Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,837
- 93,607
Ndiyo maana na yeye yupo Dom na wakati hana issue yoyote pale Dom zaidi ya mwezi mmoja sasaAendelee kuvuta mpunga kupitia wife akae kwa kutulia.. uzur CHADEMA haijawah mjibu
Ndiyo maana na yeye yupo Dom na wakati hana issue yoyote pale Dom zaidi ya mwezi mmoja sasaAendelee kuvuta mpunga kupitia wife akae kwa kutulia.. uzur CHADEMA haijawah mjibu
Yeye ndiyo kaolewa maana kamfuata mama kule na mama analipa kila kitu yeye kazi yake ni kumbusu mama basiNjaa inakusumbua Siku watakapofukuzwa Bungeni na kuambiwa Warudishe hizo Pesa tutaona kama Utasimama nae
Hahahahaha! Chezea vitu vyote lakini sio mpunga.Kwa sasa anayelisha familia ni mama au baba?
Tuanzie hapo kwanza.
Kwa hiyo maza hata akiharibu vipi yeye anasimama naye, haya makapi ya CCM wayatoe yoteMtu akielekea kuhamia kwenu au akitofautiana na chama chake ndio mnagundua kuwa siku zote alikuwa na akili sana!
Sasa huyu genius wako anasema anamsupport mke wake kwa sababu alimuoa msikitini na sio kwa sababu yuko sahihi! Heri angesema kuwa mpango wote walisuka pamoja.
Amandla...
Uko sahihi kabisa, point yangu iko kwa CCM wanavyoshabikiaUshabiki wa vyama na matusi pembeni, ungekuwa ni wewe mkuu katika mtangange huu ungefanyeje; huku ukijua kabisa jinsi siasa zetu zilivyo za hovyo na zisizoaminika?
CHADEMA bora wamfukuze aende ataendelea kuharibu taswira ya chamaHuyu ndugu asingekubali kuliongelea hili au angetafuta namna ya kulikwepa vinginevyo amepotea, hoja yangu ni kwamba kuna mambo yanatakiwa kubaki moyoni au sirini lakini kwa namna alivyoweka bayana ameonesha kabisa kwamba hawa covidd19 wanamwelekeo wa kwenda ccm ili kunusuru maslahi yao kitu ambacho kitapelekea Ally kumuunga mkono na kuunga juhudi pamoja na baadae kubadilika kuwa chlorophyll
Angesema tu kuwa hili suala lipo kwenye ngazi za maamuzi tusubiri maamuzi ya chama, sema yule sijui Aloyce Nyanda naye ana maswali magumu sn nadhani ndiyo mtangazaji anayejielewa kwa sasa( yeye na Dotto Bulendu)Huyu ndugu asingekubali kuliongelea hili au angetafuta namna ya kulikwepa vinginevyo amepotea, hoja yangu ni kwamba kuna mambo yanatakiwa kubaki moyoni au sirini lakini kwa namna alivyoweka bayana ameonesha kabisa kwamba hawa covidd19 wanamwelekeo wa kwenda ccm ili kunusuru maslahi yao kitu ambacho kitapelekea Ally kumuunga mkono na kuunga juhudi pamoja na baadae kubadilika kuwa chlorophyll
Maza ndiyo analisha familia, ogopa sn mke wako kuwa na kipato/cheo kikubwa kuliko wewe.Kwa sasa anayelisha familia ni mama au baba?
Tuanzie hapo kwanza.
...haahaa, wamfukuze kwa lipi? Huo Ni mtazamo wake...wampuuze tuCHADEMA bora wamfukuze aende ataendelea kuharibu taswira ya chama
Ana kidharau chama bora wamtimue maana ana kila dalili kuwa yupo CCM...haahaa, wamfukuze kwa lipi? Huo Ni mtazamo wake...wampuuze tu
Mke akiwa na kipato kikubwa sana zaidi ya mme,basi hapo kuna uwezekano mkubwa sana wa mme kugeuzwa ndondocha/msukule/taahira/house boy/mtumwa.Maza ndiyo analisha familia, ogopa sn mke wako kuwa na kipato/cheo kikubwa kuliko wewe.
Bananga ni mswahili yeye kazi yake ni moja kumshughulikia mazaMke akiwa na kipato kikubwa sana zaidi ya mme,basi hapo kuna uwezekano mkubwa sana wa mme kugeuzwa ndondocha/msukule/taahira/house boy/mtumwa.
Wanaume tuliambiwa tutakula kwa jasho,iweje mvuja jasho awe mwanamke?
Nimekumbuka kauli ya JKN: 'Umalaya wa kisiasa'Ukijua ma boss wako wanaimba usafi huku wanaogelea kwenye uchafu unakua smart sana
Ally Bananga ni mwanachadema mwenye akili kubwa sana zaidi ya watu wanavyomwangalia
Kwangu alikua diwani bora kwa kipindi chote cha uwakilishi wake