya kwako - uamuzi wowote utakaouchukua hilo ni la kwako na mkeo (familia), sisi hayatuhusu - chama kinasonga mbele.
 
Back
Top Bottom