Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Mtu akielekea kuhamia kwenu au akitofautiana na chama chake ndio mnagundua kuwa siku zote alikuwa na akili sana!

Sasa huyu genius wako anasema anamsupport mke wake kwa sababu alimuoa msikitini na sio kwa sababu yuko sahihi! Heri angesema kuwa mpango wote walisuka pamoja.

Amandla...
Kwa hiyo maza hata akiharibu vipi yeye anasimama naye, haya makapi ya CCM wayatoe yote
 
Ushabiki wa vyama na matusi pembeni, ungekuwa ni wewe mkuu katika mtangange huu ungefanyeje; huku ukijua kabisa jinsi siasa zetu zilivyo za hovyo na zisizoaminika?
Uko sahihi kabisa, point yangu iko kwa CCM wanavyoshabikia
 
Huyu ndugu asingekubali kuliongelea hili au angetafuta namna ya kulikwepa vinginevyo amepotea, hoja yangu ni kwamba kuna mambo yanatakiwa kubaki moyoni au sirini lakini kwa namna alivyoweka bayana ameonesha kabisa kwamba hawa covidd19 wanamwelekeo wa kwenda ccm ili kunusuru maslahi yao kitu ambacho kitapelekea Ally kumuunga mkono na kuunga juhudi pamoja na baadae kubadilika kuwa chlorophyll
CHADEMA bora wamfukuze aende ataendelea kuharibu taswira ya chama
 
Huyu ndugu asingekubali kuliongelea hili au angetafuta namna ya kulikwepa vinginevyo amepotea, hoja yangu ni kwamba kuna mambo yanatakiwa kubaki moyoni au sirini lakini kwa namna alivyoweka bayana ameonesha kabisa kwamba hawa covidd19 wanamwelekeo wa kwenda ccm ili kunusuru maslahi yao kitu ambacho kitapelekea Ally kumuunga mkono na kuunga juhudi pamoja na baadae kubadilika kuwa chlorophyll
Angesema tu kuwa hili suala lipo kwenye ngazi za maamuzi tusubiri maamuzi ya chama, sema yule sijui Aloyce Nyanda naye ana maswali magumu sn nadhani ndiyo mtangazaji anayejielewa kwa sasa( yeye na Dotto Bulendu)
 
Mke akiwa na kipato kikubwa sana zaidi ya mme,basi hapo kuna uwezekano mkubwa sana wa mme kugeuzwa ndondocha/msukule/taahira/house boy/mtumwa.
Wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho,iweje mvuja jasho awe mwanamke?
Bananga ni mswahili yeye kazi yake ni moja kumshughulikia maza
 
Iwe mkewe ndio analeta msosi mezani au haleti, kwa maamuzi ya kifamilia NAOMBA TUWE WAKWERI, jamaa ametoa jibu sahihi kwa swali.

Kwa ufupi, ni heri kusimama na mkeo katika upuuzi wake mbele za watu, na kumkanya mkiwa faragha.

Ni heri kuficha migogoro ya kifamilia mbele za macho ya walimwengu, kuliko kujifanya unawaridhisha walimwengu..maana huwa hawaridhiki, rejea kisa cha PUNDA na yule Bwana na MKEWE.

Wanaume tujifunze KUSIMAMA NA KUTETEA WAKE ZETU MBELE ZA WATU NA KUWAKANYA FARAGHA.

UNAMUANIKA MKEO MBELE ZA WATU ili UWARIDHISHE WALIMWENGU....WANAKUPA NINI?
 
Ukijua ma boss wako wanaimba usafi huku wanaogelea kwenye uchafu unakua smart sana

Ally Bananga ni mwanachadema mwenye akili kubwa sana zaidi ya watu wanavyomwangalia

Kwangu alikua diwani bora kwa kipindi chote cha uwakilishi wake
Nimekumbuka kauli ya JKN: 'Umalaya wa kisiasa'
 
Back
Top Bottom